Nawe siku hizi ni mtaalamu wa sheria? siku hizi mambo ni kirahisi rahisi tu, Nimewasikia wengi wakijiita madokta, eti wahandisi n.k. Ukichunguza kaishia la Saba, au san sana . kidato cha 4. Mmmmmm balaaa!
Kwa hyo udokta wao ni k.m wa chief hangaya
 
Umeloa
 
Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Kwa hiyo hii inchi now inaendeshwa kiislamu??
 
Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime, na siku wakipatana,(kamakweli watapatana) wewe chukua kapu ukavune!
 
😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣 wapambe hooiii
February na Nepe na prof WA Elimu abayeangalia uwekezaji watakuja kutoa tamko juu ya hii ibara nwakisaidiwa na Tuli Prof WA Sharia za Jamii, pamoja na Faiza na kundi lake


14.7. Ibaraya 10: Usiri wa Mkataba ambapo Mkataba unazuia mamlaka nyingine kama TAKUKURU /BUNGE kufuatilia mikataba.
 
Things Fall Apart
Chinua Achebe
 
🤣🤣🤣🤣🤣 hawana hamu bandari yetu watuachie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…