Umefafanua vizuri sana sasa tatizo hawa mboga mboga kuelewa huwa ni shida sana ndiyo maana hata mgombea wao anasimama jukwani anasema kuna mgombea amesema watu wasilipe kodi utadhania. Angepelekewa huu uzi na mataga ausome.
 
Executive order ya rais ni sheria. Rais anayewapenda wamachinga alitoa amri wasilipishwe ushuru uliokuwa unawapa kero. Kulipa mia tano kila siku na kulipa 20000 kwa mwaka kipi bora?

Sasa kwanini wakitoa hiyo pesa hawapewi risiti ili iweze kuingia seriakali kwanini wasiwaambie walipia online kama malipo mengine ya seriakali.
 
Sasa kwanini wakitoa hiyo pesa hawapewi risiti ili iweze kuingia seriakali kwanini wasiwaambie walipia online kama malipo mengine ya seriakali.
Una uhakika? Maana malipo yanafanyika kwa electronically.Au wewe unajua risiti mpaka iwe karatasi?
 
Ndugu zangu,

Tundu Lissu aanza sasa kutoa ahadi ya maendeleo ya vitu badala ya watu.

 
Naangalia live ujue. Leo Lissu kaongea kama Rais wa nchi hii.
Kuna ujinga mkubwa mko nao watu mnao dhani Tundu Lisu ni mwenye akili na kama kweli ana uchungu na wananchi zaidi ya JPM..mna macho lakini hamuoni,mna akili lakini punguani
 
Mpeni Kura za Ndiyo Mh,Lissu ili akatekeleze Ilani ya Chadema.

Raisi Mwanasheria hakuna kutekana hovyo mchana kweupe,hakuna risasi za Mchana kweupe alafu watuhumiwa mpaka leo hawajapatikana.

Hakuna kufokea wapiga Kura,na kuwatisha eti msipochagua mboga mboga hakuna maendeleo.

Uhuru Haki na Maendeleo.
 
Mkuu kipindi hiki hakukuwa na misamiati kama ya KUUNGA MKONO JUHUDI, WASIOJULIKANA, N.K
Ukiwa sehemu ambayo haifungamani na upande wowote hutakuwa na msongo. Kila mmoja anatetea ugali wake na siku zote mwamba ngoma huvutia kwake!
 
Thanks, however, visit a Psychiatrist, you need her/his service urgently.
If I need the service of a psychiatrist then you need the divine power of Jesus Christ because you're dead already.
 
Thanks, however, visit a Psychiatrist, you need her/his service urgently.
If I need the service of a psychiatrist then you need the divine power of Jesus Christ because you're dead already.
Msamaha gani mlitaka mpewe? Kiuhalisia mlitakiwa mshitakiwe mfungwe mkanyee debe. Kama hujui forgery ni kosa la jinai.

Kitendo cha Rais kuwafukuza kazi bila kuwachukulia hatua za kisheria ni hisani tosha.
Makonda je, mbona husemi?
 
Huyu jamaa ni Bright na Smart sana hana PHD isiyoeleweka kama yule aliyesukumiwa madaraka halafu uzuri sio msahaulifu kama yule kokoto muongo muongo.
Hapana kamanda. Huyu jamaa ni kwenda naye polepole.
Tukimpa muda mwingi ataanza kuropoka.
Si unamjua?
 
Kwa utawala huu tulio nao. Lissu anafaa , haogopi mtu wala taasisi yoyote inayoenda kinyume.
Asiye Muoga Wala mnafiki alikuwa Kamanda mliyemuita Rais wa Mioyo ya watu Daktari Msomi Willbload Slaa, kumbuka alivyo kuwa na mazingira mazito kusoma THE LIST OF SHAME katika nchi Ile ambayo haikujua upinzani ni nini.
 
Asiye Muoga Wala mnafiki alikuwa Kamanda mliyemuita Rais wa Mioyo ya watu Daktari Msomi Willbload Slaa, kumbuka alivyo kuwa na mazingira mazito kusoma THE LIST OF SHAME katika nchi Ile ambayo haikujua upinzani ni nini
Tayari yuko kwenu huko, mmumtumie nyinyi. Huku hakuna njaa ya wagombea.
 
Mkuu ukisoma vema mistari yangu utaelewa kwanini Lissu kawazidi, hii miaka mitano imekuwa migumu sana, lakini ujio wake umekuwa gumzo. What if vyama vyote vingefanya siasa katika uwanja fair kwa hii miaka?
Upinzani wa zama za Lissu ni wa uoga kupita zama zote, lissu ana enjoy external Immunity Jambo ambalo Kina Mawazo, kina Dr Mvungi, kina Zitto wale hawakuwa nacho. Ndio maana mmemfanya Lissu kuwa kipaza sauti na nyie wote mmejificha uvunguni. Upinzani ule haukuwa wa Sugu kuguswa na Askari yoyote, Leo wanamgusa wanamtekenya na kumfanya wanavyotaka.

Mmekaa mnamsubiri mtu Kama kikwete ashuke awape haki ya kuzungumza that is non sense.

Kwa taarifa yenu Lissu akizidisha kura Million tatu na laki tano mniroge.
 
Ameacha kulalamika siku hizi?. Pamoja na point zake, ila akae pembeni watanzania tumpe jembe 5 tena. Magufuli anatosha.
 
Cha ajabu sijamsikia Dr. Slaa akiponda mgombea wa CHADEMA Kama zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…