Kujibu hoja si mpaka nisome?Hivi unategemea nani anamuda wakusoma huo waraka wako?Waraka huana huana hata paragraph wewe unaandika tu hovyohovyo.
 
CCM mna matatizo ,sasa kama hata Kiswahili kinawashinda mtaweza kweli kumpinga Lisu kwa hoja?,eti miladi,amekili
 
Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
 
Kujibu hoja si mpaka nisome?Hivi unategemea nani anamuda wakusoma huo waraka wako?Waraka huana huana hata paragraph wewe unaandika tu hovyohovyo.
Huna lolote nenda kwa niliyemjibu kaangalie kaandikaje na Mimi nikamuelewa alafu ndiyo uje kupiga kelele huku,tatizo liko pale pale mnapenda vitu laini laini,mwanaume jitume uwezi kuniambia humeshindwa kusoma wakati nimeanisha kwa namba,sema mnategemea kwamba hoja zenu hazina majibu SAS nukipewa majibu munarukaruka kutafuta sababu shwaini.
 
Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Tokea uchaguzi wa vyama vingi uanze haijawahi tokea wastaafu kukacha kumnadi mgombea wao,hacheni unafki.
 
Lissu tafadhali ongelea na figisu suala la FastJet, naamini uchwara atakurupuka na kudakia ili ndege zirudi angani... tumemisi 'flights' za bei chee!
Ilani yenu ipo kichwani mwenu na sio maandalizi ya chama.
Yaani.mgombea anaokota mambo kwenye JF?
Kazi mnayo.
 
CCM mna matatizo ,sasa kama hata Kiswahili kinawashinda mtaweza kweli kumpinga Lisu kwa hoja?,eti miladi,amekili
Chadema pia MNA shida sana kama ruzuku iliyotolewa tokea chadema kimeanzishwa ni billioni 350 na mumeshindwa kujenga ofisi je tukiwapa nchi mtaweza kujenga madaraja,barabara,hospital na kununua meli na ndege,mumeshindwa hats kutumia force account nyie ni wezi hamfai hata kidogo.
 
Tokea uchaguzi wa vyama vingi uanze haijawahi tokea wastaafu kukacha kumnadi mgombea wao,hacheni unafki.
Uchaguli laini sana huu, mgombea mwenyewe anadhibiti jukwaa, sasa nyie mnaona shida,
Subirini sindano za matako ziwaingie.
 
Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Kwanini hasingekatwa yule ambaye kwa sasa hatujui kama ni mwanaume au mwanamke maana nasikia zile risasi zimeharibu mpaka mambo yetu yale.,nasikia yeye kwa sasa ni kama she tu.
 
Hivi tume ilishinjwaje kumkata jina huyu mgombea? Maana anakipa chama chetu wakati mgumu mno...imefikia hatua hata wastaafu inabidi tuwaombe waongeze nguvu majimboni. Hali ni mbaya!!
Jini limevunja gudulia....!
 
Ilani yenu ipo kichwani mwenu na sio maandalizi ya chama.
Yaani.mgombea anaokota mambo kwenye JF?
Kazi mnayo.

Ulidhani JF ni kijiwe cha vilaza tu kama wewe, ilani inazingatia mahitaji na maoni ya Jamii.

Mgombea anayeokoteza hoja humjui au unamwogopa!
 
Kwahiyo tupo bakita hapa naona mnataka niandike kwam mpangilio utadhani natafuta kazi kutoacha nafasi au tatizo mini nyie bakita was jamii
Basi shakuelewa....kumbe una miezi 2 tu humu,sio kosa lako!
Ila kumbuka huku sio Facebook!
 
Tundu Lissu angekuwa chakula wala huwezi kumkinai maana kila hotuba anaongea mambo mapya siyo yule kila siku barabara tu mpaka anakinaisha.

Ni wakati wako mwana JamiiForums kumchagua Tundu Lissu kiongozi anayeweza kuchambua mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja siyo yule ambaye yeye maendeleo kwake ni barabara pekee hana nje ya hapo.

WAKATI NI WAKO, PIGA JIWE CHINI TUPATE MAENDELEO YA KWELI YA MTANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…