Ni kweli Lissu ana uwezo mdogo, sasa unaonaje tukiwakutanisha yeye na mzee wa PhD kwenye mdahalo ?Mitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lisu kuelezea sera za Chadema ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za Chadema
Mwambieni Lisu aeleweke Kwanza kwa wananchi mikutanoni asisubiri midahalo kazi kubwa iko kwenye kampeni Sio midahaloNi kweli Lissu ana uwezo mdogo, sasa unaonaje tukiwakutanisha yeye na mzee wa PhD kwenye mdahalo ?
Maria Sarungk alishajitolea kuwa moderator wa huo mdahalo.
Sisi ndio wananchi wenyewe tunaotaka mdahalo ili mzee wa PhD amwoneshe maujuzi Lissu.Mwambieni Lisu aeleweke Kwanza kwa wananchi mikutanoni asisubiri midahalo kazi kubwa iko kwenye kampeni Sio midahalo
IQ yake Ndogo na msimamo HanaUwezo wa Lisu niliupima pale alipo kua kinara wa kutangaza Lowasa fisadi alafu Lowasa alipo amia Chadema akadai Lowasa si fisadi kwakua alisingiziwa.
akikujibu hii unibeep.Sisi ndio wananchi wenyewe tunaotaka mdahalo ili mzee wa PhD amwoneshe maujuzi Lissu.
HahahahaMitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lisu kuelezea sera za Chadema ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za Chadema
SEMA wewe binafsi usiseme wananchi. ulikutana nao wapi kikao Cha wapi wakakuchagua wewe kuwa msemaji wao? Minutes za kikao ziko wapi?Sisi ndio wananchi wenyewe tunaotaka mdahalo ili mzee wa PhD amwoneshe maujuzi Lissu.
Mitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lisu kuelezea sera za Chadema ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za Chadema
Nimemjibuakikujibu hii unibeep.
Yehodaya. Lissu uwezo wake wa kujieleza ni mkubwa, hata tangu wakiwa wabunge na ndani ya sheria.Mitaani mtu akishindwa kwenye hoja huporomosha matusi kuficha udhaifu wake wa kujenga hoja
Uwezo mdogo wa Lisu kuelezea sera za Chadema ndio unaomfanya aongelee zaidi Magufuli kuficha udhaifu
Anatumia Magufuli Kama kichaka Cha kujificha udhaifu wake wa uwezo wake mdogo wa kuelezea sera za Chadema
Nimezoea majina ya kikatoliki jina la Lisu haliko kwenye majina ya watakatifu Ni la kipagani kukosea kuandika jina la kipagani Sio kosa kwa MunguHivi anaitwa Lisu kama ulivyoandika Wewe hapa au anaitwa Lissu? Kabla ya Kuanza 'Kumshambulia' Mtu na Wewe unatakiwa uwe vyema Kichwani.
Kweli kabisa na kura nyingi zinapatikana kwenye jamii siyo kwenye midahaloMwambieni Lisu aeleweke Kwanza kwa wananchi mikutanoni asisubiri midahalo kazi kubwa iko kwenye kampeni Sio midahalo
Nimezoea majina ya kikatoliki jina la Lisu haliko kwenye majina ya watakatifu Ni la kipagani kukosea kuandika jina la kipagani Sio kosa kwa Mungu
ugoro sio jibu.Nimemjibu
Mdahalo uwe kwa kiingereza [emoji3]Sisi ndio wananchi wenyewe tunaotaka mdahalo ili mzee wa PhD amwoneshe maujuzi Lissu.
Sasa unamwambia binti alishazoea kudanga pale LUMUMBA [emoji1]Niseme hivi.... Mr Yehodaya popote ulipo harakisha urudi nyumbani utoe huduma.Na uhakika una muda hauko nyumbani. Huyu Mrs wako (kazidiwa) mahaba kwa lissu. Akiguswa tu imekula kwako. Naamini ni member humu, Rudi nyumbani utusaidie mzee dah!
Mkizidiwa hoja nyie Chadema na Lisu wenu mnajificha udhaifu wenu kwenye matusi Ona sasa mumehama kwa Magufuli mnaniporomoshea matusi MimiNiseme hivi.... Mr Yehodaya popote ulipo harakisha urudi nyumbani utoe huduma.Na uhakika una muda hauko nyumbani. Huyu Mrs wako (kazidiwa) mahaba kwa lissu. Akiguswa tu imekula kwako. Naamini ni member humu, Rudi nyumbani utusaidie mzee dah!