Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Lissu The Greatest to idiots.Lissu The Greatest
Tundu Lissu ni mtam kweli kweliTundu Lissu angekuwa chakula wala huwezi kumkinai maana kila hotuba anaongea mambo mapya siyo yule kila siku barabara tu mpaka anakinaisha.
Ni wakati wako mwana JamiiForums kumchagua Tundu Lissu kiongozi anayeweza kuchambua mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja siyo yule ambaye yeye maendeleo kwake ni barabara pekee hana nje ya hapo.
WAKATI NI WAKO, PIGA JIWE CHINI TUPATE MAENDELEO YA KWELI YA MTANZANIA
Hahahaa alikuwa anatishia kujamba wakati ana harishaAlisikika akisema " keleleni, nitaondoka mimi hapa' sauti ilisikika kwa mbaliii " aende zake bhana asitutishe,
Wivu utakuuaLissu The Greatest to idiots.
Ana madini na hayaishi. He is plenty of knowledges.Ni yeye.
.
Ndio maana jiwe anambania Coverage ya media jiwe angekufa aisee.
Jamaa ana madini mengi sana kichwani ni very smart huchoki kumsikiliza.
Mungu Mbariki Lissu awe Rais wa Tanzania.
Ni yeye.
Hii chemistry inaweza kufaa.Hapo ndyo utajua kuna Tofaut kati ya kiongozi na Manager.
Hii nchi Tundu Lissu akiwa Rais alafu magu wazir wa ujenzi. Mambo yangekuwa pouwa sana.
Unajua kiingereza kuliko Mwenyekiti !Lissu The Greatest to idiots.
Yaa kumuongelea Mwl kama hakuwa Kiongozi Mzuri, yaa kuongelea Mwanzo wa Muungano na ubatili wake kama "kichaa" ndio anaongelea mambo mapya ??Tundu Lissu angekuwa chakula wala huwezi kumkinai maana kila hotuba anaongea mambo mapya siyo yule kila siku barabara tu mpaka anakinaisha.
Ni wakati wako mwana JamiiForums kumchagua Tundu Lissu kiongozi anayeweza kuchambua mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja siyo yule ambaye yeye maendeleo kwake ni barabara pekee hana nje ya hapo.
WAKATI NI WAKO, PIGA JIWE CHINI TUPATE MAENDELEO YA KWELI YA MTANZANIA
Wewe ndio umejiunga august 10 , 2020 kwa akainti nyingi uje kufunika hoja za Lissu?? Hebu kanye kwanza huko.Yaa kumuongelea Mwl kama hakuwa Kiongozi Mzuri, yaa kuongelea Mwanzo wa Muungano na ubatili wake kama "kichaa" ndio anaongelea mambo mapya ??
Mpaka wazee wa saccos wanamuona kama hayawani fulani hivi au mtoto asiye na wazazi ndio huyo unayesema anajua maendeleo ya kweli ya Mtz au ndio mwenye kutaka kutuletea fujo
Ile kumnyesha Anti hakutoshiWewe ndio umejiunga august 10 , 2020 kwa akainti nyingi uje kufunika hoja za Lissu?? Hebu kanye kwanza huko.
Tundu lissu anasimama jukwaani anatoa umbeya baada ya kutaja sera
Naona umerudi baada ya UVCCM kunyimwa bajeti ya kampeni[emoji16]
Jiwe anafanyaje .?Tundu lissu anasimama jukwaani anatoa umbeya baada ya kutaja sera
Unaohusu Uhuru,haki na maendeleo ni sumu kwa wengine.Tundu lissu anasimama jukwaani anatoa umbeya baada ya kutaja sera