pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 281
- 299
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.Kufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.
Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
Huyu alishafeli kitambo ndani na nje ya chama, ni rushwa, magumashi na mbeleko ndio vilivyo muweka hapo alipokuwa, ila kwa kura hizi za hadharani hata mara mia ikirudiwa hatoboiMtihani ni mtihani yaani mawaziri wote wamefaulu isipokuwa mmoja tu tena yule mbobezi mwenye degree nne
Ngoja tusubiri kamati kuu.
Maendeleo hayana vyama!
Anae 'uchumi' ameukalia.Masikini Paulina, na ule mkopo wa 70m anarudishaje jamani?
Omera ring piopioero kamano ainya, okajaluo asedak kabwani miaka ya 90. Awinjo dholuo te mabher kabisa to okanyar wuoyo mabher. Nimemiss sana nyama choma ya kondoo na ugali wa udaga asubuhi na mapema. Hahahahahaha, Waluo ni wakarimu sana.
Hili ni ombi kwa kamati kuu ya CCM kwamba hawa wote walioongoza kwenye kura za maoni mkoani Dsm wanachagulika mwezi October hivyo wasikatwe Tafadhali.
Mwezi October ni wazi kabisa majimbo yote yanavhukuliwa na CCM.
CCM hoyeeeee........!
Maendeleo hayana vyama!
Of his own choice kuwa katibu mkuu wa CHADEMA ni karata kubwa sana.Jimbo gani??
Omera jajuok ntie omeraMachieg'ni jatelo.
Tusubiri tuone je kama alieshia nafasi ya pili ndio atapitishwa au ni huyo huyo alienda kura ya maoni.Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
Omera niang omakiEro kamano ainya, mosna wote wa Kabwana na Obwere
Ikiwa nimeshinda kura ya maoni ,CCM ikanikataa nahamia upinzani kwa lengo la kuwaongezea nguvu,dhuluma ya namna hii haikubalikiKufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.
Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
TUKO NA CHADEMA YETUHili ni ombi kwa kamati kuu ya CCM kwamba hawa wote walioongoza kwenye kura za maoni mkoani Dsm wanachagulika mwezi October hivyo wasikatwe Tafadhali.
Mwezi October ni wazi kabisa majimbo yote yanavhukuliwa na CCM.
CCM hoyeeeee........!
Maendeleo hayana vyama!
KumbeeKumbuka huyu Furaha ni mjomba wake na Jiwe
Katambi katambishwa sio? Safi sana sanaAliyekuwa mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini Steven Masele ameshinda kura za maoni na kupata kura 152 kati ya kura 426 Jonathan Manyama akipata kura 65 zikizopigwa huku Gasper Kileo akipata kura 51.
Jimbo la Kishapu Suleiman Nchambi kura 544 Francis Kapale kura 54. Boniphace Butondo kura 40
Matokeo kura ya maoni CCM Jimbo la Solwa wilayani Shinyanga 1) Ahamed Salum kura 377 2) Azza Hilal Hamad kura 304 3) Jeremia John Jiriri kura 35. Jumla ya Kura zilizopigwa ni 823 na hakuna kura iliyoharibika
Tusubiri tuone je kama alieshia nafasi ya pili ndio atapitishwa au ni huyo huyo alienda kura ya maoni.
TUKO NA CHADEMA YETU