Sultan Zuwera
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 246
- 336
Na picha yake ndiyo hiyo anahesabu mwenyewe.Jerry Silaa anaongoza jimbo la Ukonga kwa kura 206. Channel ten wanaonesha LIVE hivi sasa. Ikumbukwe huyu alishindwa mwaka 2015 na Waitara wakati huo akiwa Chadema kwenye jimbo hilo hilo la Ukonga.
Jitu Patel ni mtu mwingine na alishakimbia nchi nadhani ni wanted kwa zile tenda zake za Jeshi
Huyu wa babati ni Jitu Faraar Vraijalal Soni
Sijui hilo la Patel umelitoa wapi mkuu
Dotto ndo kalipa fadhila maana alifinanciwa na KulwaSio ndugu tu ni mapacha
Mdogo Dotto ni waziri naona kamsaidia Braza kumng'oa mama wa watu Lorencia Bukwimba wakale keki ya taifa pamoja
View attachment 1513010
Wengine wanamsema kanakwamba ni Mhiti na wengine wanamwita mhivi😁Hakuna anapokubalika ndio maana amekuwa "myebusi" anahangaika makanisani na misikitini kutafuta huruma za "mafarisayo na masadukayo"
Anaenda Mjengoni...Kitu na boxView attachment 1513011
umekaa naye lini ukajua hana mihemko. ndo mana kina dada mnatapeliwa kirahisi
Wapi huko mkuu!??Cecil mwambe tushamchinjia baharini huku tayari miguu juu chali[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji2532][emoji3603]
Kwa Mdee na Heche wananchi wakikomaa lazima watangazwe, ila Mbeya na Arusha kwa namna yoyote wamejipanga kuyachukua wenye nchi yao.Pia mimi nina wasiwasi Mkubwa ikiwa washindi hawa watatangazwa
Sugu
Mdee
Heche
Lema
Msigwa
Hata babu tale kampiga chini naibu waziri wa kilimo mghumbaMtihani ni mtihani yaani mawaziri wote wamefaulu isipokuwa mmoja tu tena yule mbobezi mwenye degree nne
Ngoja tusubiri kamati kuu.
Maendeleo hayana vyama!
Yani hiyo ndagu inaingiaje kwa watu!?? Em fafanua huo ushirikina.Tale kamwangusha naibu waziri kabisa. Kweli ndagu ya mke imelipa.
Jimbo la Nanda mkoa w MtwaraWapi huko mkuu!??
Dotto ndo kalipa fadhila maana alifinanciwa na Kulwa
Kwa uwezo wa wabunge hao kamwe hawana mpinzani zaidi ya mbavu kutumika kuwaondoaKwa Mdee na Heche wananchi wakikomaa lazima watangazwe, ila Mbeya na Arusha kwa namna yoyote wamejipanga kuyachukua wenye nchi yao.
Watashika adabu yao.Waache wakawe wafagiaji hao vicheche..Ndanda
Oscar Anthony Ng'itu - 250
Faraja Nandala - 154
Cecil Mwambe - 33
Mwambe analalamika ndugai apokei simu zake tena baada ya matokeo kutangazwa.
Mapacha haoHawa ndugu!??View attachment 1512983
Kulwa. Mkwanja anao wa kutosha ChiefHahahaa kwahiyo Kulwa ndo alikua Don? wa kampeni za Dotto
Anafanya biashara gani