Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Naona mnaweweseka sana. Wasiwasi wa nini?
Kama hivyo vitu unavyosema vinaonekana, kwa nini kuwa na wasiwasi kuwa watu hawaoni?
Tazama vizuri hiyo katuni alafu utafahamu mnayofanyiwa naserikali ya ccm mnayoiamini.
EQoR1ecWsAEW4Ep.jpg
 
Sera ya mgombea urais wa CHADEMA kusema ataboresha maisha ya watanzania halafu mwisho wa mkutano anaanza kuwaomba wamchangie hela hao hao anaosema ni masikini wameharibiwa maisha na CCM ya Magufuli aache kabisa.

Kama ni masikini wa kutupwa hizo hela wanazokuchangia wanatoa wapi?

Lissu acha kupotosha watu na jana Mwanza umekosea sana kuponda ujenzi wa daraja la Furahisha na meli mpya ziwa Victoria na wana Mwanza tutakuonesha kazi kwa kukunyima kura zote October.
Soma ilani ya CHADEMA bora kama bado hujapata point!
 
Sera ya mgombea urais wa CHADEMA kusema ataboresha maisha ya watanzania halafu mwisho wa mkutano anaanza kuwaomba wamchangie hela hao hao anaosema ni masikini wameharibiwa maisha na CCM ya Magufuli aache kabisa.

Kama ni masikini wa kutupwa hizo hela wanazokuchangia wanatoa wapi?

Lissu acha kupotosha watu na jana Mwanza umekosea sana kuponda ujenzi wa daraja la Furahisha na meli mpya ziwa Victoria na wana Mwanza tutakuonesha kazi kwa kukunyima kura zote October.
Kijana acha kujipotezea muda wako, unawezaje kuzuia mafuriko kwa kutumia mikono?
 
Kuomba omba ni tabia za kiswahili mwambieni Lisu aache
Tetemeko kagera,waziri mkuu alipoomba tumchangie ulisema maneno hayo?Kama imekuuma kula wembe!Mimi CDM nitaichangia kwa hali na mali!
 
Lissu!

Tumesikia kwa miaka 3 iliyopita juu ya mkasa uliokupata. Ni kweli ulipigwa risasi, ni kweli umesoma sheria, nk. lakini sisi wapiga kura tuambie unachotaka kutufanyia kama Watanzania. Yaonekana huna mpango wowote wa elimu, afya, kilimo, sayansi na hata husemi lolote juu ya uchumi. Tuambie mipango yako ni ipi?

Hayo ndo utakuwa mtaji wa kura dhidi ya wapinzani wako akina Membe Rungwe, Magufuli, nk. Kuendelea kusimulia risasi, haituhusu na haina manufaa nasisi huku vijijini. Kama ni kuponyoka kifo, huku tunafiwa kila siku kwa huduma duni. Sema utatusaidiaje???
 
Lumumba hali tete. Na bado huyu mbeba maono atawapa presha
 
Kwenye kampeni dunia nzima michango ni lazima anzia Taa, Tanu Mwalimu Nyerere kwenda UNO, Kina Mzee John Rupia, Mzee Sykes n.k

Pia Siasa za Kimataifa Conservative na Labour parties za Uingereza zinaongozwa kwa michango ya wanachama na mashabiki.

Kuchangiana si jambo la kawaida kwenye Siasa na limekuwepo kwa zaidi ya miaka 100.
 
Lissu kawakoroga idara ya Propaganda ya CCM kiasi kwamba wanaweza kuruhusu Bange na Ngono za Bure kwenye mikutano yao

Kwa kweli mwisho wa CCM umeanza kuonekana kabisaaa!!

Huko visiwani ndio hawalali macho yamakuwa mekundu shati la kijani suruwali nyeusi wamegeuka Monsters
 
Lissu kawakoroga idara ya Propaganda ya CCM kiasi kwamba wanaweza kuruhusu Bange na Ngono za Bure kwenye mikutano yao

Kwa kweli mwisho wa CCM umeanza kuonekana kabisa

Huko visiwani ndio hawalali macho yamakuwa mekundu shati la kijani suruwali nyeusi wamegeuka Monsters
CCM haina mvuto kwakweli bila wasanii mtu utafuta kitu gani?
 
Hela ambazo Mbowe alikuwa anawakata wabunge kila mwezi na ruzuku ya chama zimeenda wapi?
Ndio maana kwenye zile form wanazopewa kuna form ya matumizi ya kampeni n.k hapo panajazwa gharama zote zilizotumika kwenye kampeni n.k Pesa chama zilichangisha plus za kwake.

Uchaguzi una gharama sana. Na hakuna uhakika kama kila ukiomba mchango watu watakuchangia.

Mwisho wa siku Tume itakagua mapato na matumizi yote kwenye kampeni, na CAG atakagua pia. Kwa hiyo kama kuna rafu yoyote itajulikana.
 
Sera ya mgombea urais wa CHADEMA kusema ataboresha maisha ya watanzania halafu mwisho wa mkutano anaanza kuwaomba wamchangie hela hao hao anaosema ni masikini wameharibiwa maisha na CCM ya Magufuli aache kabisa.

Kama ni masikini wa kutupwa hizo hela wanazokuchangia wanatoa wapi?

Lissu acha kupotosha watu na jana Mwanza umekosea sana kuponda ujenzi wa daraja la Furahisha na meli mpya ziwa Victoria na wana Mwanza tutakuonesha kazi kwa kukunyima kura zote October.
Jana kachemka sana ,hafai kabisa
 
Back
Top Bottom