Waraka umesomwa leo mbele ya Makamu wa Rais na muda wote ameonyesha kuufurahia sana. Niko nimekaa pale[emoji117][emoji117]
 
Hata machoko wanalipiwa Bwashee!
 
Haya nakusaidia
Nenda sehemu ya search ya hapa JF andika neno escrow. Zitakuja nyuzi mbalimbali za kipindi hicho. Jisomee ujipe ufahamu.

Usisumbue watu hapa
Hujaelewa hata swali. Nadhani uwezo wako ni duni sana.

Nikusaidie tu:

Escrow au Escrow akaunti, ni akaunti ambayo hufunguliwa na upande unaodaiwa pale unapotakiwa kuulipa upande wa pili, lakinj mlipaji haafiki juu ya kiwango cha malipo anayodaiwa. Hivyo hufunguliwa ili anayedaiwa aendelee kulipa wakati uamuzi wa uhalali wa malipo unasubiriwa. Na Escrow akaunti kwa hapa kwetu ilikuwa inasimamiwa na BOT. Je, ni nani aliyeruhusu malipo yafanyike kama madai hayakuwa halali?

Pesa ya Escrow ilikuwa ni halali yao waliokuwa wanadai na ndiyo maana walilipwa, na mpaka leo hakuna aliyehukumiwa kwa kosa lolote. Waliopewa pesa na Rugemarila, baadhi yao, kosa pekee walilokutwa nalo ilikuwa ni kutokulipia kodi. Sheria zetu zinasema kuwa hata ukipewa zawadi, uende ukalipie kodi. Je, ni wangapi huwa wanatekeleza sheria hiyo?
 
Pascal Mayalla ambae hatakiwi na CCM,anajalibu kujipenfekeza lakini wapi,labda anaweza kupata uDc

Wajumbe wa CCM walkataa sababu ya uchawa
 
Sio Mwanasheria tu. Mwanasheria nguli na makini. Kaa nalo hilo kichwani lako
Unakapoitwa mwanasheria nguli, kwa utopolo unaouweka humu, labda maana ya neno nguli litakuwa limebadilika maana na kuwa mtu mbabaishaji.
 
Nadhani wametumia haki yao ya kutoa maoni kama wananchi wengine. Wao wamesimamia wanachokiamini.
Sio kwamba wanampinga Rais kwakuwa sio wa imani yao huo ni upotoshaji, rejea hata awamu ya tano waliwahi kutoa msimamo wao juu ya Corona ijapokuwa Rais alikuwa wa imani yao.
Jaribu kuwa makini na facts na uache upotoshaji usio na tija kwenye jamii.
 
Mpumbavu Ni wewe mkuu.

Hizo taasisi NYINGINE Zina uhuru na wajibua na haki pia ya kuongea aidha kufunga mkono au kukataa.

Tec hawajakulazimisha . Labda tatizo Ni wakristo na una Ile chuki ya asili ya kiislam. Sababu ukiwa muislamu uwezo wa kutumia ubongo Ni mdogo Sana.

Bakwata na wengineo wako huru kutoa nyaraka au waraka wao pia. Hakuna mahali wamekatazwa.

Tec wamefanya kile waliiona kinafaa na Ni wajibu wao.

Punguza chuki za kipumbavu.
 
Mkataba mbovu kama huu TEC walikuwa wapi katika kutoa waraka?
 
Na nyie toeni tamko. It's all about democracy bro. Hapana kupanic. Wewe hutaki mkataba ukiwa chumbani inasaidia Nini? Wenzako hawataki na wamekuja hadharani hii inasaidia taifa
 

waislam wenyewe ndio hao akina mazinge na yule mzee wa mapapai[emoji28][emoji28][emoji28].
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…