Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kiu ya wazalendo wote Ni kuona CCMNaomba iandaliwe sms alafu itumwe kwa watu kila mtu atume kwa watu kumi tu kwaajili ya kuelezea sera za lissu kwanini awe Raisi na mzee baba asiwe Rais. Hiyo isambazwe.
Wazee wa Information Technology waingie kazini
Ina PUMZIKA KWA AMANI itakua Ni furaha ilioje
Ni wazo zuri