Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
CHARLES KITIMA ACHA KUTUMIA KANISA KATOLIKI KUENEZA CHUKI ZA WAZI DHIDI YA RAIS SAMIA SULUHU

Na, Nulphin Charles Heche

Kwa mara nyingine, Kikundi kidogo cha wanachama wa Chadema ambao pia ni viongozi ndani ya Kanisa Katoliki wakiongozwa na Charles Kitima wameamua kuonyesha chuki za wazi kwa kusambaza kipeperushi kinacholenga kujenga chuki kati ya serikali na waumini wa Katoliki nchini.

Charles Kitima ambaye amekuwa akifanya shughuli mbalimbali za Chadema bila kificho amevuka mipaka ya kazi zake kama kiongozi wa kidini akijikita katika kutengeneza na kusambaza chuki dhidi ya serikali kwa madai ya kupinga uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam kama ilivyo ajenda ya chama chake.

Mawasiliano mbalimbali yanayofanywa na Ndg. Charles Kitima na kundi lake kuwashawishi viongozi wengine wa Kanisa Katoliki nchini ili waunge mkono hoja za Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kueneza chuki dhidi ya serikali ni kinyume cha taratibu kwani Kanisa Katoliki si la CHADEMA.

Heshima ya Kanisa Katoliki ni kubwa kuliko maslahi ya Charles Kitima na rafiki zake wachache. Kueneza chuki dhidi ya Rais na serikali yake ni ukosefu wa uzalendo na kujisahau. Tanzania ni kubwa kuliko fedha au tija yoyote binafsi. Uwekezaji katika bandari ya Dar es salaam ni kwa maslahi ya umma na si vinginevyo.

Mageuzi yanayoleta tija kwa uchumi wa nchi yetu ni pamoja na kuvutia uwekezaji katika maeneo ya kimkakati kama vile Bandari. Kwa miaka zaidi ya thelathini Bandari yetu imekuwa ikiendeshwa na kampuni ya TICS na Charles Kitima hakuwahi kuhoji juu ya ufanisi hafifu lakini amepata ujasiri wa kueneza chuki dhidi ya serikali katika kipindi hiki muhimu, hili ni jambo la kushangaza na linatia aibu kwa kiongozi huyu anayejaribu kutumia Kanisa kuchafua serikali wazi wazi.
 

Attachments

  • IMG-20230820-WA0027.jpg
    IMG-20230820-WA0027.jpg
    18 KB · Views: 2
Kuondolewa kwa TICTS bandarinj ni maumivu makali sana kwa kanisa Katokiki kwa sababu walizoea kupitisha vitu bure kwa sababu ya Karamagi kuwa mmiliki wa TICTS. Alianza Kadinali Pengo kuongea mwanzoni kabisa akashughulikiwa akapumzika lakini sasa TEC wamekuja kama taasisi wanafanya yale yale wanayofanya wanasiasa. TEC mlikuwa wapi wakati wa uchaguzi wa 2020? Hamkuwa na cha kusema kama kweli mnatetea watanzania ?

TEC hawana mamlaka ya kuwasemea watanzania na hawajawahi kuwa wasemaji wa watanzania. Wao ni wasemaji wa waumini wao na wabaki wakisema mamho yao huko makanisani na hakuna mahali waliombwa kuwasemea watanzania.

TEC hawa ndiyo ambao miongozi mwao akina Kilaini walipokea rushwa kutoka pesa walizoibiwa watanzania kwenye sakata la ESCROW. TEC hawa ndiyo waliokuwa wanageuza madhabahu ya makanisa yao kufanya siasa na kujisafisha kwa bwana yule wakati nchi inavuja damu na machozi.

TEC wamelidharau bunge na kuliona halina maana yoyote na hili linapaswa kushughulikiwa na bunge kwa ukali sana ikibidi huyu Katibu wa TEC aitwe kuhojiwa na kamati ya bunge kwa sababu ameacha kazi yake ya upadre sasa anaingia kwenye siasa na upinzani dhidi ya serikali .

TEC wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya kuongoza hii nchi. Hawakusema uozo wa TICTS wakati wa Mkap na Magufuli kwa kuwa ni wakatoliki wenzao. Hawakuona madudu ya TICTS kwa sababu Karamagi ni mkatoliki mwenzao na zaidi wananufaika na uwepo wa TICTS bandarini kwa kuwa wanapitisha mizigo bure. Ujio wa DO World unakwenda kufunga hii mianya na huu ujinga hautakuwepo tena.

TEC wana mamlaka gani ya kusema mkataba uvunjwe? Au kwa sababu DP World ni waarabu ba waislamu ? TEC waonywe na wambiwe wakome kudhani Tanzania ni nchi ya kidini au kikatoliki. Wakome kudhani wanaweza kulidharau bunge na kama watakata siasa wavue kanzu waache kugawa sakramenti waje majukwaani kufanya siasa.

Katibu wa TEC alikuwa mmoja ya waalikwa kwenye mkutano wa wanasiasa wanaopinga uwekezaji bandarini. Leo anakuja anapanuapanua mdomo kuwa watanzania sijui wamesema hivi mara vile.

Ifike mahaki TEC waambiwe WAKOME hii tabia na kama wanadhani wanaweza kudharau viongozi wa nchi kisa siyo wakatoliki basi wajiandae vizuri sana kwa sababu hiyo vita hawatakaa waishinde na TEC ni wahujumu wa juhudi za serikali kuboresha bandari.

:View attachment 2721636Nb,Bado tunasubiri matamko toka...!👆👆
ILI MANENO YA WENGI NI MANENO YA MUNGU YATIMIE.
NAAMINI KATIKA USAWA!
Anaitwa Nadhir Karamagi, misamaha ya kodi ipo kisheria na ni taasisi zote za dini upata msamaha huo, nenda bakwata pale uliza utapewa majibu.Kwa upande RC kila chenye msamaha wa kodi ya serikali ni mali ya kanisa hata kama umeagiza kitu chochote kwa pesa yako kitaandikwa mali ya kanisa.
 
CHARLES KITIMA ACHA KUTUMIA KANISA KATOLIKI KUENEZA CHUKI ZA WAZI DHIDI YA RAIS SAMIA SULUHU

Na, Nulphin Charles Heche

Kwa mara nyingine, Kikundi kidogo cha wanachama wa Chadema ambao pia ni viongozi ndani ya Kanisa Katoliki wakiongozwa na Charles Kitima wameamua kuonyesha chuki za wazi kwa kusambaza kipeperushi kinacholenga kujenga chuki kati ya serikali na waumini wa Katoliki nchini.

Charles Kitima ambaye amekuwa akifanya shughuli mbalimbali za Chadema bila kificho amevuka mipaka ya kazi zake kama kiongozi wa kidini akijikita katika kutengeneza na kusambaza chuki dhidi ya serikali kwa madai ya kupinga uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam kama ilivyo ajenda ya chama chake.

Mawasiliano mbalimbali yanayofanywa na Ndg. Charles Kitima na kundi lake kuwashawishi viongozi wengine wa Kanisa Katoliki nchini ili waunge mkono hoja za Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kueneza chuki dhidi ya serikali ni kinyume cha taratibu kwani Kanisa Katoliki si la CHADEMA.

Heshima ya Kanisa Katoliki ni kubwa kuliko maslahi ya Charles Kitima na rafiki zake wachache. Kueneza chuki dhidi ya Rais na serikali yake ni ukosefu wa uzalendo na kujisahau. Tanzania ni kubwa kuliko fedha au tija yoyote binafsi. Uwekezaji katika bandari ya Dar es salaam ni kwa maslahi ya umma na si vinginevyo.

Mageuzi yanayoleta tija kwa uchumi wa nchi yetu ni pamoja na kuvutia uwekezaji katika maeneo ya kimkakati kama vile Bandari. Kwa miaka zaidi ya thelathini Bandari yetu imekuwa ikiendeshwa na kampuni ya TICS na Charles Kitima hakuwahi kuhoji juu ya ufanisi hafifu lakini amepata ujasiri wa kueneza chuki dhidi ya serikali katika kipindi hiki muhimu, hili ni jambo la kushangaza na linatia aibu kwa kiongozi huyu anayejaribu kutumia Kanisa kuchafua serikali wazi wazi.
Bandari zetu mustakabali wetu. Kwanini Bandari za Zanzibar hazimo.
 
Huo wa IGA ni kitu gani; ambao umelazimu hadi kwenda Bungeni?
Haya yote yamejadiliwa humu muda kitambo; wewe ulikuwa wapi kama hukuyaona?

IGA mbovu itazaa vipi hivyo vimikataba ambavyo vitakuwa bora?

Kama hamuitambui IGA iondoeni; hivyo vimikataba vijisimamie vyeyewe.
Sasa unajiita kalamu kisha unaandika km umekunywa mapuya.
Nani kailalamikia IGA humu?

Yaani hii JF mi nashauri ipime watu IQ kabisa kabla ya kuwaruhusu humu au tutapata shida sana wazee km mimi kutoa elimu za bure humu.

Dah.....
 
Kuondolewa kwa TICTS bandarinj ni maumivu makali sana kwa kanisa Katokiki kwa sababu walizoea kupitisha vitu bure kwa sababu ya Karamagi kuwa mmiliki wa TICTS. Alianza Kadinali Pengo kuongea mwanzoni kabisa akashughulikiwa akapumzika lakini sasa TEC wamekuja kama taasisi wanafanya yale yale wanayofanya wanasiasa. TEC mlikuwa wapi wakati wa uchaguzi wa 2020? Hamkuwa na cha kusema kama kweli mnatetea watanzania ?

TEC hawana mamlaka ya kuwasemea watanzania na hawajawahi kuwa wasemaji wa watanzania. Wao ni wasemaji wa waumini wao na wabaki wakisema mamho yao huko makanisani na hakuna mahali waliombwa kuwasemea watanzania.

TEC hawa ndiyo ambao miongozi mwao akina Kilaini walipokea rushwa kutoka pesa walizoibiwa watanzania kwenye sakata la ESCROW. TEC hawa ndiyo waliokuwa wanageuza madhabahu ya makanisa yao kufanya siasa na kujisafisha kwa bwana yule wakati nchi inavuja damu na machozi.

TEC wamelidharau bunge na kuliona halina maana yoyote na hili linapaswa kushughulikiwa na bunge kwa ukali sana ikibidi huyu Katibu wa TEC aitwe kuhojiwa na kamati ya bunge kwa sababu ameacha kazi yake ya upadre sasa anaingia kwenye siasa na upinzani dhidi ya serikali .

TEC wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya kuongoza hii nchi. Hawakusema uozo wa TICTS wakati wa Mkap na Magufuli kwa kuwa ni wakatoliki wenzao. Hawakuona madudu ya TICTS kwa sababu Karamagi ni mkatoliki mwenzao na zaidi wananufaika na uwepo wa TICTS bandarini kwa kuwa wanapitisha mizigo bure. Ujio wa DO World unakwenda kufunga hii mianya na huu ujinga hautakuwepo tena.

TEC wana mamlaka gani ya kusema mkataba uvunjwe? Au kwa sababu DP World ni waarabu ba waislamu ? TEC waonywe na wambiwe wakome kudhani Tanzania ni nchi ya kidini au kikatoliki. Wakome kudhani wanaweza kulidharau bunge na kama watakata siasa wavue kanzu waache kugawa sakramenti waje majukwaani kufanya siasa.

Katibu wa TEC alikuwa mmoja ya waalikwa kwenye mkutano wa wanasiasa wanaopinga uwekezaji bandarini. Leo anakuja anapanuapanua mdomo kuwa watanzania sijui wamesema hivi mara vile.

Ifike mahaki TEC waambiwe WAKOME hii tabia na kama wanadhani wanaweza kudharau viongozi wa nchi kisa siyo wakatoliki basi wajiandae vizuri sana kwa sababu hiyo vita hawatakaa waishinde na TEC ni wahujumu wa juhudi za serikali kuboresha bandari.

:View attachment 2721636Nb,Bado tunasubiri matamko toka...!👆👆
ILI MANENO YA WENGI NI MANENO YA MUNGU YATIMIE.
NAAMINI KATIKA USAWA!
Aliyekuambia ticts imeondoka ndie aliyekufundisha ujinga
 
CHARLES KITIMA ACHA KUTUMIA KANISA KATOLIKI KUENEZA CHUKI ZA WAZI DHIDI YA RAIS SAMIA SULUHU

Na, Nulphin Charles Heche

Kwa mara nyingine, Kikundi kidogo cha wanachama wa Chadema ambao pia ni viongozi ndani ya Kanisa Katoliki wakiongozwa na Charles Kitima wameamua kuonyesha chuki za wazi kwa kusambaza kipeperushi kinacholenga kujenga chuki kati ya serikali na waumini wa Katoliki nchini.

Charles Kitima ambaye amekuwa akifanya shughuli mbalimbali za Chadema bila kificho amevuka mipaka ya kazi zake kama kiongozi wa kidini akijikita katika kutengeneza na kusambaza chuki dhidi ya serikali kwa madai ya kupinga uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam kama ilivyo ajenda ya chama chake.

Mawasiliano mbalimbali yanayofanywa na Ndg. Charles Kitima na kundi lake kuwashawishi viongozi wengine wa Kanisa Katoliki nchini ili waunge mkono hoja za Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kueneza chuki dhidi ya serikali ni kinyume cha taratibu kwani Kanisa Katoliki si la CHADEMA.

Heshima ya Kanisa Katoliki ni kubwa kuliko maslahi ya Charles Kitima na rafiki zake wachache. Kueneza chuki dhidi ya Rais na serikali yake ni ukosefu wa uzalendo na kujisahau. Tanzania ni kubwa kuliko fedha au tija yoyote binafsi. Uwekezaji katika bandari ya Dar es salaam ni kwa maslahi ya umma na si vinginevyo.

Mageuzi yanayoleta tija kwa uchumi wa nchi yetu ni pamoja na kuvutia uwekezaji katika maeneo ya kimkakati kama vile Bandari. Kwa miaka zaidi ya thelathini Bandari yetu imekuwa ikiendeshwa na kampuni ya TICS na Charles Kitima hakuwahi kuhoji juu ya ufanisi hafifu lakini amepata ujasiri wa kueneza chuki dhidi ya serikali katika kipindi hiki muhimu, hili ni jambo la kushangaza na linatia aibu kwa kiongozi huyu anayejaribu kutumia Kanisa kuchafua serikali wazi wazi.
Wewe ndio mwenye chuki na Kitima,
Mbwiga!.

#Bandari zetu urithi wetu
#Sauti ya Wengi, Sauti ya Mungu
 
Kama jirani yako ni mwana CCM alaf ni mkatoliki hakikisha unampitia tena unamdhika mkono kuelekea kanisani. Tena asali ibada zote mbili
 
CHARLES KITIMA ACHA KUTUMIA KANISA KATOLIKI KUENEZA CHUKI ZA WAZI DHIDI YA RAIS SAMIA SULUHU

Na, Nulphin Charles Heche

Kwa mara nyingine, Kikundi kidogo cha wanachama wa Chadema ambao pia ni viongozi ndani ya Kanisa Katoliki wakiongozwa na Charles Kitima wameamua kuonyesha chuki za wazi kwa kusambaza kipeperushi kinacholenga kujenga chuki kati ya serikali na waumini wa Katoliki nchini.

Charles Kitima ambaye amekuwa akifanya shughuli mbalimbali za Chadema bila kificho amevuka mipaka ya kazi zake kama kiongozi wa kidini akijikita katika kutengeneza na kusambaza chuki dhidi ya serikali kwa madai ya kupinga uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam kama ilivyo ajenda ya chama chake.

Mawasiliano mbalimbali yanayofanywa na Ndg. Charles Kitima na kundi lake kuwashawishi viongozi wengine wa Kanisa Katoliki nchini ili waunge mkono hoja za Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kueneza chuki dhidi ya serikali ni kinyume cha taratibu kwani Kanisa Katoliki si la CHADEMA.

Heshima ya Kanisa Katoliki ni kubwa kuliko maslahi ya Charles Kitima na rafiki zake wachache. Kueneza chuki dhidi ya Rais na serikali yake ni ukosefu wa uzalendo na kujisahau. Tanzania ni kubwa kuliko fedha au tija yoyote binafsi. Uwekezaji katika bandari ya Dar es salaam ni kwa maslahi ya umma na si vinginevyo.

Mageuzi yanayoleta tija kwa uchumi wa nchi yetu ni pamoja na kuvutia uwekezaji katika maeneo ya kimkakati kama vile Bandari. Kwa miaka zaidi ya thelathini Bandari yetu imekuwa ikiendeshwa na kampuni ya TICS na Charles Kitima hakuwahi kuhoji juu ya ufanisi hafifu lakini amepata ujasiri wa kueneza chuki dhidi ya serikali katika kipindi hiki muhimu, hili ni jambo la kushangaza na linatia aibu kwa kiongozi huyu anayejaribu kutumia Kanisa kuchafua serikali wazi wazi.
Kwahiyo Kwa ufanisi hafifu ndo hiuzwe tena milele! Hovyo mleta mada, wewe inaonekana ndo mdini nb moja
 
Back
Top Bottom