Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
SHIDA ZETU ZA WATZ. NI ZIKO NJE NJE HAZIHITAJI MKALIMANI AU MUELEZEAJI WA SHIDA ZIKO WAZIWAZI KAMA VILE FUNZA WA KUMTOA TENA KWA KIDOLE HAINA HAJA YA KUTUMIA HATA PINI
 
Magufuli mzee wa miundombinu
Lissu mzee wa hadithi za vifo
Rungwe mzee wa ubwabwa
 
Lissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Jinga wewe..ILANI YA CHAMA, HUJAISOMA????
 
Wananchi tunataka kujua uchunguzi juu ya asassination attempt ya LISU umefikia waaapi , cyo kutupa habari za flyover na SGR Utadhani watanzania wote tunaishi Dar.
 
Hivi lisu bado anaongelea habari za kupigwa risasi???????????????????????
 
Huoni alioyafanya mhe Magufuli!!? ama basi tu akili zimegeuka kama za ngolombwe
Nimeyaona.....
Amejenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato.
Amebeba wanyama toka Serengeti na kuanzisha hifadhi Chato.
Ameuwa watu Sana.
Ameteka watu Sana.
Amejeruhi watu kwa risasi Sana.
Amepora watu fedha zao Sana.

Kwa uchache haya ndiyo naweza kukutajia aliyoyafanya.
 
Lissu!

Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Kuna watu hawajui hata kampeni ni kitu gani! Huyu mtu kila anachoaambiwa yeye anaitikia risasi 16. Sijui anadhani wapiga kura wanahitaji sana kujua juu ya hizo risasi? Kichwa kibovu hakikuwahi kujifunza lolote nje ya sheria. Akiulizwa uchumi yeye anasema sheria. totally lost service!
 
Utakuwa hujamsikiliza Lissu au hujamuelewa. Mpaka sasa ni ameshaongelea hayo; atabadli mfumo wa elimu ili uweze kuto elimu bora na si bora elimu, mikopo kwa kila mwanafunzi na malipo ya mkopo 3 % badala ya 15 % pia atatoa bima ya afya kwa kila mtanzania.
Ahadi kama hizo zinatofauti gani na ubwabwa wa Hashim Rungwe? au ile ahadi ya kuleta maji ya bahari Dodoma? Just alike rubbish.
 
Lissu!

Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
jamaa anawavuruga mpaka mmechanganyikiwa
 
jamaa anawavuruga mpaka mmechanganyikiwa
Huwa ninafurahia ninapowavuruga wengine, lakini sishangilii binadamu mwenzagu kuwavuruga wengine. Najiamini uwezo wangu badala ya kumpogeza mwingine. Msaidieni apate akili.
 
Lissu!

Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Muulize hayo maswali anaesema kazi ya urais ni ngumu sana ila bado yuko ikulu,anakula n kulala bure
 
Lissu!

Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???


Kama hujui asilimia 70% ya Watanzania wanapenda kumjuwa MHUSIKA MKUU WA SHAMBULIO LA RISASI KWA (TAL) RAIS MTARAJIWA.

SABABU ZA KUTAKA KUMJUWA NI AKIMALIZA KWETU ANAKUJA KWENU.
 
CCM haina mvuto kwakweli bila wasanii mtu utafuta kitu gani?
Babu ushindi unatafutwa kwa mbinu na sio Mazoea Tu endeleeni kusema Wasaniiii Diamond ana followers zaid 20m nchi nzima kuna watu watampigia KURA kisa Diamond ni CCM
 
Back
Top Bottom