Hakuna kama Lissu. Aisew Mungu ni mwema ameamua kutufuta machoziBila kujali uvyama Bali uhalisia wa nini mhusika amekua akikitetea,maono na ndoto ya nini hatima ya nchi yetu kiuchumi, kijamii na kisiasa huyu Mheshimiwa ameonyesha umahiri mkubwa kuelezea nini ataifanyia nchi hii.
Tundu Lissu Rais wa JMT FULL STOPWewe kuku acha kuita watu ng'ombe
Usitujumuishe "watanzania" wewe sio msemaji wetu na wala hatujakutuma, mapenzi yako kwa lissu ni wewe na familia yako (maybe) sisi wengine kura yetu kwa magufuli ebo!Rafiki yangu na kaka yangu Lissu, watanzania wameumia vya kutosha chini ya utawala wa zaidi ya nusu karne wa ccm na pegnine zaidi, katika utawala wa awamu hii. Wanahitaji Sera mbadala, faraja na ahueni ya maisha ambayo umekuwa ukiinadi vyema, lakini kuna kitu umekuwa ukijisahau katika kampeni zako.
Wakati ukielezea mambo makubwa ya kitaifa, ivute hadhara yako kwa kutaja kero mahususi ndani ya local area yao na toa ahadi ya kushughulika na hizo kero mahususi ndani ya jimbo husika huku ukiwashawishi wamchague mbunge atakaye kusaidia kutatua hizo kero mahususi.
Ongea kama Rais mtarajiwa kwa mambo ya kitaifa kwa ujumla, lakini pia ongea kama mbunge kwa kutaja kero za eneo husika. Hapo jamii itakuelewa na kukuamini kuwa unazijua kwa dhati kero zao na utaweza kuzitatua.
Mfano ulipokuwa Tabora wakati ukihutubia kulikuwa na shouting kutoka kwenye crowd kuhusu vipalata, nashukuru ulisikia na kuliongelea. Juzi bagamoyo wakawa wanashout kuhusu bandari, n.k. Hiyo ni mifano michache tu niliyokupa naomba we we binafsi na timu yako kwa ujumla mlifanyie kazi.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Lissu ni Mwanasheria bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.
Lissu ni Mgombea urais Bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.
Lissu ni mwanasiasa anayeamini katika uundaji wa Taasisi imara na mifumo thabiti ya kimuundo ikiwemo na sheria.
Si kama jiwe One man show.
Kama mtu hana uwezo wa kutatua matatizo hata akijilazimisha kuyaongea hataweza kuyatimizaRafiki yangu na kaka yangu Lissu, watanzania wameumia vya kutosha chini ya utawala wa zaidi ya nusu karne wa ccm na pegnine zaidi, katika utawala wa awamu hii. Wanahitaji Sera mbadala, faraja na ahueni ya maisha ambayo umekuwa ukiinadi vyema, lakini kuna kitu umekuwa ukijisahau katika kampeni zako.
Wakati ukielezea mambo makubwa ya kitaifa, ivute hadhara yako kwa kutaja kero mahususi ndani ya local area yao na toa ahadi ya kushughulika na hizo kero mahususi ndani ya jimbo husika huku ukiwashawishi wamchague mbunge atakaye kusaidia kutatua hizo kero mahususi.
Ongea kama Rais mtarajiwa kwa mambo ya kitaifa kwa ujumla, lakini pia ongea kama mbunge kwa kutaja kero za eneo husika. Hapo jamii itakuelewa na kukuamini kuwa unazijua kwa dhati kero zao na utaweza kuzitatua.
Mfano ulipokuwa Tabora wakati ukihutubia kulikuwa na shouting kutoka kwenye crowd kuhusu vipalata, nashukuru ulisikia na kuliongelea. Juzi bagamoyo wakawa wanashout kuhusu bandari, n.k. Hiyo ni mifano michache tu niliyokupa naomba we we binafsi na timu yako kwa ujumla mlifanyie kazi.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kweli Lumumba hata propaganda hamuwezi! Kwa iyo wanaochimba mafuta UGANDA ni waganda????Rais Museveni wa Uganda amesema aliamua kuwasomesha wataalamu wa ndani maswala ya mafuta baada ya wataalamu wa kizungu kumletea figisu baada ya Russia kugundua mafuta mengi huko kwao.
Mseveni amesema kwa sasa Uganda ina wataalamu wabobezi wa mafuta na hawamtegemei mtu yoyote.
Tundu Lisu mgombea urais wa Chadema amesema akishinda atawarudisha nchini wataalamu wa gas kutoka Ulaya walioletwa na Kikwete lakini sasa wamekimbilia Msumbiji kutafiti gas huko.
My take; Huyu Tundu Lisu anataka kuturudisha nyuma kimaendeleo
Maendeleo hayana vyama!
Achana na Uganda ajiulize tu Middle east makampuni mangapi yakizingu ndo yanachimba mafuta . Wana technologia na capital pia . Sasa tunawataalam wanamaliza Kwenyw vyuo vyetu wamekariri notes na petroleum engineering unawapa tender vipi? Tuseme wana skills basi , capital unayo? Technology unayo?Mseven ana wasomi lakini nani anachimba mafuta uganda, nani anajenga bomba la mafuta!!!!, Suala la nishati hasa gesi na mafuta ni suala mtambuka sio la siasa za majukwaani hasa kwa nchi zetu hizi
Tutegemee kuzika matrillioni kwenye mradi wa hovyo wa bomba la mafuta.Rais Museveni wa Uganda amesema aliamua kuwasomesha wataalamu wa ndani maswala ya mafuta baada ya wataalamu wa kizungu kumletea figisu baada ya Russia kugundua mafuta mengi huko kwao...
Rungwe sio msaliti wa Nchi
Tuko pamojaLissu anasema ataweka bima kwa kila Mtanzania, ni jambo jema. Ila kama hakuna hospitali, hakuna vituo vya afya, zahanati, vifaa vya mahospitalini, ambulance nk. Bima itasaidia nini?...