Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Wewe, nahisi uelewa wako upo chini. Na inaonekana unapenda kubishana na siyo kuelewa. Kwako papa ndiyo kila kitu na siyo matumizi ya akili yako!!!!!!!

1) Huyu ni papa:

Pope Francis Says Homosexuality Is Not a Crime, but Is a Sin


5 Jan 2023 — In an interview with The Associated Press, the pope said the church should do more to end laws that criminalize same-sex relations.

The New York Times - Breaking News, US News, World News and Videos › World › Europe

https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=&ved=2ahUKEwjRmPGs1-qAAxULUaQEHR-MBCIQFnoECBIQAQ&url=https://www.nytimes.com/2023/01/25/world/europe/pope-francis-homosexuality.html&usg=AOvVaw0mNbclQ6BzstEY4AFDAXFa&opi=89978449
2) Hii ni Biblia:

1 Kor 6:9-11 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ...​


Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, ...

Read the Bible online. A free Bible on your phone, tablet, or computer. › bible


3)
Hawa ni wanazuoni wa kikiristo:


Key Concepts Sin & Crime Absolute & Relative Morality ...


A sin is an action which goes against the will or laws of God. Some sins are crimes, for example, murder and stealing. Other sins such as adultery and pride ...



4)
Hawa ni magwiji wa sheria za kidunia:

Crime vs. Sin-Difference between and Examples​


6 Jun 2023Crime and sin are two terms commonly associated with wrongdoing, but they originate from different spheres—legal and moral.

Homepage - EDUInput- An online learning platform for Mcat, JEE, NEET and UPSC students. › crime-vs-sin
hvv


17 Oct 2022

A sin is an act or behaviour that is against religion or God's will.

Crime: Crime is an action against the law.

Sin: It is recognised by God or religion.


Crime: It is recognised by the state or government.


WritingLaw › Law Q&A

Kupanga ni kuchagua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mzee nimekuambia kanisani hatuongelei jinai. Kanisani tunahubiri watu waache dhambi.
Hizo habari za jinai peleka mahakamani.

Usilazimishe akili yako dogo iwe kubwa.
 
Tangia muda mrefu, duniani kote, mfumo kristu ni chanzo Cha unyinyaji kwa watu wa chini kabisa, Tazama England ya zamani namna kanisa lilivyokataliwa hasa kanisa Katoliki, Tazama hata Marekani, China, Russia na nchi nyingine za ulimwengu wa kwanza ulivyoliona hili na hatua walizokazichukua, wamedhibitiwa vilivyo kabisa, papa amekuwa muamrisha kondom na ndoa za jinsia Moja wa Amerika na waitifaki wake. Fanya utafiti juu ya shughuli za uchumi wanazofanya watawa na namna wanapata ujira wao ni unyonyaji mtupu.
 
Wameumia sana kubaniwa wizi wao pale bandarini
Kupitisha na V8 na kusema ni ya kanisani huku wakiwapa mahawara zao

Wanajisifu kwa PhD na kutukana wengine ila sisi sio wizi kama wao
Escrow walipewa hela na wakazipokea bila aibu
Maaskofu ni makanjanja na huyo mama tibai ni mmoja wa wanufaika wa bandari

Hawa ndio walikuwa wanahujumu machine zote za bandari ili wasi trace mizigo yao

Ule wizi wa mafuta walio divert kutoka bandarini mpaka kwenye nyumba walioweka pipes za kuiba mafuta
Magufuli aliyakamata ila alinyamazishwa mdomo hakusema tena ni ya nani lakini yalikuwa ya hawa hawa wanaolia leo ooh mkataba mkataba

Semeni tu mirija inakatwa labda mtaachiwa muendeleze ujambazi wenu
Kila leo kujisifia mmesoma ila masomo yenu ni ya kutafuta mbinu za kuiba tu

Hizo hospitals hamtoi huduma bure
Kweli mmepewa za uso ila watu wapo kimya

Nchi yetu Tanzania
 
Wewe, nahisi uelewa wako upo chini. Na inaonekana unapenda kubishana na siyo kuelewa. Kwako papa ndiyo kila kitu na siyo matumizi ya akili yako!!!!!!!

1) Huyu ni papa:

Pope Francis Says Homosexuality Is Not a Crime, but Is a Sin


5 Jan 2023 — In an interview with The Associated Press, the pope said the church should do more to end laws that criminalize same-sex relations.


2)
Hii ni Biblia:

1 Kor 6:9-11 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ...​


Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, ...

Read the Bible online. A free Bible on your phone, tablet, or computer. › bible


3)
Hawa ni wanazuoni wa kikiristo:


Key Concepts Sin & Crime Absolute & Relative Morality ...


A sin is an action which goes against the will or laws of God. Some sins are crimes, for example, murder and stealing. Other sins such as adultery and pride ...

www.st-augustines.worcs.sch.uk


4)
Hawa ni magwiji wa sheria za kidunia:

Crime vs. Sin-Difference between and Examples​


6 Jun 2023Crime and sin are two terms commonly associated with wrongdoing, but they originate from different spheres—legal and moral.

Homepage - EDUInput- An online learning platform for Mcat, JEE, NEET and UPSC students. › crime-vs-sin
hvv


17 Oct 2022

A sin is an act or behaviour that is against religion or God's will.

Crime: Crime is an action against the law.

Sin: It is recognised by God or religion.


Crime: It is recognised by the state or government.


WritingLaw › Law Q&A

Kupanga ni kuchagua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unaandika vitu vingi bila hata context
 
Huyo Pasco ni mchumia tumbo anayeenda na upepo ingawaje mara zote teuzi huwa zinamkwepa.
 
Umezaliwa mwaka 2015 nini?

Hao Maaskofu walipiga pesa za umma za escrow alafu watu waliongea sana ila hawakuwahigi kutoa waraka kulaani tukio hilo na wala hawakusema sauti ya watu ni sauti ya Mungu
Sirikari ilikuwa imelala?
 
Kuna jamaa mmoja anaitwa Pascal Mayalla ameleta uzi wake na akaupachika kwa jina Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Huyu kijana akajinasibu kuwa yeye ni mkatoliki. Kwanza nataka nimwambie tu ukatoliki haupo katia kujitambulisha bali upo katika kufanya kwa vitendo.

Nipo hapa kuujibu uzi wake aliouleta kwa mbwembwe nyingi akitumia andiko moja na akashindwa kuelewa context ya hilo andiko.
Andiko linalosema ya kaisari mpatie kaisari na ya Mungu mpatieni Mungu ni suala la kulipa Kodi na wala siyo issue ya Bandari.

Sasa nitaanza kama ifuatavyo:-

Zab 24:1​

Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Biblia inatueleza kuwa kila kitu kilichopo duniani ni mali ya Bwana. Kama tunaongelea Vitu vya Mungu TEC wamefanya Utume wa kusimamia Mali za BWana.

Zab 11:3
Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?

Hapa ndipo kwenye akili na Hekima TEC ni watumishi wa Bwana wa Majeshi. Maana yake Mungu wetu ni Mungu mwenye haki na ni Mungu wa vita. Kwa hiyo Misingi ikiharibika mwenye haki lazima achukue hatua na kutimiza wajibu wake.

Mithali 3:19​

Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara.

Kwahiyo Kazi waliyoifanya TEC ni kazi ya Bwana.

YEYOTE ANAYETAKA KUWAPINGA WATUMISHI WA BWANA HAKIKA NI MPINGA KRISTO
Toa ujinga wako
 
Mimi ni mkristo mkatoliki! Natoa maoni yangu kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya Tanzania.

1.With due respect, sijaona wazo la maana la TEC. There is NO substance in it. Dunia ya leo inajengwa na uwekezaji wa kimataifa(international investments).

Hata China, Russia kuna uwekezaji mkubwa wa makampuni toka nje ya nchi. Tanzania siyo kisiwa. Lazima tuendane na sera za kiuchumi za dunia ya leo. Kuendesha mifumo ya uchumi mkubwa kama bandari, kijamaa tumeshindwa na tutaendelea kushindwa. Hata hii SGR tukisema iendeshwe kwa mifumo ya utumishi wa umma tutashindwa pia. Assets zenye sura ya kibiashara kama hii lazima ziendeshwe na private sector ili zilete faida na tija.

2. Findings za hao TEC ziko based on heresay. Wametumia axiom ya vox populi vox dei, Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.Je ni watanzania wangapi wanapinga uwekezaji huu wa DP World? Je kuna wakatoliki wangapi hapa nchini? Je wakatoliki wote wanaupinga mkataba huo? Je wakatoliki waliomo kwenye orodha za wakatoliki bado ni wakatoliki mpaka sasa?(Wengi wameshahamia kwenye ulokole).

Ukijibu maswahi hayo utaona maaskofu wa TEC hawana uhalisia kwenye waraka wao.Ni blah blah tu. No driving facts. It is just FALLACY OF GENERALIZATION. Findings zao hazina supporting data. Wamekurupuka!

3. DINI: Naona ni hofu za masilahi yao ya kidini, wala siyo tatizo la mkataba. Wazungu toka nchi za magharibi walipoingia mikataba ya kuiba madini ya watanzania, maaskofu wa TEC walikaa kimya!!! Leo wakati wa mkataba na waarabu ETI wanajitia kuandika waraka wakijipambanua ETI wazalendo,watetezi wa rasilimali za nchi. UWONGO mtupu!

4. Serikali haina dini na mambo yote ya dini yapo nje ya mifumo ya serikali(Ibara ya 19 ya katiba ya TZ,1977). Huo waraka wao hauna mashiko wala nguvu yoyote mbele ya Jamuhuri. Ni kama makaratasi ya kufungia maandazi tu! Hayo ni maoni yao kama maoni ya mtu yoyote yule.

CONCLUSION: Serikali iendelee na mchakato wa utekelezaji wa mkataba na DP World HARAKA SANA, ili kama taifa tuanze kunufaika na uwekezaji huo HARAKA. Serikali kikatiba ina mizizi mirefu sana na mikubwa sana, isiyumbishwe na kelele za chura ambazo ni nyepesi sana.

Wananchi tuna hitaji pesa ipatikane ili tupate huduma bora za kijamii. Uwekezaji DP world ni LAZIMA ufanyike. Na ufanyike HARAKA iwezekanavyo. Serikali ina legitimacy ya kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi kwa sababu iliingia SOCIAL CONTRACT na wananchi kwa kushinda uchaguzi,2020.
Ulitakiwa kusoma mkataba na waraka wa TEC ndiyo upange hoja yako yako. You did neither.
 
Hawezi kuwa na haki miliki hiyo.DPW anakwenda kumiliki eneo la asilimia nane tu ya bandari nzima ya Tanzania.

Mnalishwa matango pori na nyinyi mnayatafuna mazima mazima bila hata ya kuumiza vichwa vyenu.
8% ya Bandari nzima za Tanzania sawa eneo kiasi gani? And why all that? Bandari zote za Tanzania? Na bado mnatetea? Kwanini asichukue hata Bandari moja ya DSM peke yake?
 
Kuna jamaa mmoja anaitwa Pascal Mayalla ameleta uzi wake na akaupachika kwa jina Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

Huyu kijana akajinasibu kuwa yeye ni mkatoliki. Kwanza nataka nimwambie tu ukatoliki haupo katia kujitambulisha bali upo katika kufanya kwa vitendo.

Nipo hapa kuujibu uzi wake aliouleta kwa mbwembwe nyingi akitumia andiko moja na akashindwa kuelewa context ya hilo andiko.
Andiko linalosema ya kaisari mpatie kaisari na ya Mungu mpatieni Mungu ni suala la kulipa Kodi na wala siyo issue ya Bandari.

Sasa nitaanza kama ifuatavyo:-

Zab 24:1​

Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA, Dunia na wote wakaao ndani yake.
Biblia inatueleza kuwa kila kitu kilichopo duniani ni mali ya Bwana. Kama tunaongelea Vitu vya Mungu TEC wamefanya Utume wa kusimamia Mali za BWana.

Zab 11:3
Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?

Hapa ndipo kwenye akili na Hekima TEC ni watumishi wa Bwana wa Majeshi. Maana yake Mungu wetu ni Mungu mwenye haki na ni Mungu wa vita. Kwa hiyo Misingi ikiharibika mwenye haki lazima achukue hatua na kutimiza wajibu wake.

Mithali 3:19​

Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara.

Kwahiyo Kazi waliyoifanya TEC ni kazi ya Bwana.

YEYOTE ANAYETAKA KUWAPINGA WATUMISHI WA BWANA HAKIKA NI MPINGA KRISTO
Ninashauri viongozi wote wa serikali waliohusika kufanikisha na wanaotetea mkataba huu wa kinyonyaji kwenye taifa la Mungu,watengwe na kanisa hadi watakapotubu dhambi zao.
 
Mimi ni mkristo mkatoliki! Natoa maoni yangu kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya Tanzania.

1.With due respect, sijaona wazo la maana la TEC. There is NO substance in it. Dunia ya leo inajengwa na uwekezaji wa kimataifa(international investments).

Hata China, Russia kuna uwekezaji mkubwa wa makampuni toka nje ya nchi. Tanzania siyo kisiwa. Lazima tuendane na sera za kiuchumi za dunia ya leo. Kuendesha mifumo ya uchumi mkubwa kama bandari, kijamaa tumeshindwa na tutaendelea kushindwa. Hata hii SGR tukisema iendeshwe kwa mifumo ya utumishi wa umma tutashindwa pia. Assets zenye sura ya kibiashara kama hii lazima ziendeshwe na private sector ili zilete faida na tija.

2. Findings za hao TEC ziko based on heresay. Wametumia axiom ya vox populi vox dei, Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.Je ni watanzania wangapi wanapinga uwekezaji huu wa DP World? Je kuna wakatoliki wangapi hapa nchini? Je wakatoliki wote wanaupinga mkataba huo? Je wakatoliki waliomo kwenye orodha za wakatoliki bado ni wakatoliki mpaka sasa?(Wengi wameshahamia kwenye ulokole).

Ukijibu maswahi hayo utaona maaskofu wa TEC hawana uhalisia kwenye waraka wao.Ni blah blah tu. No driving facts. It is just FALLACY OF GENERALIZATION. Findings zao hazina supporting data. Wamekurupuka!

3. DINI: Naona ni hofu za masilahi yao ya kidini, wala siyo tatizo la mkataba. Wazungu toka nchi za magharibi walipoingia mikataba ya kuiba madini ya watanzania, maaskofu wa TEC walikaa kimya!!! Leo wakati wa mkataba na waarabu ETI wanajitia kuandika waraka wakijipambanua ETI wazalendo,watetezi wa rasilimali za nchi. UWONGO mtupu!

4. Serikali haina dini na mambo yote ya dini yapo nje ya mifumo ya serikali(Ibara ya 19 ya katiba ya TZ,1977). Huo waraka wao hauna mashiko wala nguvu yoyote mbele ya Jamuhuri. Ni kama makaratasi ya kufungia maandazi tu! Hayo ni maoni yao kama maoni ya mtu yoyote yule.

CONCLUSION: Serikali iendelee na mchakato wa utekelezaji wa mkataba na DP World HARAKA SANA, ili kama taifa tuanze kunufaika na uwekezaji huo HARAKA. Serikali kikatiba ina mizizi mirefu sana na mikubwa sana, isiyumbishwe na kelele za chura ambazo ni nyepesi sana.

Wananchi tuna hitaji pesa ipatikane ili tupate huduma bora za kijamii. Uwekezaji DP world ni LAZIMA ufanyike. Na ufanyike HARAKA iwezekanavyo. Serikali ina legitimacy ya kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi kwa sababu iliingia SOCIAL CONTRACT na wananchi kwa kushinda uchaguzi,2020.
TEC wametimiza wajibu wao. "But you delight in sincerity of heart, and in secret you teach me wisdom" (Pslam 51: 6). Angalau ujumbe wao umefika kwa walengwa na walengwa walikuwa waumini wao na watu wote wenye mapenzi mema. Kama wewe huna mapenzi mema ina maana hukuwa mlengwa wa waraka wa TEC na uko "off-point".
 
8% ya Bandari nzima za Tanzania sawa eneo kiasi gani? And why all that? Bandari zote za Tanzania? Na bado mnatetea? Kwanini asichukue hata Bandari moja ya DSM peke yake?
Ni mageti machache ya TPA ukumbuke kuwa kuna mwekezaji mwingine hapo hapo bandarini anayekwenda kupewa eneo la kuwekeza.
 
Haya rekebisha sasa ule uongo wako pale juu wa kujitambulisha kama mkristo Mkatoliki ili twende sawa.
Mhu! Sijui hata kama ulishawahi kusoma theology na philosophy na ukajua maana yake. Kwa haya uliyoandika inaonekana reasoning yako ni shida kabisa!
 
Nani kasema nimeshindwa kujibu? Hata unaelewa mantiki yangu hapa?

Nani analeta propaganda humu? Kama wewe ndo mwana propaganda mimi sio mtu wa propaganda. Mimi ni mtu wa facts
kama nimtu wa fact toa jibu sio kulukaluka unalazimisha mtu aserch wakati suala umelianzisha wewe
 
Back
Top Bottom