Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura zote ni kura tu bila kujali ,hata ya Cuf lipumba ikija kwa Lissu tutaijumlisha tu.Sisi hatujui kura ni ya nani wala nani na kwa misingi gani,tujuacho Sera za lissu zimepokelewa vizuri na wa Tanzania na ndio maana watampa kura nyingi
Kushindwa kuweka mazingira bora ya kuajiei vijana wengi na kuimarisha maisha ya familia zao.Kuzuia nyongeza ya mishahara na kupanda madaraja kwa watumishi.
Maisha ya watumishi yamekuwa magumu kuliko awamu zingine.Waliopanda toka 2015 kabla hajaingia madarakani hawajapandishwa hadi leo.
Kura hizo anaenda kuzikosa,zimeenda kwa Lissu.
Sasa LISSU anatakiwa aongee nao directly. He should appeal to them so they can vote for him.Mimi si mwandishi muzuri! Napenda kuwajulisha ukweli mchungu usiozungumzwa popote kwa woga wa kupoteza au kupotea kuwa kati ya 100% ya wana CCM salio jinsi kisha na watakaopiga kura, 90% watampigia Lissu wa yupinzani, sababu chache ni hizi:
Moja, Magufuli aliua njia zao za kujipatia rizki! Wengi wakajenga visasi na wakakosa pa kuyasemea haya sasa watakua sema kwa vitendo
Pili, suala la ununuzi wa Wapinzani kisha kuwapa madaraka huku wenyeji wakitolewa kauli za kishenzi ni uthibitisho mzuri mwingine, munamkumbuka Shonza? Unajua alitoka wapi?
Tatu, kuwachagua watu wenye vinasaba naye vya kiukoo au kiukabila! Huku wengi kuwaacha wakiwa wanakufa njaa.
Nne, kuwaweka watu anaowataka yeye kuwa Wagombea ubunge na kuwaacha ware waliochaguliwa kihalali na Wajumbe.
Tano, dharau zinazooneshwa waziwazi na top layer leadership kwamba wao wanatosha kukiongoza chama chetu.
Unaweza kuyaongeza kadiri umavyokumbuka
Ni kweli tupuMimi si mwandishi muzuri! Napenda kuwajulisha ukweli mchungu usiozungumzwa popote kwa woga wa kupoteza au kupotea kuwa kati ya 100% ya wana CCM salio jinsi kisha na watakaopiga kura, 90% watampigia Lissu wa yupinzani, sababu chache ni hizi:
Moja, Magufuli aliua njia zao za kujipatia rizki! Wengi wakajenga visasi na wakakosa pa kuyasemea haya sasa watakua sema kwa vitendo
Pili, suala la ununuzi wa Wapinzani kisha kuwapa madaraka huku wenyeji wakitolewa kauli za kishenzi ni uthibitisho mzuri mwingine, munamkumbuka Shonza? Unajua alitoka wapi?
Tatu, kuwachagua watu wenye vinasaba naye vya kiukoo au kiukabila! Huku wengi kuwaacha wakiwa wanakufa njaa.
Nne, kuwaweka watu anaowataka yeye kuwa Wagombea ubunge na kuwaacha ware waliochaguliwa kihalali na Wajumbe.
Tano, dharau zinazooneshwa waziwazi na top layer leadership kwamba wao wanatosha kukiongoza chama chetu.
Unaweza kuyaongeza kadiri umavyokumbuka
RelaxKujazana upepo hamjambo
Yaali wamerogwa mpaka wampe Kura mamluki
Kazi mnayo endeleeni Kudanganyana
Shift, naona umeamua kuja na porojo za vijiweni. Watanzania tunachagua mtu ambaye ataleta maendeleao ya vitu, maendeleo ya vitu yanatumiwa na watu. Ili uweze kuendelea lazima wachache waumie. Wacha tuumie ili wajukuu zetu waje kula mema ya nchi hii. 5 MINGINE KWA JPM. CCM OYEEEEEEEEEMimi si mwandishi muzuri! Napenda kuwajulisha ukweli mchungu usiozungumzwa popote kwa woga wa kupoteza au kupotea kuwa kati ya 100% ya wana CCM salio jinsi kisha na watakaopiga kura, 90% watampigia Lissu wa yupinzani, sababu chache ni hizi:
Moja, Magufuli aliua njia zao za kujipatia rizki! Wengi wakajenga visasi na wakakosa pa kuyasemea haya sasa watakua sema kwa vitendo
Pili, suala la ununuzi wa Wapinzani kisha kuwapa madaraka huku wenyeji wakitolewa kauli za kishenzi ni uthibitisho mzuri mwingine, munamkumbuka Shonza? Unajua alitoka wapi?
Tatu, kuwachagua watu wenye vinasaba naye vya kiukoo au kiukabila! Huku wengi kuwaacha wakiwa wanakufa njaa.
Nne, kuwaweka watu anaowataka yeye kuwa Wagombea ubunge na kuwaacha ware waliochaguliwa kihalali na Wajumbe.
Tano, dharau zinazooneshwa waziwazi na top layer leadership kwamba wao wanatosha kukiongoza chama chetu.
Unaweza kuyaongeza kadiri umavyokumbuka
🤔🤔🤔💥Tano: kusambaza vukosi vya wasiojulikana nchi nzima. Watu wakawa hawanyi wala kukojoa usiku.
Mimi si mwandishi muzuri! Napenda kuwajulisha ukweli mchungu usiozungumzwa popote kwa woga wa kupoteza au kupotea kuwa kati ya 100% ya wana CCM salio jinsi kisha na watakaopiga kura, 90% watampigia Lissu wa yupinzani, sababu chache ni hizi:
Moja, Magufuli aliua njia zao za kujipatia rizki! Wengi wakajenga visasi na wakakosa pa kuyasemea haya sasa watakua sema kwa vitendo
Pili, Suala la ununuzi wa Wapinzani kisha kuwapa madaraka huku wenyeji wakitolewa kauli za kishenzi ni uthibitisho mzuri mwingine, munamkumbuka Shonza? Unajua alitoka wapi?
Tatu, Kuwachagua watu wenye vinasaba naye vya kiukoo au kiukabila! Huku wengi kuwaacha wakiwa wanakufa njaa.
Nne, Kuwaweka watu anaowataka yeye kuwa Wagombea ubunge na kuwaacha ware waliochaguliwa kihalali na Wajumbe.
Tano, Dharau zinazooneshwa waziwazi na top layer leadership kwamba wao wanatosha kukiongoza chama chetu.
Unaweza kuyaongeza kadiri umavyokumbuka