Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Lissu niseme wazi leo umegusa maisha ya Watanzania walio wengi.

- Bima ya afya kwa Watanzania wote.

- Hakuna tena kuibia wafanyabiashara maskini kwa kuwatoa elfu ishirini kila mwaka.

- Hakuna tena kukatwa asilimia 15 kisa mkopo. Tutakatwa asilimia tatu tu.

- Elimu ya maarifa, kubadili kabisa falsafa ya Elimu. Elimu ya kutatua matatizo ya maisha yao. Big point here Baba.

In General leo sasa umeongea kama Rais.

Viva Lissu, Viva Tanzania yenye Uhuru, haki na maendeleo ya watu.

====
Na.

Mwandishi wetu kigoma.


MGOMBEA UDIWANI CHADEMA KATA YA RUBUGA *OMARY GINDI* AKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA UTAPELI


Mgombea udiwani kata ya Rubuga kupitia chama cha demokrasia na maendeleo akamatwa na polisi na kufungwa kwa kosa la utapeli kama kawaida yake kuwa anauza pembe za ndovu.

Mgombea uyo alikamatwa jana akiwa hoteli na kuanza kuwalaghai na kufanya utapeli huo na baadae kukamatwa na polisi na mpaka sasa yupo ndani

Kigoma inahitaji madiwani safi na sio matapeli kama OMARY GINDI WA CHADEMA KATA YA RUBUGA.

Kigoma yetu safi hatuitaji matapeli kama OMARY GINDI WA RUBUGA TOKA CHADEMA.


KIGOMA YETU
KIGOMA MPYA
 
Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Tulia wewe Libya ilikuwa inategemea Mafuta na watu walisoma bure mpaka chuo kikuu,walijengewa nyumba,wenye kutaka kuoa mahari walitolewa ,umeme maji bure wewe nchi imejaaa kila aina ya Tunu za Dunia halafu unasemaaje ama kweli watu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndio nyie mnasomea makaratasi kupata dvs 1 ukiambiwa fanyia kazi ulichosomea mimacho inakutoka kama mjusi kabanwa na mlango
 
Victoire mbona hiyo ilipangwa makusudi kuwa watu lazina wajue kuwa wanaonewa, wanateswa, then baadaye unamwaga sera.
Nategemea ameweka wazi mikakati madhubuti itakayomuwezesha kukusanya mapato yatakayomuwezesha kulipa mafao, mishahara minono kwa watumishi na shughuli za maendeleo.
Kwa rasmimali tulizo nazo hakuna linaloshindikana maarifa +akili
 
Victoire I told you yesterday. Ukweli jana alionyesha hisia zake na you won't blv leo tume imeindoa mapingamuz kwa wabunge 18 kama sikosei ingawa bado wengine wamewekewa. But jana alifikisha ujumbe staili kbs.

Leo kuongelea ilani ya uchaguz na statement ya ufunguz ya mgombea kwanza was excellent and perfect move
 
Ila kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.
Nadhani tatizo hasa LA kuchelewa kuanza linatokana na vikao vya mashauriano kuhusu wagombea wanaoenguliwa kila wakati kama maembe kwenye mti.
 
Ukapige kura sasa mkuu, washawishi na wengine ili Lisu ashinde kwanza. Akirudi Magu kitimtimu kipo pale pale na utadaiwa hats kama huna ajira.
Hapo pagumu.
Hata ikitokea nikashawishika sina namna ya kufanya.

Sababu sina kadi.
 
Hizi ni hisia tu mkuu
Watz wa kawaida tumemuelewa Sana Lissu

Kajibu hoja halisi za maisha ya watanzania

watz ni watu wanaoonyesha sana wakielewa kitu, mfano mtu akiwa na shida anaweza tangaza mtandaoni watu from all over wakachangia haswa kwenye issue za matibabu, ni rahisi sana kuona anaekubalika na asiekubalika, haihitaji maneno mengi
 
Kuna fao la kujitoa pia. Hapo bwereeeeeeeereeeeee. Viva lissu
Hapa kwenye FAO LA KUJITOA,amepata kura yangu,tunaishi kwenye mazingira ya tabu tukiwa kwa wahindi then kinatokea kikundi cha watu wanaamua mambo kwa utashi wao na kuanza kututungia sheria za ajabu ajabu kufanikisha adhma zao..eti tunawaone huruma,huruma gani mliyonayo nyie washe*nz wakubwa...
 
Hazimo kwenye sera na ilani ya Chadema nitapendaje vitu vya mtu kujitungia .Vingekuwa ndani ya sera na ilani Sina shida ninachokataa kwa nguvu zote Lisu aache kujitungia vitu vyake hewani anadi sera na ilani ya Chadema
Mbona chato airport kajitungia yesu wa kangi,mbona ununuzi wa ndege kajitungia huyo yesu wa kangi lugola,ile hifadhi ni ilani ya ccm au unajisahaulisha mama wewe
 
Back
Top Bottom