Wqgalatia bana nikuulize kitu mkataba kati ya serikali na Barick kuchimba dhahabu miaka 100 wananchi walishirikishwa ? Hawa maskofu walitoa tamko wewe baada ya miaka 100 na maskofu wako mtakuwa hai?
Samia ameshasalimu amri. Mtaaibika.
 
Kuna kile kifungu kinaeleza kwamba endapo itatokea makubaliano kupingana na sheria za nchi au sheria za kimataifa basi makubaliano yatakuwa juu. Jambo la kushangaza chini ya ukurasa wenye kifungu hicho kuna saini ya Samia. Unaweza kujiuliza hivi huyu mama ana matatizo gani kichwani mwake?
 
Its over kuhusu huo mkataba.....
Tafuteni jambo lingine la kutetea.
BBT ni NINI?
BBT ni mpango wa kipekee kuwahi kutokea Tanzania ( pengine hata duniani) ulianzoshwa na amama Samia kwa kiwango kikubwa kupitia rasilmali mama ya Tanzania ambayo ni ardhi, kwa sasa kngo kikubwa unasimamiwa na Mheshimiwa Bashe, Waziri wa Kilimo: Jiponee na jisikilizie:


View: https://youtu.be/OTEEoNW2j0M

Naamini, baada ya bandari, huo ni mpango wa kwanza utaopigwa vita na kanisa katoliki. Sababu zipo wazi.
 
Sasa kila mtu ateteee dini yakee maaan miwatu mijingaa sanaa...ukipingaa utumboo na ujinga wa huu mkataba unaambiwa unaleta udini.
Yaani inashangaza ukipinga mkataba inakuja issue ya udini
 
Wewe una hasira na Waislam toka upewe ujauzito wakati upo shule ya msingi sasa kila Muislam wewe ni adui yako tumekozoea.
Mimi ni mwanaume hivyo bila shaka siwezi kuwa na ujauzito. Turudi kwenye mkataba. Umekubali kushindwa na mwarabu wako?
 
Wakato ule walimfukuza Padre Raymond Saba aliyeluwa Sekretary sijui kwa sasa watamfukuza nani.

Pengo si mtu wa kuamaini atachomoza aseme huu walaka yeye hahusiki😆😆
 
Maaskofu na wewe nani mjinga?
Ikiwa macho hayaoni, masikio hayasikii, basi japo jisomee kimya kimya hapa chini, ukipata jibu la nani mjinga, njoo ueleze au ukae kimya tu:

  • Februari 17, 2019
MILWAUKEE - Gregory Greiten alikuwa na umri wa miaka 17 wakati makuhani walipanga mchezo. Ilikuwa mwaka 1982 na alikuwa kwenye mapumziko na wanafunzi wenzake kutoka St. Lawrence, seminari ya Katoliki ya Kirumi kwa wavulana vijana wanaofundishwa kuwa makuhani.

Soma zaidi: ‘It Is Not a Closet. It Is a Cage.’ Gay Catholic Priests Speak Out (Published 2019)
 
Mume tusaidia pakubwa Sasa tunasonga mbele
 
Ni kama vile mambo yanatendeka kwa haraka sana tena yakiwa yamebeba uzito mkubwa

Tumuombe Mungu wa mbinguni atujalie Hekima yake tuweze kuvuka kwa sababu ni dhahiri tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki litazua Mjadala mpya

Jumaa Mubarak!
Wale wengine ni wachumia tumbo tu na mbaya zaidi hawaijui Dunia, wenye Dunia yao wamekohoa kama kawaida swala wametawanyika
 
Maaskofu na wewe nani mjinga?
Unapouliza swali km hili unaonyesha huna hakika km maaskofu sio wajinga.
Wewe km ni mfuasi wa askofu yyt lazima upigwe marufuku kwenye zile ibada za weekend. Na fungu la 10 lzm utoe mara 3 au hutoingia mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…