Kumbe tayali kachaguliwa kuwa mbuge !!! Uchaguzi Ni October 2020
 
Mwenye dar yake sasa anatakiwa arudi Koromije.

Dar sio pa kisoro arifu.
 



Uko sawa mkuu! Mfumo wa baadhi ya wajumbe kupiga kura za kumpitisha mgombea rushwa haitoisha.

Naanza kuona dalili za wapinzani wengi kurudi bungeni.
 
🤗🤗🤗usitukane ukunga na uzazi ungalipo


Leo ndiyo nimepata maana ya hii methali tangu mwaka 1980 nilipoijua kwa mara ya kwanza
 
Hivi Musiba alitia nia kule Mwibara?
 
Kuna kitu hujaeleweka pia, unasema "hii kazi ya kuchagua wagombea wasingeachiwa wajumbe peke yao" lakini hujasema wateuliwe na nani. Na kama hutaki wajumbe ndio wateue, unataka mtu mmoja ndiye ateue? maana kama kuna kamati unafikiri ndiyo ingefanya kazi hiyo then ujue kamati hiyo nayo itakuwa na wajumbe na wajumbe hao ndio watakapofanya uteuzi!

Bado una nafasi ya kurekebisha maamuzi yao; katika uchaguzi mkuu kutakuwepo wagombea toka vyama mbalimbali. Kama uliyemtarajia CCM hawatampitisha angalia katika vyama vingine, Na kama ikitokea kuwa hata huko usione anayefaa, basi angalia tatizo lisije kuwa ni wewe mwenyewe!
 
hayo waulize wapiga kura
 
Bado mapema Sana kusema kapita..
Bado jina lake halijapita kwa watu wa wilaya, mkoa mpaka Taifa naamni huko pote hawezi kutoboa.
 
Acha kulalamika, October utakuwa na wagombea wengine wengi maana huu wa ccm ni mchakato wa kupata mpeperusha bendera wao, na chadema nao watakuwa na wa kwao, viyo hivyo kwa cuf, act nk. Kama utaona katika wote hao hakuna anayefaa, basi nalo litakuwa ni neno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…