Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa Sana. Tena sana. CCM ya Magufuli ndio kabisaa imeirudisha nyuma mno furaha ya WaTz,

CCM tuipe kazi ya usajili na utoaji wa vibali kama vya drones n.k

Mengine hawawezi, tuwaoendoe haraka ktk sanduku la kura.

CCM HAIFAI HATA DAKIKA 5
 
Kwa miaka yote mitano Magufuli hakuwahi kukutana na kisiki cha mpingo kama hiki , tuone kama atakula tena mahindi barabarani
 
Kapicha bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…