technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kwako na kwa mmeo anatoshaMagufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako na kwa mmeo anatoshaMagufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
majengo? 😁😁Diplomasia yetu haijashuka tumefungua barozi 8 mpya- in JPM voice
Kasahau bodi ya mikopo
amini ama usiamini... hakuna mtu anaweza kuligusa hili na kulirekebisha.... hapa pesa nyingi inatoka na nyingi inaingia... hawezi kuigusa... sanasana itaongelewa majukwaani tu...Kasahau bodi ya mikopo
Anatosha kwa mamako labda!Magufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Siku zenu zinahesabika mbona??Mara kwhiooo tumeibiwaaaaa!
Anatosha kwa ukandamizaji, hapo uko sahihi 100%.Magufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Safari hii haibiwi mtu, mkiiba na tukagundua mmebadilisha matokeo tunawaachia wananchi waingie barabarani! Mmezoea kuiba kura kiboya, mwaka huu hakuna boya kama la 2015 lililoibiwa hadharani na usiseme kitu!Mara kwhiooo tumeibiwaaaaa!
Kwa miaka yote mitano Magufuli hakuwahi kukutana na kisiki cha mpingo kama hiki , tuone kama atakula tena mahindi barabaraniKwa kweli tangu juzi kawe, jana segerea na Leo Arusha Tundu Lissu ameanza kutema sera kali kweli
Zinahusu maisha ya mwananchi mmojammoja na Taifa kiujumla
Uzuri wa sera zake kuna zile ambazo ziko specific kwa mji husika na kuna zile ambazo zinahusu nchi nzima
1. Lissu kazungumzia ugumu wa maisha ya mfanyakazi
2. Amezungumzia uonevu wanaofanyiwa wafanyabiashara wetu
3. Amezungumzia kuhusu elimu bora na siyo bora elimu, amezungumzia kuhusu elimu ya ujuzi wa kazi siyo ya kukariri
4. Amezungumzia kuhusu viwanda na kuvutia mitaji ili kutoa ajira kwa vijana wetu
5. Amzezungumzia kuhusu diplomasia yetu iliyoshuka na jinsi atakavyorudisha mahusiano bora ya kimataifa
6. Amezungumzia bima ya afya kwelikweli siyo hii ambayo wazee wetu wakishastaafu wanaambiwa waongeze hela ili waweze kuwekwa kwenye bima ya magonjwa nyemelezi ya wazee
7. Amezungumzia kuhusu kuirejesha Arusha kuwa kitovu cha utalii
8. Amezungumzia kuhusu katiba mpya, ameonyesha ubovu wa katiba ya sasa ambayo imelinyima hata bunge uwezo wa kuanzisha hoja ya namna ya kutumia pesa za nchi isipokuwa tu kama hoja hiyo imeanzishwa na serikali
9.Amezungumza kuhusu haki za watu, ametetea masheikh walio jela kinyume cha sheria, kwa mfano amesema Arusha peke yake kuna Masheikh 70 wako jela achilia mbali wale masheikh wa uamsho
10. Amezungumzia kuvunjia wananchi nyumba kikatili etc
Kwa kweli Lissu unatisha baba endelea kupiga spana mwana wa Tanzania
Hatutaki ngonjera za ndegeMagufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Anatosha Kisarawe huko !Magufuli anatosha, hizi zingine mbwembwe tu
Kapicha bwasheeKwa kweli tangu juzi kawe, jana segerea na Leo Arusha Tundu Lissu ameanza kutema sera kali kweli
Zinahusu maisha ya mwananchi mmojammoja na Taifa kiujumla
Uzuri wa sera zake kuna zile ambazo ziko specific kwa mji husika na kuna zile ambazo zinahusu nchi nzima
1. Lissu kazungumzia ugumu wa maisha ya mfanyakazi
2. Amezungumzia uonevu wanaofanyiwa wafanyabiashara wetu
3. Amezungumzia kuhusu elimu bora na siyo bora elimu, amezungumzia kuhusu elimu ya ujuzi wa kazi siyo ya kukariri
4. Amezungumzia kuhusu viwanda na kuvutia mitaji ili kutoa ajira kwa vijana wetu
5. Amzezungumzia kuhusu diplomasia yetu iliyoshuka na jinsi atakavyorudisha mahusiano bora ya kimataifa
6. Amezungumzia bima ya afya kwelikweli siyo hii ambayo wazee wetu wakishastaafu wanaambiwa waongeze hela ili waweze kuwekwa kwenye bima ya magonjwa nyemelezi ya wazee
7. Amezungumzia kuhusu kuirejesha Arusha kuwa kitovu cha utalii
8. Amezungumzia kuhusu katiba mpya, ameonyesha ubovu wa katiba ya sasa ambayo imelinyima hata bunge uwezo wa kuanzisha hoja ya namna ya kutumia pesa za nchi isipokuwa tu kama hoja hiyo imeanzishwa na serikali
9.Amezungumza kuhusu haki za watu, ametetea masheikh walio jela kinyume cha sheria, kwa mfano amesema Arusha peke yake kuna Masheikh 70 wako jela achilia mbali wale masheikh wa uamsho
10. Amezungumzia kuvunjia wananchi nyumba kikatili etc
11. Kszungumzia mzigo mzito wa makato ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu na amesema atashusha makato hayo kwa mwezi kutoka 15% hadi 3% ya mshahara kwa mwezi
12. Amezungumzia kuhusu adha za vitambulisho vya kimagumashi vya wamachinga amesema ataondoa mzingo wa shilingi 20000 ya kitambulisho cha wamachinga pesa iliyoanzishwa na Bashite na Magufuli
13. Amesema ataanzisha sheria ya haki ya mlipa kodi "Bill of taxpayers rights" ili waweze kulindwa kisheria badala ya utaratibu wa sasa ambao wafanyabiashara wanaonewa sana na TRA na hawana pa kukimbilia, kila wanapokimbilia wameshafungwa minyororo
14. Amezungumzia kuhusu uhuru wa habari, kuwa ataondoa sheria kandamizi zilizotungwa na Magufuli kumlinda yeye badala ya kusaidia taaluma kukua
15. Amesema ataomesha matumizi ya hovyo ya pesa za serikali, siyo rais akiamka asubuhi anajenga uwanja wa ndege kijijini kwake ambapo ndege inatua mara mbili kwa mwaka siku anayoenda kula Christmass na pasaka
Kwa kweli Lissu unatisha baba endelea kupiga spana mwana wa Tanzania
Una Uhuru wako ndugu! Ila kusema ukweli sioni Tanzania nzuri na bora tena chini ya JPM na CCM2015 nilimchagua JPM, 2020 nitamchagua tena JPM , ikiwezekana hata 2015 nitafanya hivyo .