Name recognition ndio factor kubwa nimegundua.

Kiwango ambacho wamesikia jina lako kwenye jamii, hata kama ni kwa udaku.

Erick Shigongo anashindaje siasa za ubunge?

Namshangaa Amber Rutti hajagombea.
No haiko hivyo mkuu, kama unafatilia siasa huko Buchosa Shigongo hii ni mara ya tatu anagombea.

2010 na 2015 kura hazikutosha ila hajakata tamaa kaendelea kujijenga naona this time kapata 'sare'. Na mara zote amekuwa akipambana na huyo Tizeba.
 
20 Julai 2020
Iringa, Tanzania

KURA ZA MAONI CCM IRINGA MJINI/ WAGOMBEA WAKIOMBA KURA


Source : Iringa Yetu TV
 
Wapinzani tujiandae kulinda kura zetu zinazoibwa kila mwaka tangu 1995.
 
Reactions: BAK
Kamati ya roho mbaya haitaki mchezo kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].ingekua wana angalia nan ana followers wengi instagram.kajamaa kangewashinda wenzie[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1512001

Kuna Watu wanadhani kuwa ' Maarufu ' katika Redio na Runinga basi ndiyo ' Tiketi ' ya kuwa Wabunge na sasa ' Wananyooshwa ' ile Kiukweli.
 
RUSHWA YA CHINI KWA CHINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…