Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Aiseee hii ni shida sana, imani ni kitu cha kuogopwa sana.
Huyo Gwajima anawapelekesha kondoo wake kwa namna yoyote ile anayoitaka yeye na bado wanamuamini.

Kama aliweza kugoma kama sio yeye kwenye ile video chafu sembuse hili dogo tu.
 
Wadada wa kinondoni kwa mipasho? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hatari. Hapa sisi wanaume tungesema tu flani hivi na hivi. Wewe umekuja unatoa [SUP]mipasho.....HATARI SANA SISTER.[/SUP]

1. Kiherehere chako cha kila mara na Kiburi chako cha Asili ama hakika Kimekuponza na Wengine wajifunze kutoka Kwako.
2. Ulishindwa kujua kuna tofauti kubwa kati ya kuwa Jamihi Fworumu Pulatinamu Memba na Kuaminiwa na Wapiga Kura Ukumbini.
3. Mtu hujawahi hata kuwa Mjumbe wa Nyumba 10 achilia mbali tu Udiwani leo unalitaka Jimbo la ' Cow Way ' kweli?
4. Siku zote hasa Jumamosi unaonekana sana Runingani ila hujawahi hata Kuizungumzia ' Cow Way ' yako unayoitaka.
5. Wapiga Kura wa Jimbo la ' Cow Way ' walitaka Mshindani wa Kweli na hasa lakini siyo ' Mnafiki ' uliyetukuka kabisa.
6. Watu Werevu duniani wakienda Kuogelea Kwanza huwa wanapima Kina cha Mto au Bahari na hawakurupuki tu Kipuuzi
7. Mtu mzima tena mwenye Familia na Wajukuu wako njiani kupata Kura Moja ( Moko ) tena yako Mwenyewe ni Fedheha mno.

Asanteni sana Wapiga Kura wote wa Jimbo la ' Cow Way ' kwa kuwa ' Makauzu ' hasa na hata hamjapoteza muda Wenu Kumpigia Mtu Kura zenu.
 
Hata Kama Tunaichukia CCM Lakini Tukubali CCM Ni Mafundi Wa Kugonga Watu Spana, Yaani Dkt Mashinji Ni Wakulamba Kura 2 Tu? Huyu huyu Dkt Mashinji Aliyekua Katibu Mkuu CHADEMA? Kura Mbili Kweli? Wajumbe Mungu Anawaona [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
One mistake one goal, hiyo ipo sehemu zote zenye ushindani
Kufuatia kwa mbunge mgombea anaposhindwa kwenye kura za maoni inawezekana ikawa amekosa kura za wajumbe (kura ya maoni)lakini mtu huyo huyo mnaemkata akawa ana maji wa wapiga kura kuliko huyo mnaempetisha.

Mnaweza mkata mtu kisa ameshindwa kwenye kura za maoni na akapitishwa yule alieshinda kwenye kura za maoni lakini huyo huyo aliepitishwa akawa hana mtaji wa wapiga kura kama yule mliemkata.kumbuka kura wanapiga ni wananchi wanachagua mtu wanaemtaka na sio yule mliemuweka eri kwa kuwa kashinda kura ya maoni,kwa hali hii kama ccm isipokuwa makini inawwza jikuta baadhi ya majimbo yakachukuliwa na upinzani kwa uzembe wao .
Ni hayo tuu nimewakumbusha
 
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Shinyanga Mjini Steven Masele ameshinda kura za maoni na kupata kura 152 kati ya kura 426 Jonathan Manyama akipata kura 65 zikizopigwa huku Gasper Kileo akipata kura 51.


Jimbo la Kishapu Suleiman Nchambi kura 544 Francis Kapale kura 54. Boniphace Butondo kura 40

Matokeo kura ya maoni CCM Jimbo la Solwa wilayani Shinyanga 1) Ahamed Salum kura 377 2) Azza Hilal Hamad kura 304 3) Jeremia John Jiriri kura 35. Jumla ya Kura zilizopigwa ni 823 na hakuna kura iliyoharibika
 
Hili ni ombi kwa kamati kuu ya CCM kwamba hawa wote walioongoza kwenye kura za maoni mkoani Dsm wanachagulika mwezi October hivyo wasikatwe Tafadhali.

Mwezi October ni wazi kabisa majimbo yote yanavhukuliwa na CCM.

CCM hoyeeeee........!

Maendeleo hayana vyama!
 
Masikini Paulina, na ule mkopo wa 70m anarudishaje jamani?
Dah huyu Chambili anahangaikia ubunge hadi huruma, last time alivaa hadi dera lakini watu wakamfyekelea mbaliii.
 
115750071_618788658749375_2205832932843205653_n.jpg
115821740_935617103572094_7418627716561740807_n.jpg
 
Sendeka 305
Kiria 47
Millya 15
Toima 11




Waliotoka Chadema Chamoto Wanakiona Huko


Hii ndiyo kitu itafanya Tuchukue Nchi mwaka 2025

Wapinzani wengi hawatahama watajua wanaenda Katwa huko
Ng'ombe mkatwa mkia mwingine out
 
Back
Top Bottom