Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Bila kujali uvyama Bali uhalisia wa nini mhusika amekua akikitetea,maono na ndoto ya nini hatima ya nchi yetu kiuchumi, kijamii na kisiasa huyu Mheshimiwa ameonyesha umahiri mkubwa kuelezea nini ataifanyia nchi hii.
Hakuna kama Lissu. Aisew Mungu ni mwema ameamua kutufuta machozi
 
Rafiki yangu na kaka yangu Lissu, watanzania wameumia vya kutosha chini ya utawala wa zaidi ya nusu karne wa ccm na pegnine zaidi, katika utawala wa awamu hii. Wanahitaji Sera mbadala, faraja na ahueni ya maisha ambayo umekuwa ukiinadi vyema, lakini kuna kitu umekuwa ukijisahau katika kampeni zako.

Wakati ukielezea mambo makubwa ya kitaifa, ivute hadhara yako kwa kutaja kero mahususi ndani ya local area yao na toa ahadi ya kushughulika na hizo kero mahususi ndani ya jimbo husika huku ukiwashawishi wamchague mbunge atakaye kusaidia kutatua hizo kero mahususi.

Ongea kama Rais mtarajiwa kwa mambo ya kitaifa kwa ujumla, lakini pia ongea kama mbunge kwa kutaja kero za eneo husika. Hapo jamii itakuelewa na kukuamini kuwa unazijua kwa dhati kero zao na utaweza kuzitatua.

Mfano ulipokuwa Tabora wakati ukihutubia kulikuwa na shouting kutoka kwenye crowd kuhusu vipalata, nashukuru ulisikia na kuliongelea. Juzi bagamoyo wakawa wanashout kuhusu bandari, n.k. Hiyo ni mifano michache tu niliyokupa naomba we we binafsi na timu yako kwa ujumla mlifanyie kazi.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Usitujumuishe "watanzania" wewe sio msemaji wetu na wala hatujakutuma, mapenzi yako kwa lissu ni wewe na familia yako (maybe) sisi wengine kura yetu kwa magufuli ebo!
 
Lissu ni Mwanasheria bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.
Lissu ni Mgombea urais Bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania.

Lissu ni mwanasiasa anayeamini katika uundaji wa Taasisi imara na mifumo thabiti ya kimuundo ikiwemo na sheria.

Si kama jiwe One man show.

Umemaliza yote Mkuu. Watanzania wanayasoma haya na kuyaelewa.
 
Rafiki yangu na kaka yangu Lissu, watanzania wameumia vya kutosha chini ya utawala wa zaidi ya nusu karne wa ccm na pegnine zaidi, katika utawala wa awamu hii. Wanahitaji Sera mbadala, faraja na ahueni ya maisha ambayo umekuwa ukiinadi vyema, lakini kuna kitu umekuwa ukijisahau katika kampeni zako.

Wakati ukielezea mambo makubwa ya kitaifa, ivute hadhara yako kwa kutaja kero mahususi ndani ya local area yao na toa ahadi ya kushughulika na hizo kero mahususi ndani ya jimbo husika huku ukiwashawishi wamchague mbunge atakaye kusaidia kutatua hizo kero mahususi.

Ongea kama Rais mtarajiwa kwa mambo ya kitaifa kwa ujumla, lakini pia ongea kama mbunge kwa kutaja kero za eneo husika. Hapo jamii itakuelewa na kukuamini kuwa unazijua kwa dhati kero zao na utaweza kuzitatua.

Mfano ulipokuwa Tabora wakati ukihutubia kulikuwa na shouting kutoka kwenye crowd kuhusu vipalata, nashukuru ulisikia na kuliongelea. Juzi bagamoyo wakawa wanashout kuhusu bandari, n.k. Hiyo ni mifano michache tu niliyokupa naomba we we binafsi na timu yako kwa ujumla mlifanyie kazi.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kama mtu hana uwezo wa kutatua matatizo hata akijilazimisha kuyaongea hataweza kuyatimiza
Tundu hajui anataka uraisi ili afanyeje zaidi ya kuhisi akimtoa magufuli atapata sifa
 
Very good ideas zifanyiwe kazi na team ya kampeni ,halafu Kuna yule msrmaji wa mgombea ubunge Jimbo la nyamagana aongezwe kwenye msafara wa Lissu wa kampeni .
 
Rais Museveni wa Uganda amesema aliamua kuwasomesha wataalamu wa ndani maswala ya mafuta baada ya wataalamu wa kizungu kumletea figisu baada ya Russia kugundua mafuta mengi huko kwao.

Museveni amesema kwa sasa Uganda ina wataalamu wabobezi wa mafuta na hawamtegemei mtu yoyote.

Tundu Lissu mgombea urais wa CHADEMA amesema akishinda atawarudisha nchini wataalamu wa gas kutoka Ulaya walioletwa na Kikwete lakini sasa wamekimbilia Msumbiji kutafiti gas huko.

My take; Huyu Tundu Lissu anataka kuturudisha nyuma kimaendeleo.

Maendeleo hayana vyama!
 
Rais Museveni wa Uganda amesema aliamua kuwasomesha wataalamu wa ndani maswala ya mafuta baada ya wataalamu wa kizungu kumletea figisu baada ya Russia kugundua mafuta mengi huko kwao.

Mseveni amesema kwa sasa Uganda ina wataalamu wabobezi wa mafuta na hawamtegemei mtu yoyote.

Tundu Lisu mgombea urais wa Chadema amesema akishinda atawarudisha nchini wataalamu wa gas kutoka Ulaya walioletwa na Kikwete lakini sasa wamekimbilia Msumbiji kutafiti gas huko.

My take; Huyu Tundu Lisu anataka kuturudisha nyuma kimaendeleo

Maendeleo hayana vyama!
Kweli Lumumba hata propaganda hamuwezi! Kwa iyo wanaochimba mafuta UGANDA ni waganda????

Siku hizi Total ni kampuni ya Uganda eeeh????😂😂
 
Mseven ana wasomi lakini nani anachimba mafuta uganda, nani anajenga bomba la mafuta!!!!, Suala la nishati hasa gesi na mafuta ni suala mtambuka sio la siasa za majukwaani hasa kwa nchi zetu hizi
Achana na Uganda ajiulize tu Middle east makampuni mangapi yakizingu ndo yanachimba mafuta . Wana technologia na capital pia . Sasa tunawataalam wanamaliza Kwenyw vyuo vyetu wamekariri notes na petroleum engineering unawapa tender vipi? Tuseme wana skills basi , capital unayo? Technology unayo?
 
Rais Museveni wa Uganda amesema aliamua kuwasomesha wataalamu wa ndani maswala ya mafuta baada ya wataalamu wa kizungu kumletea figisu baada ya Russia kugundua mafuta mengi huko kwao...
Tutegemee kuzika matrillioni kwenye mradi wa hovyo wa bomba la mafuta.
 
Tundu Lisu pia amesema Serikali imefilisi mifuko ya jamii kwa mikopo isiyo na mikataba ya kulipa, na mpaka Sasa hawajalipa.

Pia, Lisu akasema mwaka huu Ccm wamechukua Pesa kutoka Psssf na NSSF kwa ajili ya Kampeni. Ndio maana waliopoteza kazi na wastaafu hawalipwi.

Waziri au Serikali waje watoe Taarifa, hizi sio tuhuma ndogo, kupora haki za wanyonge
 
Lissu anasema ataweka bima kwa kila Mtanzania, ni jambo jema. Ila kama hakuna hospitali, hakuna vituo vya afya, zahanati, vifaa vya mahospitalini, ambulance nk. Bima itasaidia nini? Kuna mashine nyingi sana mahospitalini zinahitaji umeme wa uhakika muda wote.

Kama hakuna njia nzuri za Mawasiliano, barabara, reli nk maisha lazima yawe ghali hata iweje, vyakula vingine vinatakiwa kufika kwenye masoko haraka unakuta vinaharibika.

Sijamsikia mbunge hata mmoja wa CHADEMA akipiga kampeni kwa kujisifu kwamba ameimarisha uhuru wa kujieleza jimboni kwake, bali wote wanakimbilia miradi ya serikali wanayopinga bungeni halafu kwenye kampeni wanasema wamefanya wao. Wote wanajisifia barabara, maji, umeme, elimu, afya nk

Maendeleo hayana vyama.
Twende na Magufuli 2025.
 
Magufuli usipoteze muda kwenda kwenye huo mdahalo.

Magufuli tunamjua na misimamo yake tunaijua na faida ya misimamo yake tumeiona

Huyo mzee wa tutashitakiwa MIGA acha apoteze muda na pesa alizohongwa na mabeberu
 
Back
Top Bottom