Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Kesi nyingi Ni biashara Kati ya waendesha mashtaka na mahakimu. Thus waliojaa jela wengi ni masikini wasio na pesa. Kumkuta tajiri jela ameingia anga la wanasiasa
 
Lazima watakuja waje wakubaliane na ushauri wako huu.
Mungu mkuu amuongezee maisha marefu mh Tundu Lissu. Ni jasiri mmoja aliyejitoa mhanga kuwatetea mamilioni walioumizwa katika kipindi cha miaka mitano. Inahitaji roho ya chuma kufanya anayofanya Mheshimiwa Tundu Lissu. Pamoja na madhila yote aliyopata, jemedari huyu hajakata tamaa kuendeleza harakati za kuhakikisha misingi ya haki na utawala bora inatamalaki katika nchi yetu pendwa ya Tanzania.

Rai yangu kwa viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wabunge wa CHADEMA na wapenda haki wote wazidi kumuunga mkono Mteule huyu wa Mungu ili ukweli wa kurejesha haki ukubaliwe na watawala madhalimu wa awamu hii ya tano.

MUNGU MBARIKI TUNDU LISSU, MUNGU UBARIKI UCHAGUZI MKUU, MUNGU WEZESHA USHINDI KWA TUNDU LISSU.
 
Elimu yako itanisaidia kuelewa najibizana na mtu wa aina gani humu. Maana wewe si kilaza tu, ni punguani wa lumumba
Nilijua tu chadema mwisho wa siku utakimbilia kutoa kejeli na matusi halafu ndio mnataka mpewe nchi na ufedhuri wenu.
 
NEC, polepole, bashiru waneamua kumpigia kampeni Lissu kiujanja.

Maana Jina lissu likitajwa tuu.. ni kampeni tosha

Mahera anatakiwa kulipia kodi bango lake la kumnadi Lissu ..
 
Katika JOHN MAGUFULI tunaimani .
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Mungu mkuu amuongezee maisha marefu mh Tundu Lissu. Ni jasiri mmoja aliyejitoa mhanga kuwatetea mamilioni walioumizwa katika kipindi cha miaka mitano. Inahitaji roho ya chuma kufanya anayofanya Mheshimiwa Tundu Lissu. Pamoja na madhila yote aliyopata, jemedari huyu hajakata tamaa kuendeleza harakati za kuhakikisha misingi ya haki na utawala bora inatamalaki katika nchi yetu pendwa ya Tanzania.

Rai yangu kwa viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wabunge wa CHADEMA na wapenda haki wote wazidi kumuunga mkono Mteule huyu wa Mungu ili ukweli wa kurejesha haki ukubaliwe na watawala madhalimu wa awamu hii ya tano.

MUNGU MBARIKI TUNDU LISSU, MUNGU UBARIKI UCHAGUZI MKUU, MUNGU WEZESHA USHINDI KWA TUNDU LISSU.
Tundu anayosapoti ya watanzania 70% na dunia nzima 90%.
Hatateteleka kamwe
 
👇
NEC wasipojiangalia na kujipanga vyema kwa hoja, wakikaa vibaya badala ya kumhoji inawezekana wakahojiwa wao.
Kumhoji huyu mtu inabidi ujiandae haswa. Mi nakumbuka Kuna hakimu mmoja singida alikimbia baada ya kuona wakili anasimamia kesi ni lisu
 
Back
Top Bottom