Wana Laana
 
Kuna ujinga mwingi sana kwa hao jamaa, hizi mbinu za kijinga wamekuwa wakizitumia miaka mingi, bahati mbaya safari hii kazi wanayo, hakuna kurudi nyuma mpaka bandari zetu zirudi kwetu.

Wqcha wapige kelele mpaka vichwa viwaume.
Wanakwepa mantiki za hoja wanajaza udini kila nukta
 
Nimekuuliza;
Wewe ni answali Suni, Shia au Bakwata?
 
Twende taratibu, tutaelewana tu!!!!!!!!!!!!!!! Umeelewa nini hapa?????

Some sins are crimes, for example, murder and stealing. Other sins such as adultery and pride are not against the law.

https://www.st-augustines.worcs.sch.uk
Mzee Kanisa tunahubiri watu waache dhambi. Hatuna mahakama ya kuelezea jinai.
Church responsible to pleach watu waache dhambi (sin).
Mambo ya Crime ni sheria za nchi na Mahakama.

Wewe Mbumbumbu huwezi kuelewa haya. Nenda kasome madrasa tu. Hii ni elimu ya watu wenye uelewa mkubwa
 
YESU NI MUNGU wa wakristo wote.
Kama hutaki acha.
 
Mimi ata zitoke nyumbu uko mbugani ziseme zinapinga mkataba nitasimama na nyumbu
Tunakosea sana tunavyoishi kwa kujitoa kwenye siasa
Mbona kila siku kwenye ibada za misa wanaposema tuwaombee viongozi wetu raia hawasimami kupinga ilo kwamba cha kaisari kimeletwa kwa Mungu
 
Ule mgao haujapata ? na ule wa kumsafisha mama Tibaijuka ,wewe sio kiongozi wa kanisa ni kondooo tu mgao haukuhusu .

Acha kutetea ujinga tunadili na viongozi wako we hujui kitu.
KUMBE HUNA HOJA. UNA KAZI YA KUPIGA BLAH BLAH TU
 
Kwenye ukristo Tanzania tukubali tu TEC wana mizizi, nguvu na ushawishi serikalini kuliko taasisi yoyote ile,
Rafiki yangu mmoja Mch fulani yupo chuo cha Biblia hapo Dodoma,
Aliniambia hao watu wa bandari na wizara ya uchukuzi kwenye kukutana na viongozi wa dini walienda kukutana na taasisi fulani ya kidini, ili kutoa elimu juu ya huo mkataba,
Nilimuuliza huyo mch maswali waliyouliza nilishangazwa sana maswali waliyokuwa wanauliza mepesi sana,
Mf wameuliza vipi kupitisha Biblia itakuwaje maswala ya kodi?

Wakajibiwa itakuwa ni bila ushuru kama ilivyo sasa, nikamuuliza Mch je kama wamejibu hivyo kuna kipengele kwenye mkataba kimeainisha hivyo?

Nikamuuliza je mliuliza juu ya ukomo wa ule mkataba?
Je vipi kuhusiana na iwapo Tanzania na Dubai/Emirates kidiplomasia kuna sintofahamu mkataba hauwezi kuvunjwa?
Yaani nikaona tuko shalow sana Waprotestani wengi linapokuja swala la huu uwekezaji.
Tangu nyerere ni rais gani nje ya RC?
Tukubali tu kaka zetu RC wako Deep,
2015 Lowasa angekuwa Mu RC angeweza kukubaliwa na dipu siteti lkn ndio hivyo,
RC tuwape maua yao,
Kiongozi mkuu wa T.A.G, Kkt ni undercover wa serikali.
 
Hongera kwa kutukumbusha vizuri sana. Ni kweli ilikuwa hivyo tena akiwa ujerumani

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Aliyesema na wewe humo ni nani? Kama unaona hayakuhusu pita kushoto endelea na mambo yako, wao wamesema kama ilivyosema TLS, Mwambukusi, Slaa nk.Punguza ujinga na JITAMBUE
 
Huko Ujerumani, Watumishi wa Mungu kama hawa Maaskofu wamepewa Vishikwambi wavitumie kueneza neno la Mungu, badala wamevitumia kutembelea websites za Ngono! Ahahahahaha! Viongozi wa Dini oyeeeeee!!!!!
 
Huko Ujerumani, Watumishi wa Mungu kama hawa Maaskofu wamepewa Vishikwambi wavitumie kueneza neno la Mungu, badala wamevitumia kutembelea websites za Ngono! Ahahahahaha! Viongozi wa Dini oyeeeeee!!!!!
Propaganda za kimadrasa peleka msikitini.
 
Mwenzako nimemuuliza Escrow ni nini? Nakuuliza na wewe escrow ni nini?

Nafikiri utakuwa umeelewa!!!!!!!!!!!!​

Ni gharika kwa watu zaidi ya 50 sakata la Escrow

1) 11 Mar 2021 — Kashfa hiyo ya uchotaji wa Sh306 bilioni za akaunti ya Escrow, inahofiwa kuwakumba vigogo zaidi ya 50 ndani ya Serikali wakiwamo mawaziri, ...

https://www.mwananchi.co.tz › kitaifa

2) Askofu Kilaini, Nzigirwa wazungumzia tuhuma


11 Mar 2021Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering,

https://www.mwananchi.co.tz › kitaifa
 
Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.

Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wamesema hadi kwrnye kaya, hawakusema kila kaya.
Je, kwamba wana mizizi hadi kwenye Kaya ilikia nini? Swali, jibu au maoni?
Kama lilikuwa ni jibu, je swali lilikua ni nini?
 


Ngoja nikushauri, kwa kifupi huwezi kuwa no body with no tittle na mtu akasoma maelezo yote haya, wastage of time, hauifikii hadhira.

You must be someone with a tittle na ushawishi kumfanya mtu a some habari yote hii, unapoteza mda, put your points kwenye summery.

Mfano angeandika mshana kwa sababu namuelewa ningeweza soma sio pumba ingine ambayo tunajua haina maana.
 
Hongera kwa andiko lenye vitu vingi. Umerejea ili kuonyesha vile kanisa linapinga kulinda maslahi yake. Nakuomba isome vizuri waraka ukiwa umetulia. Wao wanapinga ubovu WA mkataba, hawapingi Mkataba.
Lissu ambaye binafsi bado namwamini Sana kwa kutokuwa mnafiki alisema. Wanaokubali mkataba kama si hawajielewi, basi wamelamba asali. Yupo Sahihi Sana.
Tatizo letu suala hili linaingiza dini suala ambalo si Sawa.

Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…