issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Kwahiyo naona mume hama kule milioni 50 kila kijiji sasa mumehamia ajira milioni 8Hayo ndiyo anatakiwa aseme jamani hivi kampeni yote iatkuwa kusimulia alvyopigwa tu?
Jinga wewe..ILANI YA CHAMA, HUJAISOMA????Lissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?
Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Bila wajinga na masikini na wanyonge ccm isingekuwepo hadi sasa ingawa inachechemeamtaji wa CCM ndio hawa watu.
Watu waliofanywa kuwa mskinina ambao hawajaenda shule kabisa
Huoni alioyafanya mhe Magufuli!!? ama basi tu akili zimegeuka kama za ngolombweHuyo aliyempiga risasi yeye kafanya nini katika hayo?
Nimeyaona.....Huoni alioyafanya mhe Magufuli!!? ama basi tu akili zimegeuka kama za ngolombwe
Kwani ilani inajiendesha kwa remote? Kusoma tunajua kwa nini anazunguka mikoani?kasome ilani,
Kuna watu hawajui hata kampeni ni kitu gani! Huyu mtu kila anachoaambiwa yeye anaitikia risasi 16. Sijui anadhani wapiga kura wanahitaji sana kujua juu ya hizo risasi? Kichwa kibovu hakikuwahi kujifunza lolote nje ya sheria. Akiulizwa uchumi yeye anasema sheria. totally lost service!Lissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?
Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Ahadi kama hizo zinatofauti gani na ubwabwa wa Hashim Rungwe? au ile ahadi ya kuleta maji ya bahari Dodoma? Just alike rubbish.Utakuwa hujamsikiliza Lissu au hujamuelewa. Mpaka sasa ni ameshaongelea hayo; atabadli mfumo wa elimu ili uweze kuto elimu bora na si bora elimu, mikopo kwa kila mwanafunzi na malipo ya mkopo 3 % badala ya 15 % pia atatoa bima ya afya kwa kila mtanzania.
jamaa anawavuruga mpaka mmechanganyikiwaLissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?
Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Huwa ninafurahia ninapowavuruga wengine, lakini sishangilii binadamu mwenzagu kuwavuruga wengine. Najiamini uwezo wangu badala ya kumpogeza mwingine. Msaidieni apate akili.jamaa anawavuruga mpaka mmechanganyikiwa
Muulize hayo maswali anaesema kazi ya urais ni ngumu sana ila bado yuko ikulu,anakula n kulala bureLissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?
Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Lissu!
Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?
Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
Babu ushindi unatafutwa kwa mbinu na sio Mazoea Tu endeleeni kusema Wasaniiii Diamond ana followers zaid 20m nchi nzima kuna watu watampigia KURA kisa Diamond ni CCMCCM haina mvuto kwakweli bila wasanii mtu utafuta kitu gani?
TUNDU LISSU AKIINGIA ATALIPIA KODI EEH NA CHAKULA ATANUNUA SI NDIO?Muulize hayo maswali anaesema kazi ya urais ni ngumu sana ila bado yuko ikulu,anakula n kulala bure
Asimulie tu Sasa mlitaka kumuua sababu gani ngoja awanyorosheHayo ndiyo anatakiwa aseme jamani hivi kampeni yote iatkuwa kusimulia alvyopigwa tu?