Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Wewe pia ni takataka tosha .Uandishi wako tu ni takataka tosha
Kujibu hoja si mpaka nisome?Hivi unategemea nani anamuda wakusoma huo waraka wako?Waraka huana huana hata paragraph wewe unaandika tu hovyohovyo.Wewe jibu hoja kila Mara nawaambia suala LA kuandika ni kipaji cha mtu angalia content,ndio maana waafrika mtazidi kuwa wa hivyo hivyo,unaangalia vitu vidogo sana,kuandika na kusoma ni vitu vya kufundishwa lakini upeo wa MTU haufundishwi ni mungu alivyoumba,hoja kuwa nimeandijaje hivyo haitakusaidia ndio maana kuna MTU ni muandisi nzuri,mwingine ni muongeaji mzuri mwingine ni mtendaji mzuri sasa kwa vile wewe ni zwazwa na tobolisu mwenzio ndio maana mnajadili MTU kujua kuongea lugha ya malkia ni usomi au kujua kupangilia maneno ni kujua jambo,lugha ni kiunganishi ndio maana kuwa viziwi na mabubu na bado wanawasiliana hivyo jaribu kusoma nilichoandika ukielewe kuna mengine ni ya typing inarusha lakini hoja imejibiwa dili na hill choko wewe.
CCM mna matatizo ,sasa kama hata Kiswahili kinawashinda mtaweza kweli kumpinga Lisu kwa hoja?,eti miladi,amekiliWere kwa akili zako mfu MTU aliyeshindwa kushauri chadema iwe na ofisi anaweza kutekeleza miladi ambayo john ametekeleza kwa miaka mitano,(1)unazungumzia bima ya afya kama huyu tobolisu mwenyewe amekili adharani awezi kuitekeleza kwa miaka mitano sasa utamuhukumu vipi mwingine kutekeleza taratibu,marekani na uwezo wao wameitekeleza lakini unaambiwa bado inasumbua uwezi tu kukurupukia jambo ukadhani ni rahisi wakati linahitji pesa jibu ni kwamba lipo kwenye utekelezaji(2)mfumo wa elimu ni kweli mbovu lakini unafahamu uliletwa na nani?hivi unafahamu mfumo huu wa sasa ili kubadili unahitaji kiasi gani cha pesa je? Tobolisu anadhani ni rahisi sana kufanya kila kitu kwa miaka mitano,unaitaji majadiliano ya kitaifa ambayo hujui yatachukua miaka mingapi alafu ndio ulitekeleze japo ni ushauri mzuri tutaufanyia kazi lakini angalizo kiingereza akiwezi kuwa suruhisho la uelewa bali ni lugha ya mawasiliano hivyo kukosea tamshi akuhalalishi MTU haelewi,pia kiswahili ni bora zaidi kwa sababu hatutaki kukalili tunataka uelewa wa kinachozungumzwa.................................
Na tukishachukua nchi huyo kibalaka wenu mwambieni aende kwa waliomuoa hatumtaki vinginevyo atajuta.Wewe pia ni takataka tosha .
Huna lolote nenda kwa niliyemjibu kaangalie kaandikaje na Mimi nikamuelewa alafu ndiyo uje kupiga kelele huku,tatizo liko pale pale mnapenda vitu laini laini,mwanaume jitume uwezi kuniambia humeshindwa kusoma wakati nimeanisha kwa namba,sema mnategemea kwamba hoja zenu hazina majibu SAS nukipewa majibu munarukaruka kutafuta sababu shwaini.Kujibu hoja si mpaka nisome?Hivi unategemea nani anamuda wakusoma huo waraka wako?Waraka huana huana hata paragraph wewe unaandika tu hovyohovyo.
Tokea uchaguzi wa vyama vingi uanze haijawahi tokea wastaafu kukacha kumnadi mgombea wao,hacheni unafki.Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Ilani yenu ipo kichwani mwenu na sio maandalizi ya chama.Lissu tafadhali ongelea na figisu suala la FastJet, naamini uchwara atakurupuka na kudakia ili ndege zirudi angani... tumemisi 'flights' za bei chee!
Chadema pia MNA shida sana kama ruzuku iliyotolewa tokea chadema kimeanzishwa ni billioni 350 na mumeshindwa kujenga ofisi je tukiwapa nchi mtaweza kujenga madaraja,barabara,hospital na kununua meli na ndege,mumeshindwa hats kutumia force account nyie ni wezi hamfai hata kidogo.CCM mna matatizo ,sasa kama hata Kiswahili kinawashinda mtaweza kweli kumpinga Lisu kwa hoja?,eti miladi,amekili
Uchaguli laini sana huu, mgombea mwenyewe anadhibiti jukwaa, sasa nyie mnaona shida,Tokea uchaguzi wa vyama vingi uanze haijawahi tokea wastaafu kukacha kumnadi mgombea wao,hacheni unafki.
Kwanini hasingekatwa yule ambaye kwa sasa hatujui kama ni mwanaume au mwanamke maana nasikia zile risasi zimeharibu mpaka mambo yetu yale.,nasikia yeye kwa sasa ni kama she tu.Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Hahaaaaaa.................. 😆 😛Wanaccm wengi wanafuatilia lissu, kwa kificho, mh. Mmoja tulimfumania chooni anasikilza hotoba ya raisi Tundu lisu
Mkuu kuwa mtambuzi tu kuwa ukiwalipa vizuri wafanyakazi pesa ita sambaa Kwa watu wengiUsiseme sehemu kubwa ya Watanzania.
Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Jini limevunja gudulia....!Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Kwahiyo tupo bakita hapa naona mnataka niandike kwam mpangilio utadhani natafuta kazi kutoacha nafasi au tatizo mini nyie bakita was jamiiMkuu kwa uandishi ule ,umekwama!
Unaandika Kama unafagia !
Ilani yenu ipo kichwani mwenu na sio maandalizi ya chama.
Yaani.mgombea anaokota mambo kwenye JF?
Kazi mnayo.
Basi shakuelewa....kumbe una miezi 2 tu humu,sio kosa lako!Kwahiyo tupo bakita hapa naona mnataka niandike kwam mpangilio utadhani natafuta kazi kutoacha nafasi au tatizo mini nyie bakita was jamii