Hayo yanapatikana katika haki uhuru namaendeleoNakusihi eeeh rais wa Tanzania Mtarajiwa Ndugu Tundu Lisu, kwenye kampeni zako gusia na Michezo, huku kuna wapiga kura wengi sana. Ningeshauri Sera yako iwe kwamba Timu yoyote itakayofuzu kwenye mashindano ya kimataifa ( Iwe timu ya Taifa au club) basi liwe ni jukumu la serikali kuihudumia timu hiyo paka mashindano yatakapoisha.
Hapo lazima ule kura za kumwaga rais wangu.
Nani atamtafutita kura, mtandao mnao ? Au kama kawaida yenu, kujifariji clubWananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.
Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako;
-Katiba Mpya(Ya Warioba)
-Suala la mikopo.
-Fao la kujitoa.
-Kuendesha nchi kimajimbo
-Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.
Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura.
Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Wewe lete za ndugu yuleTupe statistics za kutosha kuwa ,ndugu huyu anaungwa mkono na wengi?
Usibishe ukweli kilakitu nikubisha jana mzee kaweka mikutano 2 pamoja na fiesta yake lakini bado jamakakusanya mkoa mzima unaona nikasi yamchezoTupe statistics za kutosha kuwa ,ndugu huyu anaungwa mkono na wengi?
Asimia 90Wewe lete za ndugu yule
Huendi kwa majaribio kwani waliotangulia walisomea wapi nafasi hiyo, magu ulim entervie wewe mpka aka corify?Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa
Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi
Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!
Magu, Mbele Kwa mbele
Wazungu wanasema Try and Fail, But Don't Fail even To Try!Hata Magu alijaribiwa. Tuambie Magu alikuwa Rais wa nchi ipi 2015?
Mbali na kupigwa risasi Lisu Ni mtu mwenye akili sana.Nzalendo wa kweli Ni msomi na mpenda watu,anafaa na anastahili kuwa Rais.Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa
Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi
Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!
Magu, Mbele Kwa mbele
Hebu tuache kudanganyana jamani,lissu hana ubavu wakupata hata nusu ya kura aluzopata Lowassa 2015Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.
Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:
- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.
Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.
Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:
- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.
Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Mbona kuna taahira lilijaribu lakini tunaona limeweza? Seuse huyu mwenye akili timamu?Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa
Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi
Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!
Magu, Mbele Kwa mbele
Mbona iko wazi tu !Tupe statistics za kutosha kuwa ,ndugu huyu anaungwa mkono na wengi?
Mkuu una akili nyingi kuliko redio ,naunga mkono hoja ,japo najua litafika mda wake litazungumziwa lissu na Tim yake wako makini Sana mkuu ,maana mpaka Sasa inapigwa kampeni ya kisayansi never seen before so subiri hatua ya mwisho ya kampeni itakua shida, shikamoo mh mbowe ,siku moja tafadhali andika kitabu juu ya maisha yako ya siasa kitasaidia vizazi na vizazi mkuuNakusihi eeeh rais wa Tanzania Mtarajiwa Ndugu Tundu Lisu, kwenye kampeni zako gusia na Michezo, huku kuna wapiga kura wengi sana. Ningeshauri Sera yako iwe kwamba Timu yoyote itakayofuzu kwenye mashindano ya kimataifa ( Iwe timu ya Taifa au club) basi liwe ni jukumu la serikali kuihudumia timu hiyo paka mashindano yatakapoisha.
Hapo lazima ule kura za kumwaga rais wangu.
Hapo ndio akazie maana CCM hawana njia nyingine ya kushinda zaidi ya kuiba kura na kutegemea tume iliyojazwa vipenyo , wameanza kununua shahada , kuongeza idadi ya wapiga kura kwenye database za tume .LISSU kaka wa taifa kashachaguliwa, chamsingi CDM iwafanyie training mawakala watakaosimamia uchaguzi, namna watakavyolinda kura wakishirikiana na sisi wananchi.
Kwanza nilisukumizwa kugombea urais!Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa
Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi
Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!
Magu, Mbele Kwa mbele
Ameshashinda mitandaoniMbona iko wazi tu !