Akihutubia umati wa watu Moshi, amesema CHADEMA ikiingia Ikulu itafanya kazi na mapolisi wetu hawa hawa. Amesema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. CCM na rais Magufuli wamewalea polisi katika kutotenda haki, na si kuwa ndivyo walivyoumbwa, la hasha!

Wamelelewa kwa miaka 5 katika kutotenda haki, kuonea watu, kubambika kesi watu etc. Akasema Chadema ikiingia Ikulu, IKULU itatenda na HAKI na hivyo chochote kilicho chini yake kitatenda HAKI maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo! Polisi wamelelewa na Magufuli kutotenda haki.
 
Naiomba Serikali itolee ufafanuzi hii kauli, ili kuondoa sintofahamu kwa wananchi,hususani wafanyakazi

Serikali imekopa mifuko ya hifadhi za jamii PSSSF na NSSF na haijaweza kurudisha. MBAYA zaidi, mwaka huu kuanzia April hivi, Mifuko imeshindwa kulipa mafao. Jana Mh. Lisu akasema kuwa CCM imechukua pesa Za KAMPENI huko kwenye mifuko ya PSSSF na NSSF. Je wafanyakazi mnalipwa mafao yenu ya uzee na fao la kukosa ajira kwa wakati?

Mimi sijui, kamuulizeni aliyesema ..ni Mh. Lisu. Sikilizeni clip za Mwananchi Youtube.

Na akiwa Morogoro, akasema Vigogo wa CCM wamepora mashamba makubwa mvomero, Morogoro. Mkapa elfu 60, Familia ya Mwinyi elfu 60, Sumaye 2000 etc. Sehemu mbali mbali za nchi na zile ranch. Wananchi wanakosa maeneo ya kulima na kulishia mifugo...

Ni Mh. Lisu alisema...Youtube.

Sasa hizi ndio hoja za kujibu kwa Serikali na sio kusema kuna mtu anatukanwa.
 
CCMMBELEKWAMBELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."

Kipangaspecial 2020
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa ametoa rai na maagizo kwa wagombea Ubunge wote wa chama nchi nzima kutumia mkopo wao wa gari baada ya kuapishwa ili kuchimba visima vya maji safi 20 kwenye majimbo yao ndani ya mwaka mmoja ili kuwaondolea kero wananchi wanaohangaika kutafuta maji kwa matumizi ya nyumbani.

Aidha visima hvyo vitatumika kutoa ajira ya vijana watakaobeba vikokoteni kusambaza maji kwa wahitaji. Vilevile mwananchi yeyote atakayetaka kuunganishiwa maji atafuata utaratibu utakaowekwa.

CHADEMA itapeleka huduma muhimu kwa wananchi. Yote haya yanawezekana pindi wananchi wakitupa ridhaaa. Mnyika anaomba Watanzania muwapigie kura Wabunge wote wa CHADEMA kwa wingi na Lissu kwa ngazi ya Urais
 
Katika kukabiliana na uhaba wa maji , mgombea ubunge jimbo la serengeti mh Catherine Ruge ameahidi kupambana na uhaba wa maji ndani ya mwaka mmoja kwa kuchimba visima vya maji safii 20 jimboni kwake.
 
Dr Bill,
Chadema hawajahi kuelezea watanzania kwamba wakishinda watawafanyia nini, zaidi kila uchaguzi agenda ya wapinzani wetu wakiwemo chadema ni kuiondoa ccm madarakani kana kwamba kero ya watanzania ni ccm.
Hawaelewekiiii.
 
Nani amekuambia kwamba Chadema mwishowe huwa hawashindi? Ukweli ni kwamba Chadema huwa wanashinda lakini nyie maccm kwa kushirikiana na Time na Polisi unadhulumu ushindi huo.
 
Duh! We mtu ulipotea sana humu.
Bima ya afya si kinga ya maradhi
Sera ijikite kwenye kuzuia maradhi si kutibu
Watanzania wale chakula bora, wajenge vyoo wafundishwe kunawa mikono , kufanyaazoezi kuwa na mawazo chanya nkHOSPITALI SI MAHALI PA KUJENGA AFYA BALI NI SEHEMMU YA KUKARABATI SIHA

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hapa tulipofika ni wazi Bagosha anacheza muziki wetu, hizi hasira anazobwabwaja nazo Sasa ndo tulitaka afikie hatua hiyo, inavutia sasa.

So kaka Lissu kanyagia hapo hapo, Samaki keshameza chambo, shikilia hapo hapo hadi tumvue nje ya maji; Kanyaga hapo hapo hadi awaamuru polisi wake waanze kutupiga raia, there is No letting up!
 

Sisi tuna subiri tarehe 28 october najua utakuwepo Jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…