Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Fikra dhaifu kabisa.
1.Hapo awali machinga walikuwa wanalipa ushuru kila siku ambapo kwa makadirio ya kawaida ni zaidi ya 300,000 kwa mwaka, Hivi sasa machinga analipa sh.20,000 tu mwaka na anafanya shughuli zake mahali popote pale nchini, usitegemee machinga huyu akampa kura Tundu Lisu, kura yake atampigia Magufuli
2.Maslahi ya watumishi, nyongeza ya mshahara, elewa hii kuongezeka kwa mshahara hakumfanyi mtumishi maisha yake yawe bora zaidi itamfanya supplier aongeze bei ya bidhaa sokoni kisha mtumishi kuendelea kubaki palepale, Kinachofanyika ili kumlinda na kumheshimisha mtumishi ni mosi kumlipa mshahara wake kwa wakati, pili kumpunguzia kodi ya PAYE na tatu ni kuhakikisha mfumuko wa bei haupandi. Na haya yote Magufuli ameyafana hivyo kura zote za watumishi ni za Magufuli.
3.Suala la pensheni na kiinua mgongo tayari limeshashughulikiwa na ilani ya CCM imepanga kuliboresha zaidi hilo.
4.Ujenzi wa uwanja ndege chato, kwanza nikutoe ushamba Mwanza kuna uwanja wa ndege wa kimataifa na kisheria unahitaji uwe na strategic hydrome ambapo ndo umejengwa wa chato, pili hifadhi ya Taifa imeibuliwa ili kukomesha uhalifu uliokuwa unatokana na pori lililokuwepo hapo awali na tatu Chato nayo ni Tanzania na wanaishi watanzania pia.
5.Ununuzi wa ndege elewa hii, Pato la taifa letu linategemea utalii pia, ulitegemea watalii wakija wapande bajaji mpak kwenye maeneo ya utalii? Pili tunahitaji kufanya exportation ya
several products ulitegemea tutafanya kwa pikipiki. Watanzania wanaelewa na watamchagua Magufuli.
Vyeti feki ulitaka watumishi wasiokuwa na weledi waendelee kuingamiza Tanzania? Hiyo haikubaliki aisee. Tanzania ya sasa Magufuli ndie Rais wetu na tutamchagua tena. Kura yangu nitampa Magufuli
Kwani kumsaidia machinga ulikuwa ni lazima uwatoze ela?
 
Hivi tangu Kampeni za Urais zianze umeshamsikia Mhe. Tundu Lissu akizungumzia Ushoga?
Je, katika Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA 2020 Ni kifungu kipi kinatetea Ushoga ewe pimbi?
Usikimbilie kutokwa mapovu na kuweweseka, kama kitu hujui uliza ujibiwe. Sasa wewe fala hujui kitu unakuja kidomodomo mbele kuita watu pimbi.
 
Haiingia akilini tuna Bandari ila wafanya biashara wanachukua nguo Uganda nchi inayo tegemea bandari ya Mombasa na Dar es salaam.

Burundi hawana bandari ila magari kwao ni cheap sana kuliko Tanzania.

Hii inapaswa kuongelewa pia make tuna kodi za kukomoana sana
Wafanya biashara kutoka Tanzania wanaenda Kampala kununua mizigo hiyo hiyo iliyopitia bandari ya Dar es Salaam halafu inalipiwa ushuru ikiingizwa Tanzania na bado wafanyabiashara wanatengeneza faida pamoja na kulipia gharama za usafirishaji toka Kampala mpaka Dar.
 
Nimesikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenye Kampeni zake mkoani Mara Hakika hakamatiki!!
Ili kumshinda Lissu kwenye Sanduku la kura itabidi CCM waibe vile hawajawahi kuiba tangu mfumo wa multipartism uanze.....!!!


Hivi naona kila siku zinapozidi kukaribia tarehe 28.kama vile Lisu anaongeza charge na wapinzani wake betri zinazidi kupungua nguvu
 
Umelisoma swali vizuri??? Nimekwambia jibu swali langu mpuuzi wa lumumba wewe???
Hivi karibuni Lissu alipozungumza na waandishi wa habari kabla ya kurudisha fomu alithibitisha kutetea ushoga kwa kisingizio kuwa katiba ya Tanzania inatambua haki ya faragha hivyo kinachofanyika ndani ya vyumba sio jukumu la serikali kujua.
 
Kuna mtu kaja makusudi kuharibu uzi huu.
Nadhani ukishindanisha hoja unaweza kuwa msaada kwa unayemtetea au kumtakia ushindi.
Badala yake mtu ameamua makusudi kuingiza hoja inayoharibu kabisa uzi huu.

Anyway, kila la heri kwa atakayeaminiwa na wananchi. Tusichezeane rafu tu wakati wa mchezo
 
Back
Top Bottom