sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Watakaa kimyaNinaamini Bwakata nao watakuja na tamko lao, je tamko lao litakuwa la kuunga au kupiga?
Ngoma bado mbichi hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakaa kimyaNinaamini Bwakata nao watakuja na tamko lao, je tamko lao litakuwa la kuunga au kupiga?
Ngoma bado mbichi hizi.
Mnapokosa hoja mnakimbilia matus. Unamjua vizuri JPM na nia zake kwa taifa hili?.Kumbe wewe ni Kenge , kengee Tena like limama la makenge.
Jingaa kabisaaa ,pumbavu la mwishoo.
JPM aliwakataa Wachina, ndo awakubali DP world?
Kujenga SGR alijenga kwaajili ya DP world ?? Hilo bichwa sibora umwage huo ubongo
Anatema mashudu huyo Mbumbumbu hana ubavu huoDuh ndio mmfika huku mkuu. Kisa tu waarabu. Mmwage Damu kwa ajili ya Dini😳😳😳😳
Wakikaa kimya itaimbuka taasisi yoyote inaweza kuwa Shura ya Maimamu.Watakaa kimya
Ujamaa si kupora na kuhodhi rasilimali za wenye nchiUjamaa ni kutoa huduma kwa wote bila kujali vikundi vya imanii
Hivi Wewe Ndugu unaifahamu kweli RC?!!?!Baraza lenyewe la mchongo. Mbona wakati wa magufuli hawakuwahi kutoka tamko lolote au wapo kwaajili ya kukosoa uongozi wa kiislamu Tu?
Kwahiyo ikitokea shehe, al-hadj (mf. Mzee Mwinyi) au mchungaji amekuwa mbunge au Rais itakuwa dini imeingilia serikali?Wapi umewahi niona naunga mkono mambo ya dini kuingilia mambo ya serikali?
Hulijui Kanisa la Roma wewe, hao hata wakiamua leo huyo mama abduli kesho asepe atasepa ila hekima wanayo
Katoliki ndiyo imezaa CCM na bakwata hawa jamaa wakishasema NO ni NO kwelikweli
Hawa maaskofu mapunguwani kweli wanaleta ushabiki wa kidini kwenye mambo ya msingi. Mama shikilia hapo hapo DP world washaanza kuwekeza haturudi nyuma.
Kinachojadiliwa Kutokana na post na hayo unayoyaleta unahisi vinalandana kweli au umetanguliza mihemko Hadi unaandika yanayokufurukuta Kwa moto...Tuhuma za uongooo , nmesoma kuanzia La kwanza mpaka. Chuo Kikuu na waislam.
Sema ukweli ni kwamba, waislam wengi ni Mbumbumbu kichwani.
Angalia mikoa ambayo angalau Ina idadi Kadhaa ya waisalm,, ndio inaongoza kufanya vibaya mitihani..
Ndo mikoa ambayo Masheikh ubwabwa wanataka kuoa watoto wa miaka 14.
Ndo mikoa ambayo watoto wa kike hawatakiwi Kusoma.
msisingiziee TEC, ukweli ni Kwamba, ukiona Muislam kasoma kafika juuu Sana kielim, basi ujue huyo amejitutumua Sanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao maaskofu hawakai kwenye vijiwe vya kahawa kama wewe. Wewe ni mmoja wa mashabiki toka vijiwe vya kahawa.Usikute hata mkataba wenyewe hawajausoma wala hawahujui cha ajabu eti nao wanatoa tamko. ila dini hizi...mmmh!! Basi tu
Acha uongo ndugu. Una heshima kubwa ndani ya jukwaa hili. Katika kipindi cha miaka 5 ya awamu ya JPM TEC walitoa WATÀKAO mara mbili 2017 na 2019 mara zote waliishambulia serikali ya Magufuli kuhusu demokrasia.Usilolijua: Walishirikiana na kijana wao wa Lupaso kumuweka Mseminari Yohana ila akawageuka.
Kuna mapadri waliondolewa hapa nchini kwa mgongo wa kwenda kusoma nje ya nchi ili waukwepe mkono wa Yohana. Kijana wao wa Seminari alivuka mpaka pale alipomtishia Muhashamu fulani maarufu kutoka jimbo la nyanda za juu kusini.
Walimuweka kwa njia ya hila na Yohana alipoanza kuanzisha taharuki, wenyewe wakakaa kimya kwasababu walidhani hatawagusa. Bwana bwanaa, hata wao walibatizwa ubatizo mzito. Kipindi cha UVIKO uvumilivu ukawashinda wakaanza kumshambulia hadharani.
Choko la Al Qaeda kukurukupa kote huko hadi kutoka mapangoni hata hoja moja tu ya msingi huna zaidi ya chuki?Waswahili wanasema "asifiae mvua imemnyea"
We unaonekana ulishainamishwa na kina baba askofu. Sasa unadhani wote wako hivyo.
Teh teh teh.
Hio ndio shida ya kutaka utajiri fasta. Ukiambiwa inama nikutoe pepo mchafu na nikutajirishe fasta unaitia tu "tawile baba askofu".
Kwani magufuli alitaka kugawa bandari kwa muda usio julikana? Maana kama mnataka kuchanganya mambo hapaBaraza la Maaskofu Tanzania kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo Padri Charles Kitima wametoa tamko waliloliita Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu, ambapo kwa mujibu wa maelezo ya Padri Kitima Baraza hilo yaani Maaskofu kwa sauti moja wamekubaliana kutounga mkono uwekezaji wa Bandari akieleza kuwa "wanannchi wengi" hawaungi mkono hivyo wanamuomba Rais Samia kuingilia kati kwani Bunge limeshindwa kusimama na wananchi"
Binafsi nina mambo kadhaa yanayonipa mgagasiko na maswali mengi bila majibu.
1. TEC Wanasema kuwa wanasimama na wananchi walio wengi kupinga mkataba huu, HAWA WANANCHI WENGI WAMEWAPATA KWA NJIA GANI, WAMEFANYA WAPI UTAFITI, NA NI LINI WAMEFANYA UTAFITI HUO?
2. Awamu iliyopita ilishuhudia uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu, chembechembe za Udikteta hata kufikia watu kuokotwa kwenye viroba LAKINI HAKUONEKANA YEYOTE Katika TEC KUSIMAMA NA "WANANCHI WALIO WENGI" KUKEMEA YALIYOKUWA YAKIENDELEA, JE TEC WALIKUWA VIPOFU, AU NI KWA SABABU ALIYEKUWA AKIONGOZA NCHI WANASALI PAMOJA "SALA YA BABA YETU"
3. Nini kimewafanya TEC Waamini kwamba Waumini wao wote au wengi wanapinga Mkataba wa Bandari? Vipi wale wanaounga mkono watawaweka kundi gani?
4. Dkt Slaa amewahi kunukuliwa akisema kuwa wakati akiwa TEC baadhi ya wasio waaminifu walitumia jina la Kanisa/TEC kuingiza magendo nchini, je kupinga Teknolojia ya kisasa na uwekezaji unaotaka kufanywa bandarini hauotoshi kutufanya tuhoji TEC wananufaika vipi na Bandari?
5. TEC wanaosimamia maadili walitoa Tamko gani pale ambapo Hospitali ya Kanisa ilipopeperusha bendera ya ya upinde inayotumiwa na wanaounga mkono vitendo vya usagaji na ushoga. Au ndio yaleyale ya wakala wa mabeberu
Mwisho: Kumekuwa na maneno yasiyo rasmi kuwa pale nchi inapoongozwa na asiyeswali sala ya "Baba Yetu" hawa Ti i Sii wamekuwa mstari wa mbele sana kutoa matamko tofauti na pale ambapo namba moja anapokuwa ni "mwenzao"
Wito wangu ni kuwa: Taasisi za Kidini zibaki katika kazi zake kwani ni rahisi sana kufarakanisha na kuigawa nchi kuliko wanavyodhani, nimewaza vipi kesho BAKWATA wakitoka hadharani na kusema wanaunga mkono mkataba, si tayari tunakuwa tumeigawa nchi kwa uzembeuzembe tu.
Kama TEC walikuwa kimya wakati nchi inapitishwa kwenye tanuru la moto na Chuma basi sidhani kama wana moral authority ya kusimama na kupinga miradi itakayoleta mageuzi makubwa kwa maendeleo ya nchi hii,
Au na wao TEC kuna mahali maslahi yao YAMEGUSWA?
Soma comments utajua hao wananchi wengi wamewapata vipi, uandishi wako unanuka dhulma na rushwaBaraza la Maaskofu Tanzania kupitia kwa Katibu wa Baraza hilo Padri Charles Kitima wametoa tamko waliloliita Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu, ambapo kwa mujibu wa maelezo ya Padri Kitima Baraza hilo yaani Maaskofu kwa sauti moja wamekubaliana kutounga mkono uwekezaji wa Bandari akieleza kuwa "wanannchi wengi" hawaungi mkono hivyo wanamuomba Rais Samia kuingilia kati kwani Bunge limeshindwa kusimama na wananchi"
Binafsi nina mambo kadhaa yanayonipa mgagasiko na maswali mengi bila majibu.
1. TEC Wanasema kuwa wanasimama na wananchi walio wengi kupinga mkataba huu, HAWA WANANCHI WENGI WAMEWAPATA KWA NJIA GANI, WAMEFANYA WAPI UTAFITI, NA NI LINI WAMEFANYA UTAFITI HUO?
2. Awamu iliyopita ilishuhudia uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu, chembechembe za Udikteta hata kufikia watu kuokotwa kwenye viroba LAKINI HAKUONEKANA YEYOTE Katika TEC KUSIMAMA NA "WANANCHI WALIO WENGI" KUKEMEA YALIYOKUWA YAKIENDELEA, JE TEC WALIKUWA VIPOFU, AU NI KWA SABABU ALIYEKUWA AKIONGOZA NCHI WANASALI PAMOJA "SALA YA BABA YETU"
3. Nini kimewafanya TEC Waamini kwamba Waumini wao wote au wengi wanapinga Mkataba wa Bandari? Vipi wale wanaounga mkono watawaweka kundi gani?
4. Dkt Slaa amewahi kunukuliwa akisema kuwa wakati akiwa TEC baadhi ya wasio waaminifu walitumia jina la Kanisa/TEC kuingiza magendo nchini, je kupinga Teknolojia ya kisasa na uwekezaji unaotaka kufanywa bandarini hauotoshi kutufanya tuhoji TEC wananufaika vipi na Bandari?
5. TEC wanaosimamia maadili walitoa Tamko gani pale ambapo Hospitali ya Kanisa ilipopeperusha bendera ya ya upinde inayotumiwa na wanaounga mkono vitendo vya usagaji na ushoga. Au ndio yaleyale ya wakala wa mabeberu
Mwisho: Kumekuwa na maneno yasiyo rasmi kuwa pale nchi inapoongozwa na asiyeswali sala ya "Baba Yetu" hawa Ti i Sii wamekuwa mstari wa mbele sana kutoa matamko tofauti na pale ambapo namba moja anapokuwa ni "mwenzao"
Wito wangu ni kuwa: Taasisi za Kidini zibaki katika kazi zake kwani ni rahisi sana kufarakanisha na kuigawa nchi kuliko wanavyodhani, nimewaza vipi kesho BAKWATA wakitoka hadharani na kusema wanaunga mkono mkataba, si tayari tunakuwa tumeigawa nchi kwa uzembeuzembe tu.
Kama TEC walikuwa kimya wakati nchi inapitishwa kwenye tanuru la moto na Chuma basi sidhani kama wana moral authority ya kusimama na kupinga miradi itakayoleta mageuzi makubwa kwa maendeleo ya nchi hii,
Au na wao TEC kuna mahali maslahi yao YAMEGUSWA?