Dah!! jamaa muongo wew 🤣 una element za umbea wa kijinsia
 
Mwaka huu jogoo kataga mayai pacha.

Mnashindwa kujibu hoja mnapambana na mtoa hoja.

Kitima amesoma waraka ulioandaliwa na maaskofu. Ametumwa kuusoma waraka
 

Ni nani mhandisi wa hii karakana ya uzushi na uongo?
 
Lile tu linajulikana
 
Mleta uzi,kwa nini haupendi kuuacha ujinga uende zake?🤔
 
Umesoma tamko la SHURA YA MAIMAMU ?
Kama umesoma wamesemaje juu ya Mkataba wa DPW ?

Kama hujasoma basi shida ipo kwako.
 
Haya yote yamekuja baada ya huyo Hangaya kugawa shamba letu la urithi kwa waarabu waliompamba kwenye ukuta wa jengo refu Dubai kwa siku moja!

Mwambieni Abdul na mama yake kwamba wanakotupeleka ni Kubaya kama taifa.
 
Muongo Wewe,, Hii inaonyesha mmekula Hela za DP,,Rudisheni tuuu,,Sisi Wenye Nchi tumekataa
 
stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…