Hichi kikada njaa mbaya Sana boss wake ameshindwa anadhani ye ndo ataweza,si ajabu wao ndio watakwenda hojiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hichi kikada njaa mbaya Sana boss wake ameshindwa anadhani ye ndo ataweza,si ajabu wao ndio watakwenda hojiwa
Kamuulize Samia SuluhuVipi Kuhusu USHOGA unahisi Nalo Litampitisha kwenda Ikulu?
Furaha isiyo na kifaniKiu ya wazalendo wote Ni kuona CCM
Ina PUMZIKA KWA AMANI itakua Ni furaha ilioje
Ni wazo zuri
Mungu mkuu amuongezee maisha marefu mh Tundu Lissu. Ni jasiri mmoja aliyejitoa mhanga kuwatetea mamilioni walioumizwa katika kipindi cha miaka mitano. Inahitaji roho ya chuma kufanya anayofanya Mheshimiwa Tundu Lissu. Pamoja na madhila yote aliyopata, jemedari huyu hajakata tamaa kuendeleza harakati za kuhakikisha misingi ya haki na utawala bora inatamalaki katika nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Rai yangu kwa viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wabunge wa CHADEMA na wapenda haki wote wazidi kumuunga mkono Mteule huyu wa Mungu ili ukweli wa kurejesha haki ukubaliwe na watawala madhalimu wa awamu hii ya tano.
MUNGU MBARIKI TUNDU LISSU, MUNGU UBARIKI UCHAGUZI MKUU, MUNGU WEZESHA USHINDI KWA TUNDU LISSU.
Kama jpm ameweza kuwa rais, yeyote aweza kuwa rais, sio lissu tu hata hashimu rungweLissu muongo tu, hana uwezo wa kuwa raisi
Kwa iyo wewe ushindwe kuweka ushahidi kwa kitu ulichosema humu alafu mimi nikatafute youtube???Usipende kutafuniwa mkuu kila kitu nenda youtube kaangalie.
Elimu yako itanisaidia kuelewa najibizana na mtu wa aina gani humu. Maana wewe si kilaza tu, ni punguani wa lumumbaElimu yangu itakusaidia nini comrade acha kunishobokea
Kejeli na matusi ni jadi ya chademaKwa iyo wewe ushindwe kuweka ushahidi kwa kitu ulichosema humu alafu mimi nikatafute youtube???
Kweli lumumba mmejaa mapunguani matupu
Nilijua tu chadema mwisho wa siku utakimbilia kutoa kejeli na matusi halafu ndio mnataka mpewe nchi na ufedhuri wenu.Elimu yako itanisaidia kuelewa najibizana na mtu wa aina gani humu. Maana wewe si kilaza tu, ni punguani wa lumumba
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.Katika JOHN MAGUFULI tunaimani .
Tundu anayosapoti ya watanzania 70% na dunia nzima 90%.Mungu mkuu amuongezee maisha marefu mh Tundu Lissu. Ni jasiri mmoja aliyejitoa mhanga kuwatetea mamilioni walioumizwa katika kipindi cha miaka mitano. Inahitaji roho ya chuma kufanya anayofanya Mheshimiwa Tundu Lissu. Pamoja na madhila yote aliyopata, jemedari huyu hajakata tamaa kuendeleza harakati za kuhakikisha misingi ya haki na utawala bora inatamalaki katika nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Rai yangu kwa viongozi wengine wa vyama vya upinzani, wabunge wa CHADEMA na wapenda haki wote wazidi kumuunga mkono Mteule huyu wa Mungu ili ukweli wa kurejesha haki ukubaliwe na watawala madhalimu wa awamu hii ya tano.
MUNGU MBARIKI TUNDU LISSU, MUNGU UBARIKI UCHAGUZI MKUU, MUNGU WEZESHA USHINDI KWA TUNDU LISSU.
Hata mimi naweza.Kama jpm ameweza kuwa rais, yeyote aweza kuwa rais, sio lissu tu hata hashimu rungwe
Punguani nu kipaji tu sawa tu ufupi na urefuNilijua tu chadema mwisho wa siku utakimbilia kutoa kejeli na matusi halafu ndio mnataka mpewe nchi na ufedhuri wenu.
Kama unaongea vitu visivyo na ushahidi Wewe ni nani??Kejeli na matusi ni jadi ya chadema
Uko sawa comrade.Punguani nu kipaji tu sawa tu ufupi na urefu
SafiUko sawa comrade.
Kumhoji huyu mtu inabidi ujiandae haswa. Mi nakumbuka Kuna hakimu mmoja singida alikimbia baada ya kuona wakili anasimamia kesi ni lisu👇
NEC wasipojiangalia na kujipanga vyema kwa hoja, wakikaa vibaya badala ya kumhoji inawezekana wakahojiwa wao.