Mjinga wee


SASA WANGEONGEA NINI, WAKATI JPM HATA HUO MKATABA USINGELETWA MEZANI KWAKE.

WANGEONGEA NN??.


PUNGUZA UPUNGUANI
Punguani ni wewe unayeshindwa kuoanisha ukweli kwamba JPM ndiye aliyeijenga SGR ili ichukue mzigo wa DPW kutoka huko Rwanda na Congo.

Punguani ni wewe uliyeshindWa kuoanisha nukta kuhusu safari ya kwanza ya JPM nje ya nchi kuwa ni Rwanda na huko huko Kigali pakaja kujengwa dry port kubwa kwa ajili ya kuweka mzigo wa DPW.
 
Mi,ni mwislam,,,,,,enzi zile Baganza na Kakobe walikiwasha mchana peeee!!!

Mwenyezi Mungu awape mwisho mwema hapa duniani na akhera.
 
"HAWA WANANCHI WENGI WAMEWAPATA KWA NJIA GANI, WAMEFANYA WAPI UTAFITI, NA NI LINI WAMEFANYA UTAFITI HUO?"


RC ndo yenye waumini wengi Tanzania ,Afrika na duniani,hivyo ni rahisi kupata maoni ya waumini wao
 
Kwan nyie akina salama leku mnateseka sana niwambie kitu hii nchi ni ya kikristo na maasikofu ndo wenye sauti ya mwisho kama hamtaki fanyeni mnavojua halafu kama mama hataondoka akiendesha gari bila hata msaidizi
Tanganyika haina dini.
 
Ni kama vile mambo yanatendeka kwa haraka sana tena yakiwa yamebeba uzito mkubwa

Tumuombe Mungu wa mbinguni atujalie Hekima yake tuweze kuvuka kwa sababu ni dhahiri tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki litazua Mjadala mpya

Jumaa Mubarak!
Jo nijuavyo maisha ni kupanda na kushuka,milima,mabonde,tambarare,kitonga n.k.Pia sijui kama katika kukua kwako uliwahi kuambiwa kua uyaone mwanangu🤔.Haikuwa na maana ya kuyaona magorofa,au mataa ya mjini ila uliambiwa kua uyaone yanayoambatana na maisha😂🤸🤸🏃🏃
 
Mama Abduli asituvurugie Taifa letu, uwekezaji wowote wenye TIJA ni lazima uwe na BARAKA za wananchi wote. Kwanini zitumike HILA, UBABE na NGUVU kulazimisha DP World wapewe bandari MILELE? Kuna siri gani? Viongozi wameahidiwa vitu gani?
 
Waarabu wana historia chafu ndani ya nchi hii. Hata leo ukienda Sudan huko Darfur vikundi vya magaidi vya waarabu vinaendelea kuua waafrika ili kuwawezesha kutengeneza taifa la waislamu/waarabu pekee.

Huu mkataba ufutwe haraka. Hata kwa kulipa gharama sisi watanganyika tumeridhia.
 
Kuwa na watu wapumbavu kwenye inchi kama mtoa mada, tusahau kabisa nchi kuendelea.
 
Aahaaaa,na aliwanyoosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…