Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ua watu muone kama ni utani! L. Bagbo!Chaga Development Manifestoes kila mtu anatoa maonyo kana kwamba serikalini wote ni mbumbumbu hawajui kitu nyie tu ndo mnajua.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Alichoongea kama nani?!Nilisikiliza hii clip jana, nikasema Lissu anamanisha anachoongea.
Kazi ya CHADEMA hiyo kua ua ndio maana mmemkata mtu masikio huko Vunjo.Ua watu muone kama ni utani! L. Bagbo!
Tone yake huoni inaashiria kuwa anaongea kama mtu ambae tayari ana mamlaka?Alichoongea kama nani?!
Msije kusema hatukuwaambia.
Great ThinkerHata jana angeweza kuyasema ila sasa utaanzaje kufungua Ilani kwa ajili ya uchaguzi wakati mnatolewa katika gemu ya uchaguzi?
Sio kucheka tu,yaani Hadi unawahurumia wanao ota hiyo ndotoUkiwa huku mtaani ukaja jf na kukuta mtu mzima anasema Lisu atashinda urais unaishia kucheka tu