Another bunch of scumbag[emoji45]Yote aliyoongea hakuna hata moja lililoko ndani ya sera na ilani ya Chadema huyu Lisu hajui hata kuwa mgombea Uraisi maana yake nini
Waandishi wa habari ombeni sera na ilani ya Chadema mlinganishe na anavyoongea Lisu . Lisu anaongea vitu anavyoota hewani kinachomjia hewani ndicho anasema nitafanya!!! Very sad...
Sawa nimekuelewa kaka.Tatizo lipo hapo! Ukiona kwanza kwamba, mkopo ulikusaidia, kupata elimu, na urejeshaji wako utasaidia wengine kupata elimu. Ukaona ni kero, na ukatambua dawa ya kuondokana na hiyo kero ni kulipa, itakujengea discipline. Ukiwa na nidhamu siyo tu kwamba itakusaidia kulipa deni, itakusaidia kujiendeleza kimaisha, kuwekeza na kadhalika! Ila hiyo mentalit ya kuwepa majukumu, utakufa masikini, na utaacha urithi huo huo duniani!
Unamuuliza nani kuhusu Membe, si ukamuulize?Watu hakuna mkuu kwanini msilete picha zenu tuzione?
Hivi Membe anazindua lini kampeni?
Chadema media wanatakiwa kufanya kazi ya ziada ya kutengeneza clip zilizoshibaTV za online nasikia wamepigwa mkwara wasiwe wanafocus kwa watu bali jukwaa kuu zaidi
Una likes 113 hadi sasa kweli Lissu anakubalikaLissu niseme wazi leo umegusa maisha ya Watanzania walio wengi.
- Bima ya afya kwa Watanzania wote.
- Hakuna tena kuibia wafanyabiashara maskini kwa kuwatoa elfu ishirini kila mwaka.
- Hakuna tena kukatwa asilimia 15 kisa mkopo. Tutakatwa asilimia tatu tu...
Tatizo nadhani dhana ya machinga haieleweki hata kwa serikali yenyewe.Bawacha hebu teambieni Lissu akifuta vitambulisho vya wamachinga atakuja na mfumo gani? Mnataka kusema kuwa wamChinga hawatolipa chochote? Hahahaha
Hakuna mmachinga anaweza kumpa kura Lissu kwa kufuta vitambulisho vyao.....kuvifuta ni kutaka wanyanyasike kama zamani ....yani sasa hivi wanavyo tamba kwenye nchi yao leo uwashawishi eti kufuta vitambulisho halafu ? Hii haiwezi kukubaliwa na machinga yeyote yule hahaha
Mdogo mdogo watamuelewa yaani anazungumzia uhalisia kupanga ni kuchagua Mungu atupe Uhai Neema chini ya Lisu yajaLissu niseme wazi leo umegusa maisha ya Watanzania walio wengi.
- Bima ya afya kwa Watanzania wote.
- Hakuna tena kuibia wafanyabiashara maskini kwa kuwatoa elfu ishirini kila mwaka...
Very true! Utasikia wengine wakisema tumewekewa flyovers, mradi uliowashinda previous presidaas! Mara kaikemea corona so hana mpibzani, etc. Elimu ya uraia inahitajika vibaya sn .TL aendelee kutoa elimu pana wengi wapo gizani...
Kwa kweli investment pekee bora kwa taifa hili ni hii elimu ya magumashi ya vyeti... Ikiwa axed atleast twaweza jongea kivuliniVery true! Utasikia wengine wakisema tumewekewa flyovers, mradi uliowashinda previous presidaas! Mara kaikemea corona so hana mpibzani, etc. Elimu ya uraia inahitajika vibaya sn .
Dada Vic, leo mimi nakupenda sana [emoji7][emoji7]Kwani kabla ya Magufuli Umeme,barabara hazikuwepo ?Barabara zimependenza tangia Mkapa,umeme REA upo tangia Kikwete.
Pamoja sana!Sawa nimekuelewa kaka.
Ila naona bora walivyoanza kuirusha leo jamaa wangeweza kukopiWalianguka kwenye mtego wa CCM. Tena lengo la CCM ni kuwachanganya hadi mjitoe kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa kweye serikali za mitaa. Don't fall in their net.
Naam wamwongezee mudaIla kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.
Huyu wa upande wa pili kila akisimama anaongea kuhusu kuongeza ndege tu utadhani Watanzania wanaishi angani.Upande wa pili kaongea Nini huko
Kama huna ajira ama source yoyote ya income utarejeshaje kwa mfano? Mpaka leo mmeshindwa kutuambia hilo ongezeko lilikuwa la kazi gani na bado hakuna equivalent kwenye upatikanaji wa mikopo yenyewe.... Pili unaongelea utekelezaji? Unachekesha kweli[emoji1787][emoji1787] ile midege na bado mnaahidi mingine mmetupa hata kurasa moja ya utekelezaji?Mikakati ya kufanya haya ni hipi? Hata mimi haya naweza kuahidi!
Yani watu wapewe mkopo halafu wasirejeshe hahahaha
Ulaya siku ya mapumziko ya kazi Mzungu anakasirika mbongo sasa mapumziko siku moja ataongeza mbili anaumwaKweli kabisa. Watanzania wanataka mazingira bora ili wachape kazi kwa moyo mmoja. Siyo unachafuka chalk,kuandaa materials mwisho wa mwezi unaishia laki nne tena mfululizo miaka mitano hata mia haijapanda.