Neno moja tu limebaki,kuwagawana wale wote mafionso wa meko watakaojaribu kuiba kura.uzuri tunaishi nao familia zao tunazijua.
Hakika hapatatosha.ama AFE KIPA AU BEKI.
Huu uchaguzi ni jambia linakata pande zote.
Amigooo
 
CCM mpya inapata tabu sana wakati huu kutokana na kukosa watu makini na wajenga hoja

Hoja hujibiwa kwa hoja, kwa sasa Bashiru na Polepole hawawezi tena kujibu hoja kwani kuna mambo wanayakwepa kuogopa heshima yao kushuka

Tundu lissu anapangua hoja kama yupo kwenye mteremko

Kwa ufupi jamaa ana IQ kubwa sana kuanzia historia ya nchi hii mpaka leo anapangilia mambo sana

Wengi wanajifunza historia ya muungano toka kwa Lissu

Ccm asili ndio yenye uwezo wa hoja lakini wote wamekaa kimya
 
Ujibuji wa hoja uko chini sana sasa angalia mtu kama polepole anajibu habari mara misukule mara lisu sio mwenzetu hizo ni hoja kweli za kuwambia watu wenye akili zao timamu?
 
Nimemshusha hadhi Polepole Leo Sasa alichoongea mpaka mwisho ni mamlaka na vitisho kwa polisi na matusi Kama kichaa, naomba nimsaidie kumwambia hata upinzani wakiongea shombo wanakuwa jukwaani wakiwa wanahuburi lakini wakishuka jukwaani unaona wanaongea vitu vyenye akili vya kujenga Sasa mbele ya waandishi wa habari unaongea kama upo jukwaani? Kweli umeharibu sana.
 
Nimesikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake mkoani Mara Hakika hakamatiki!!
Ili kumshinda Lissu kwenye Sanduku la kura itabidi CCM waibe vile hawajawahi kuiba tangu mfumo wa multipartism uanze.....!!!
 
Nitampigiaje mtu aliyekata mshahara wangu kisa tu nilitangaza nia.
Na bado mmerudishiwa mshahara adhabu hamjapewa. Hujui adhabu inayojadiliwa katika vikao juu yenu. Mnafunguliwa mafile upya mnaanza ajira upya kwa mshahara ya ajira mpya,na michango yenu mliyochangia mifuko ya hifadhi yote inachukuliwa na serikali. Saa hzi wanaitisha barua zenu za kurejeshwa kazini na za vibari. Itunze hii habari baada ya kupita uchaguzi utakuja nikumbuka
 
Vipi Kuhusu USHOGA unahisi Nalo Litampitisha kwenda Ikulu?
 
Fikra dhaifu kabisa.
1.Hapo awali machinga walikuwa wanalipa ushuru kila siku ambapo kwa makadirio ya kawaida ni zaidi ya 300,000 kwa mwaka, Hivi sasa machinga analipa sh.20,000 tu mwaka na anafanya shughuli zake mahali popote pale nchini, usitegemee machinga huyu akampa kura Tundu Lisu, kura yake atampigia Magufuli
2.Maslahi ya watumishi, nyongeza ya mshahara, elewa hii kuongezeka kwa mshahara hakumfanyi mtumishi maisha yake yawe bora zaidi itamfanya supplier aongeze bei ya bidhaa sokoni kisha mtumishi kuendelea kubaki palepale, Kinachofanyika ili kumlinda na kumheshimisha mtumishi ni mosi kumlipa mshahara wake kwa wakati, pili kumpunguzia kodi ya PAYE na tatu ni kuhakikisha mfumuko wa bei haupandi. Na haya yote Magufuli ameyafana hivyo kura zote za watumishi ni za Magufuli.
3.Suala la pensheni na kiinua mgongo tayari limeshashughulikiwa na ilani ya CCM imepanga kuliboresha zaidi hilo.
4.Ujenzi wa uwanja ndege chato, kwanza nikutoe ushamba Mwanza kuna uwanja wa ndege wa kimataifa na kisheria unahitaji uwe na strategic hydrome ambapo ndo umejengwa wa chato, pili hifadhi ya Taifa imeibuliwa ili kukomesha uhalifu uliokuwa unatokana na pori lililokuwepo hapo awali na tatu Chato nayo ni Tanzania na wanaishi watanzania pia.
5.Ununuzi wa ndege elewa hii, Pato la taifa letu linategemea utalii pia, ulitegemea watalii wakija wapande bajaji mpak kwenye maeneo ya utalii? Pili tunahitaji kufanya exportation ya
several products ulitegemea tutafanya kwa pikipiki. Watanzania wanaelewa na watamchagua Magufuli.
Vyeti feki ulitaka watumishi wasiokuwa na weledi waendelee kuingamiza Tanzania? Hiyo haikubaliki aisee. Tanzania ya sasa Magufuli ndie Rais wetu na tutamchagua tena. Kura yangu nitampa Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…