Sasa Mwamakula na TEC wana uhusiaono gani. Wewe hata hujielewi
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti shemasi anayengoja upadre awahoji maaskofu wake? Anajipenda kweli
 
Kwan nyie akina salama leku mnateseka sana niwambie kitu hii nchi ni ya kikristo na maasikofu ndo wenye sauti ya mwisho kama hamtaki fanyeni mnavojua halafu kama mama hataondoka akiendesha gari bila hata msaidizi
Kwamba Maaskofu wana sauti kuliko Dola, endelea kujidanganya
 
Kumbe wewe ni Kenge , kengee Tena like limama la makenge.


Jingaa kabisaaa ,pumbavu la mwishoo.


JPM aliwakataa Wachina, ndo awakubali DP world?


Kujenga SGR alijenga kwaajili ya DP world ?? Hilo bichwa sibora umwage huo ubongo
 
Naona ma*ario sasa yameaza kuwaka moto 😏. Nyie FISIEMU Aliye waambia muuze bandari nani
 
Baada ya tamko la TEC la leo soon utasikia rais anatoa tamko la kuachana na DPW.

TEC oyeeee!
 
Reactions: Ame
Mtoa mada tunashukuru, lkn wewe uliisaidia Nini serikari ya awamu yatano ili isitende Yale unayoyaita kasolo ambavyo TEC haikuwajibika kwayo? Na pia umeishauli Nini hii yasasa kwa dosari zinazolalamikiwa,ambapo TEC kama taasisi imetoa mchangowale na si msimamo wakugawa wananchi kama inavotaka kudhanika. Ikumbukwe kuwa sisi wote tunajenga nchi yetu, niwajibuwetu kukijenga amaniyetu na si kunyoosheana vidole vyenye kuashilia chuki au mgawanyiko, tunawajibu wakutoa maoni na kulinda laslimali za nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rais wetu na serikaliyake yote, Mungu bariki Umoja wetu, lkn EE MWENYEZI MUNGU BARIKI UZALENDO KWA VIONGOZI WETU WOTE watimize wajibuwao kwa upendo dhidi ya Taifaletu na watuwake kwa HAKI, UPENDO, UMOJA & AMANI
 
Hapa ni vita tu, shime waislamu wote, hii ni nafasi tukufu tumeipata, hawa wametuonea sana
Wakati ni sasa, tumwage damu kwa ajili ya dini na vizazi vyetu, waliotayari tukutane sasa
Duh ndio mmfika huku mkuu. Kisa tu waarabu. Mmwage Damu kwa ajili ya Dini😳😳😳😳
 
MKatoliki ndiyo imezaa CCM na bakwata hawa jamaa wakishasema NO ni NO kwelikweli
Walimkatalia BWM kubinafsisha Air Tanzania na akaufyata,
Na wana member kwenye deep state hawa,
Ninaamini Bwakata nao watakuja na tamko lao, je tamko lao litakuwa la kuunga au kupiga?
Ngoma bado mbichi hizi.

Walidhani baada ya hukumu ya mahakama huko Mbeya wameufunga mjadala kumbe ngoma bado,
ngoma imeanza mwezi wa 6 hadi huu 8 mjadala unaendelea, mama usishupaze shingo kubali yaishe usije ambiwa kaa pembeni kiti kimekushinda.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…