Uliyoyaahidi ni mengi Sana sasa najiuliza pesa ya kutekeleza utaitoa wapi wakati vyanzo vya pesa vyote unavitoa kasoro ~umeahidi fidia na kuwarudisha kazini wafanyakazi hewa na vyeti feki wapatao 19k~nyongeza ya mishahara~Katiba mpya~uanzishaji wa majimbo~kulipa fidia waliobomolewa nyumba zao waliojenga maeneo ya wazi na hifadhi za barabara~kuanzisha mfumo mpya wa elimu~kufuta mikopo elimu ya juu~kuwapa chakula wanafunzi 1std+Advance~ NK:,tunataka kujua vyanzo vya mapato kwa sababu utaki wafanyabiashara walipe kodi, utaki sheria zisimamiwe,utaki watu wafanye kazi na kujituma,unataka kuua viwanda vya ndani kwa kuruhu kila bidhaa kuingia na kila mkulima kuuza mazao yake nchi yoyote na hakutokuwa na mageti ya ushuru, hivyo ata mimi nitabeba korosho zangu naenda kuuza Vietnam,ruksa kupitisha meno ya tembo,Mbao,silaha,na kila aina ya uchafu wewe utakuwa rais wa aina gani utatetea katiba ipi?, usemi kama utapambana na wala rushwa,wahujumu uchumi,wauza madawa ya kulevya,maghendo,wezi wa maliasili zetu kama madini,miti,wanyama vitaachwa vifanywe kama kipindi kile ili tu mwanachi awe na pesa mfukoni kweli wewe unataka kuwa rais wa nchi au rais wa chini.