NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Na.Lissu niseme wazi leo umegusa maisha ya Watanzania walio wengi.
- Bima ya afya kwa Watanzania wote.
- Hakuna tena kuibia wafanyabiashara maskini kwa kuwatoa elfu ishirini kila mwaka.
- Hakuna tena kukatwa asilimia 15 kisa mkopo. Tutakatwa asilimia tatu tu.
- Elimu ya maarifa, kubadili kabisa falsafa ya Elimu. Elimu ya kutatua matatizo ya maisha yao. Big point here Baba.
In General leo sasa umeongea kama Rais.
Viva Lissu, Viva Tanzania yenye Uhuru, haki na maendeleo ya watu.
====
Mwandishi wetu kigoma.
MGOMBEA UDIWANI CHADEMA KATA YA RUBUGA *OMARY GINDI* AKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA UTAPELI
Mgombea udiwani kata ya Rubuga kupitia chama cha demokrasia na maendeleo akamatwa na polisi na kufungwa kwa kosa la utapeli kama kawaida yake kuwa anauza pembe za ndovu.
Mgombea uyo alikamatwa jana akiwa hoteli na kuanza kuwalaghai na kufanya utapeli huo na baadae kukamatwa na polisi na mpaka sasa yupo ndani
Kigoma inahitaji madiwani safi na sio matapeli kama OMARY GINDI WA CHADEMA KATA YA RUBUGA.
Kigoma yetu safi hatuitaji matapeli kama OMARY GINDI WA RUBUGA TOKA CHADEMA.
KIGOMA YETU
KIGOMA MPYA