Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Madaraka ya serikali yanatoka kwa wananchi, wananchi kama hawataki jambo halina maslahi kwa umma ni kwa nini serikali inang'ang'ania jambo hilo? Nini kimejificha?Nimeuliza swali nipewe elimu l.
Unaweza kunijibu tafadhali kama hutojali?
π Kwa nini hoja ya TEC iwe kuufuta mkataba wote na sio kurekebishwa kwa vifungu?
Naona TEC wamewavuruga kweli kweli. Ni mwendo wa kuweweseka tu.Kuondolewa kwa TICTS bandarinj ni maumivu makali sana kwa kanisa Katokiki kwa sababu walizoea kupitisha vitu bure kwa sababu ya Karamagi kuwa mmiliki wa TICTS. Alianza Kadinali Pengo kuongea mwanzoni kabisa akashughulikiwa akapumzika lakini sasa TEC wamekuja kama taasisi wanafanya yale yale wanayofanya wanasiasa. TEC mlikuwa wapi wakati wa uchaguzi wa 2020? Hamkuwa na cha kusema kama kweli mnatetea watanzania ?
TEC hawana mamlaka ya kuwasemea watanzania na hawajawahi kuwa wasemaji wa watanzania. Wao ni wasemaji wa waumini wao na wabaki wakisema mamho yao huko makanisani na hakuna mahali waliombwa kuwasemea watanzania.
TEC hawa ndiyo ambao miongozi mwao akina Kilaini walipokea rushwa kutoka pesa walizoibiwa watanzania kwenye sakata la ESCROW. TEC hawa ndiyo waliokuwa wanageuza madhabahu ya makanisa yao kufanya siasa na kujisafisha kwa bwana yule wakati nchi inavuja damu na machozi.
TEC wamelidharau bunge na kuliona halina maana yoyote na hili linapaswa kushughulikiwa na bunge kwa ukali sana ikibidi huyu Katibu wa TEC aitwe kuhojiwa na kamati ya bunge kwa sababu ameacha kazi yake ya upadre sasa anaingia kwenye siasa na upinzani dhidi ya serikali .
TEC wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya kuongoza hii nchi. Hawakusema uozo wa TICTS wakati wa Mkap na Magufuli kwa kuwa ni wakatoliki wenzao. Hawakuona madudu ya TICTS kwa sababu Karamagi ni mkatoliki mwenzao na zaidi wananufaika na uwepo wa TICTS bandarini kwa kuwa wanapitisha mizigo bure. Ujio wa DO World unakwenda kufunga hii mianya na huu ujinga hautakuwepo tena.
TEC wana mamlaka gani ya kusema mkataba uvunjwe? Au kwa sababu DP World ni waarabu ba waislamu ? TEC waonywe na wambiwe wakome kudhani Tanzania ni nchi ya kidini au kikatoliki. Wakome kudhani wanaweza kulidharau bunge na kama watakata siasa wavue kanzu waache kugawa sakramenti waje majukwaani kufanya siasa.
Katibu wa TEC alikuwa mmoja ya waalikwa kwenye mkutano wa wanasiasa wanaopinga uwekezaji bandarini. Leo anakuja anapanuapanua mdomo kuwa watanzania sijui wamesema hivi mara vile.
Ifike mahaki TEC waambiwe WAKOME hii tabia na kama wanadhani wanaweza kudharau viongozi wa nchi kisa siyo wakatoliki basi wajiandae vizuri sana kwa sababu hiyo vita hawatakaa waishinde na TEC ni wahujumu wa juhudi za serikali kuboresha bandari.
:View attachment 2721636Nb,Bado tunasubiri matamko toka...!ππ
ILI MANENO YA WENGI NI MANENO YA MUNGU YATIMIE.
NAAMINI KATIKA USAWA!
Wakatoliki hampo pekeyenu fahamuni hilo,nyie siyo Alfa na omega!Mjinga mkubwa wewe, tangazeni tenda watu waombe au kama kuendesha nchi kumewashinda kaeni pembeni
Tec,ni sehemu mdogo mno,kwa jamii ya watanzania,tena waumini wenu wengi wapo kwa wazee wa upako!Naona TEC wamewavuruga kweli kweli. Ni mwendo wa kuweweseka tu.
Kwani mwenye TICTS si mkonae wenyewe?Kuondolewa kwa TICTS bandarinj ni maumivu makali sana kwa kanisa Katokiki kwa sababu walizoea kupitisha vitu bure kwa sababu ya Karamagi kuwa mmiliki wa TICTS. Alianza Kadinali Pengo kuongea mwanzoni kabisa akashughulikiwa akapumzika lakini sasa TEC wamekuja kama taasisi wanafanya yale yale wanayofanya wanasiasa. TEC mlikuwa wapi wakati wa uchaguzi wa 2020? Hamkuwa na cha kusema kama kweli mnatetea watanzania ?
TEC hawana mamlaka ya kuwasemea watanzania na hawajawahi kuwa wasemaji wa watanzania. Wao ni wasemaji wa waumini wao na wabaki wakisema mamho yao huko makanisani na hakuna mahali waliombwa kuwasemea watanzania.
TEC hawa ndiyo ambao miongozi mwao akina Kilaini walipokea rushwa kutoka pesa walizoibiwa watanzania kwenye sakata la ESCROW. TEC hawa ndiyo waliokuwa wanageuza madhabahu ya makanisa yao kufanya siasa na kujisafisha kwa bwana yule wakati nchi inavuja damu na machozi.
TEC wamelidharau bunge na kuliona halina maana yoyote na hili linapaswa kushughulikiwa na bunge kwa ukali sana ikibidi huyu Katibu wa TEC aitwe kuhojiwa na kamati ya bunge kwa sababu ameacha kazi yake ya upadre sasa anaingia kwenye siasa na upinzani dhidi ya serikali .
TEC wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya kuongoza hii nchi. Hawakusema uozo wa TICTS wakati wa Mkap na Magufuli kwa kuwa ni wakatoliki wenzao. Hawakuona madudu ya TICTS kwa sababu Karamagi ni mkatoliki mwenzao na zaidi wananufaika na uwepo wa TICTS bandarini kwa kuwa wanapitisha mizigo bure. Ujio wa DO World unakwenda kufunga hii mianya na huu ujinga hautakuwepo tena.
TEC wana mamlaka gani ya kusema mkataba uvunjwe? Au kwa sababu DP World ni waarabu ba waislamu ? TEC waonywe na wambiwe wakome kudhani Tanzania ni nchi ya kidini au kikatoliki. Wakome kudhani wanaweza kulidharau bunge na kama watakata siasa wavue kanzu waache kugawa sakramenti waje majukwaani kufanya siasa.
Katibu wa TEC alikuwa mmoja ya waalikwa kwenye mkutano wa wanasiasa wanaopinga uwekezaji bandarini. Leo anakuja anapanuapanua mdomo kuwa watanzania sijui wamesema hivi mara vile.
Ifike mahaki TEC waambiwe WAKOME hii tabia na kama wanadhani wanaweza kudharau viongozi wa nchi kisa siyo wakatoliki basi wajiandae vizuri sana kwa sababu hiyo vita hawatakaa waishinde na TEC ni wahujumu wa juhudi za serikali kuboresha bandari.
:View attachment 2721636Nb,Bado tunasubiri matamko toka...!ππ
ILI MANENO YA WENGI NI MANENO YA MUNGU YATIMIE.
NAAMINI KATIKA USAWA!
Mnagawa mali za watanganyika kipindi chenu kikiisha mnarudi Zanzibar mnatuachia kesi na matatizo mengine, pelekeni DP yenu Zanzibar au Zanzibar hamtaki faida?Wakatoliki hampo pekeyenu fahamuni hilo,nyie siyo Alfa na omega!
Sasa kwa nini mnahangaika kuwajibu? Mngewapuuza tu kama ni hivyo.Tec,ni sehemu mdogo mno,kwa jamii ya watanzania,tena waumini wenu wengi wapo kwa wazee wa upako!
Umewahi kuleta mzigo wako kupitia TPA?, (acheni kujazwa upepo)Mnagawa mali za watanganyika kipindi chenu kikiisha mnarudi Zanzibar mnatuachia kesi na matatizo mengine, pelekeni DP yenu Zanzibar au Zanzibar hamtaki faida?
Hakuna anayepiga uwekezaji kinachopingwa ni aina ya mkataba, mkataba umeusoma? je una kurasa ngapi?Umewahi kuleta mzigo wako kupitia TPA?, (acheni kujazwa upepo)
Ccm- dpw.Kwa niaba ya wapagani tunakubaliana na MKATABA HUU KWA ASILIMIA 105%.
Kumbe haya mapumbavu kundi la akina Crocodiletooth yaliamua makusudi kuingia mkataba wa hovyo namna hii ili kukomoa mrengo mwingine?! Tusikubali huu uhuni hata kidogo.Mjinga mkubwa wewe, tangazeni tenda watu waombe au kama kuendesha nchi kumewashinda kaeni pembeni
Kwa hiyo uongozi wa waisramu ni kugawa tuKuondolewa kwa TICTS bandarinj ni maumivu makali sana kwa kanisa Katokiki kwa sababu walizoea kupitisha vitu bure kwa sababu ya Karamagi kuwa mmiliki wa TICTS. Alianza Kadinali Pengo kuongea mwanzoni kabisa akashughulikiwa akapumzika lakini sasa TEC wamekuja kama taasisi wanafanya yale yale wanayofanya wanasiasa. TEC mlikuwa wapi wakati wa uchaguzi wa 2020? Hamkuwa na cha kusema kama kweli mnatetea watanzania ?
TEC hawana mamlaka ya kuwasemea watanzania na hawajawahi kuwa wasemaji wa watanzania. Wao ni wasemaji wa waumini wao na wabaki wakisema mamho yao huko makanisani na hakuna mahali waliombwa kuwasemea watanzania.
TEC hawa ndiyo ambao miongozi mwao akina Kilaini walipokea rushwa kutoka pesa walizoibiwa watanzania kwenye sakata la ESCROW. TEC hawa ndiyo waliokuwa wanageuza madhabahu ya makanisa yao kufanya siasa na kujisafisha kwa bwana yule wakati nchi inavuja damu na machozi.
TEC wamelidharau bunge na kuliona halina maana yoyote na hili linapaswa kushughulikiwa na bunge kwa ukali sana ikibidi huyu Katibu wa TEC aitwe kuhojiwa na kamati ya bunge kwa sababu ameacha kazi yake ya upadre sasa anaingia kwenye siasa na upinzani dhidi ya serikali .
TEC wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya kuongoza hii nchi. Hawakusema uozo wa TICTS wakati wa Mkap na Magufuli kwa kuwa ni wakatoliki wenzao. Hawakuona madudu ya TICTS kwa sababu Karamagi ni mkatoliki mwenzao na zaidi wananufaika na uwepo wa TICTS bandarini kwa kuwa wanapitisha mizigo bure. Ujio wa DO World unakwenda kufunga hii mianya na huu ujinga hautakuwepo tena.
TEC wana mamlaka gani ya kusema mkataba uvunjwe? Au kwa sababu DP World ni waarabu ba waislamu ? TEC waonywe na wambiwe wakome kudhani Tanzania ni nchi ya kidini au kikatoliki. Wakome kudhani wanaweza kulidharau bunge na kama watakata siasa wavue kanzu waache kugawa sakramenti waje majukwaani kufanya siasa.
Katibu wa TEC alikuwa mmoja ya waalikwa kwenye mkutano wa wanasiasa wanaopinga uwekezaji bandarini. Leo anakuja anapanuapanua mdomo kuwa watanzania sijui wamesema hivi mara vile.
Ifike mahaki TEC waambiwe WAKOME hii tabia na kama wanadhani wanaweza kudharau viongozi wa nchi kisa siyo wakatoliki basi wajiandae vizuri sana kwa sababu hiyo vita hawatakaa waishinde na TEC ni wahujumu wa juhudi za serikali kuboresha bandari.
:View attachment 2721636Nb,Bado tunasubiri matamko toka...!ππ
ILI MANENO YA WENGI NI MANENO YA MUNGU YATIMIE.
NAAMINI KATIKA USAWA!
Hawezi tena wapumbavu wakubwa hawaKumbe haya mapumbavu kundi la akina Crocodiletooth yaliamua makusudi kuingia mkataba wa hovyo namna hii ili kukomoa mrengo mwingine?! Tusikubali huu uhuni hata kidogo.
Serekali yetu haitaweza kupoteza muda wake kujibu mambo ya aina hii, ni sisi wafurukutwa wa kitaa tunakula NAO sahani moja,Sasa kwa nini mnahangaika kuwajibu? Mngewapuuza tu kama ni hivyo.
Time shall tells..Hawezi tena wapumbavu wakubwa hawa