... si uweke katika muendelezo mmoja kwenye post ya kwanza mzee?
 
Endapo taasisi ya Urais ingevunjiwa heshima saahizi si wangekuwa lupango wananyea debe[emoji3][emoji3]

Sent from my HUAWEI NMO-L31 using JamiiForums mobile app
Mafisadi na ujanja wenu wote wa kuiba hela za wananchi, na pia kuingia mikataba ya kimangungo! Bado hamna jeuri ya kuwakamata Maaskofu wa Kikatoliki.

Imagine Askofu Mwamakula tu mnamgwaya!! Ndiyo muwe na jeuri ya kumkata Askofu wa Kikatoliki!! Jeuri yenu nyinyi ni kwenye ukamataji wa Masheikh tu kama Ponda Issa Ponda, Masheikh wa Uamsho, nk.
 
Huko shule ulienda kujifunza ujinga?.


Yaan Mahakama yenyewe, kwenye hukumu inaweka wazi madhaifu, Kuna Mahali mahakama yenyewe inashangaaa .


Watanzania wasomi na waso wasomi, wamesema.


TEC imesema, TEC sio kikundi cha waimba taarabu, mule wamejaa wasomi, na Amin usiamin, hata wakati wanaamua kuja na waraka Huu, walishirikiana na Serikali hiyohiyo.



Acha ujinga
 
Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.

Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app

Wanatetea maslahi ya Taifa wanasema wanawakilisha maoni ya walalahoi, wananchi wa kawaida sababu wanajichanganya na hawa wananchi kila siku tofauti na Rais/serikali ambayo haitaki, haijali, haisikilizi maoni ya wananchi wengi.

Waislamu, Waprotestanti, Wapentokosti, wasio na dini wafanye hivi hivi tupate mkataba mzuri tunusuru vizazi vyetu na pesa zetu.
 

Ni nani mhandisi wa hii karakana ya uzushi na uongo?
 
Huo NI MTAZAMO wako juu ya TEC na sidhani kama dini nyingine zimezuiwa kutoa tamko tofauti hapo ni kwamba TEC wamechukulia hilo suala serious kwa mustakabali wa Taifa wengine labda wamechukulia poa tu bora liende sasa TEC wasitoe ya moyoni kwa kuogopa kwamba wasabato hawajasema kitu LA HASHA
 

Rum 1:16-17​

Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia. Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani.
 

1. Hivi unajuwa kuwa TEC ni wakatoliki pekee???

2. Kuna mahali popote kwenye tamko lile wamesema wanawasemea na watu wenye imani nyingine nje ya ukatoliki???
 
Wameanza lini?Unamkumbuka sheikh Mwaipopo?
 
Ndo umeyajua leo?

Uliwahi kuona TEC wakisema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu pale Maaskofu wa TEC walipolalamikiwa kuhusika kula fedha za wizi za escrow?

Uliwahi kuona Maaskofu wa TEC wakisema turudi kwenye mfumo wa chama kimoja kwa kuwa watanzania wengi wamekataa vyama vingi na sauti ya watu ni sauti ya Mungu?

Hawa watu ni cartels kama zilivyo cartels zingine duniani huko tofauti hawa wanavaa majoho na misalaba tu.

Ndo mana Rwanda walishtakiwa kama kumbikumbi kwa luhamasisha mauaji ya kimbari!
 
Kanisa limeongea ni Mungu ameongea JUMA JUMA, funga bakuli lako.
 
Hata shingo ikiwa kama chuma ila ni Bora kutambua mziki wa TEC na impact hapo baadae tusionane wachawi
Haya mambo yako very complex. Humohumo kuna waumini wakatoliki walioshiriki kuupitisha na kuutetea sasa leo wanasomewa waraka kutoka kwa watu wanaoungama kwao!!!
 
Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.

Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
1. Sehemu gani ya tamko imevunja heshima kwa taasisi ya urais?
2. Kwamba wana mizizi kila kaya ya kikatoliki, huko ni kutisha au ndo uhalisia?
 
Jikite kwenye Mkataba. Mlianzisha udini mkidhani utawasaidia?
 

Kwenye ule waraka Maaskofu 37 wa Katoliki wamesaini. Wakiwakilisha waumini wao, wazalendo, Watanganyika na Watanzania makini.

Mimi sio Mkatoliki. Ila nasema serikali hii basi iwakamate kuwafungulia kesi za uhaini tuone kitakacho tokea.

Badala ya kurekebisha mkataba wanahangaika na wazalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…