Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Nakusihi eeeh rais wa Tanzania Mtarajiwa Ndugu Tundu Lisu, kwenye kampeni zako gusia na Michezo, huku kuna wapiga kura wengi sana. Ningeshauri Sera yako iwe kwamba Timu yoyote itakayofuzu kwenye mashindano ya kimataifa ( Iwe timu ya Taifa au club) basi liwe ni jukumu la serikali kuihudumia timu hiyo paka mashindano yatakapoisha.
Hapo lazima ule kura za kumwaga rais wangu.
Hayo yanapatikana katika haki uhuru namaendeleo
Kwakuwa amebeba ujumbe mzito wakatiba mpya inakwenda kuinufaisha Tanzania na siyeye binafsi .yote tumepata in nshaaalah tumpekura ni yeye
 
Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.

Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako;
-Katiba Mpya(Ya Warioba)
-Suala la mikopo.
-Fao la kujitoa.
-Kuendesha nchi kimajimbo
-Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.

Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura.
Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Nani atamtafutita kura, mtandao mnao ? Au kama kawaida yenu, kujifariji club
 
Tupe statistics za kutosha kuwa ,ndugu huyu anaungwa mkono na wengi?
Usibishe ukweli kilakitu nikubisha jana mzee kaweka mikutano 2 pamoja na fiesta yake lakini bado jamakakusanya mkoa mzima unaona nikasi yamchezo
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Huendi kwa majaribio kwani waliotangulia walisomea wapi nafasi hiyo, magu ulim entervie wewe mpka aka corify?
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Mbali na kupigwa risasi Lisu Ni mtu mwenye akili sana.Nzalendo wa kweli Ni msomi na mpenda watu,anafaa na anastahili kuwa Rais.
 
Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.

Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:

- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.

Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
Hebu tuache kudanganyana jamani,lissu hana ubavu wakupata hata nusu ya kura aluzopata Lowassa 2015
 
Nakubaliana na wewe lakini Tume zitawatangaza Jiwe na Mwinyi kuwa Marais. Tujitayarishe tu kutetea ushindi wetu na Lissu. Tume haitomtangaza Lissu. Tuwe tayari kuonyesha nguvu ya umma.
Wananchi walio wengi wana kuunga mkono, wamebaki wachache sana ambao bila shaka ni wanufaika wa utawala huu wa awamu ya tano.
Kaba hivyo hivyo, kamatia hapo hapo lazima nchi irudi mikononi kwa watanzania halisi ambao wana utu, upendo na wenye kujali maendeleo ya watu kuliko ma 'stegilazi'.

Hivyo kazia mambo haya kwenye kampeni zako:

- Katiba Mpya(Ya Warioba)
- Suala la mikopo.
- Fao la kujitoa.
- Kuendesha nchi kimajimbo
- Mengine kuhusu ufisadi kama huu wa kampuni moja ambayo inashinda kila Zabuni.

Umeeleweka, sasa wahitaji kuwavuta wananchi zaidi wa kuongeza kura. Una kura za waandishi wa habari, wakulima, wafanyakazi na wastaafu, wanafunzi wa vyuo nk.
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Mbona kuna taahira lilijaribu lakini tunaona limeweza? Seuse huyu mwenye akili timamu?
 
Nakusihi eeeh rais wa Tanzania Mtarajiwa Ndugu Tundu Lisu, kwenye kampeni zako gusia na Michezo, huku kuna wapiga kura wengi sana. Ningeshauri Sera yako iwe kwamba Timu yoyote itakayofuzu kwenye mashindano ya kimataifa ( Iwe timu ya Taifa au club) basi liwe ni jukumu la serikali kuihudumia timu hiyo paka mashindano yatakapoisha.
Hapo lazima ule kura za kumwaga rais wangu.
Mkuu una akili nyingi kuliko redio ,naunga mkono hoja ,japo najua litafika mda wake litazungumziwa lissu na Tim yake wako makini Sana mkuu ,maana mpaka Sasa inapigwa kampeni ya kisayansi never seen before so subiri hatua ya mwisho ya kampeni itakua shida, shikamoo mh mbowe ,siku moja tafadhali andika kitabu juu ya maisha yako ya siasa kitasaidia vizazi na vizazi mkuu
 
LISSU kaka wa taifa kashachaguliwa, chamsingi CDM iwafanyie training mawakala watakaosimamia uchaguzi, namna watakavyolinda kura wakishirikiana na sisi wananchi.
Hapo ndio akazie maana CCM hawana njia nyingine ya kushinda zaidi ya kuiba kura na kutegemea tume iliyojazwa vipenyo , wameanza kununua shahada , kuongeza idadi ya wapiga kura kwenye database za tume .
IMG_20200919_182212.jpg
 
Nachoweza kusema, Nalaani vikali mashambulizi ya Mh Lisu pale Area D" Dodoma, na kiukweli swala hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila anayeshambuliwa na kupigwa Lisasi anafaa kuwa Raisi

Kwenye swala la Uraisi hatuendi Kwa majaribio Wala huruma huruma!!!

Magu, Mbele Kwa mbele
Kwanza nilisukumizwa kugombea urais!
Kazi hii ni ngumu sana!
Najuta kuchukua fomu!
Bila mzee Mkapa nisingekua Rais!
 
hapo kweny fao la kujitoa apo nina interest napo ..... namuombea sana ashinde najua haitakuwa ndan miezi michache but atleast atakua kwenye kuweka mambo sawa nikachukue kamchele kangu uko LAPF....... Magufuli has nothing to offer me zaid ya kupitisha ile ya mpka ufike miaka 60.
 
Back
Top Bottom