SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Umepeleka kisamvu cha kopo usipandishe mabega bure,upinde ndiyo mlivyo. Eti mwanasheria nguli,wanasheria nguli hawasemi bali kazi zao ndiyo zinawasemea. Wewe kutwa kucha uko humu kuishabikia DP World ndiyo unguli wako huo?Nakwambiaje. Mimi ni mwanasheria nguli na hapa nimekuja China kuonana na wateja wangu ambao ni Kampuni ya wachina iliyowekeza Tanzania hapo.
Kama nalipiwa hadi Ticket ya ndege kuja huku jua tu mimi sio mwenzako.
Vumilia tu! Wengine tumebarikiwa zaidi!!
Nyie mnasubiri nini kutoa Tamko. Au kuna mtu KAWAZUIAHakuna anaebisha kuwa mkataba wa DP World na Tanzania ni mbovu.
Wanaharakati wameweka bayana na sisi tusio wanasheria tumeelewa. Hilo ni jambo jema.
Shida inakuja pale Taasisi moja ya dini inajiona yenyewe ndio inaweza kuamua na kusemea taasisi zingine. That's stupidity!
Tanzania ni ya wote Christians, Muslims, Jews, Buddhists na hata wasio na dini rasmi za kigeni.
Iweje Taasisi moja idai yenyewe ndio ina mizizi kwenye kila kaya. Kwa hiyo mnatutisha sisi protestants na Waislamu eeh?
Mbona mnamwandama sana Rais na serikali, angekuwa ni muumini wenu mngefanya hivyo?
We are no longer under the yoke of Papacy regime.
Waprotestant tupo wengi tunaweza jisemea. Naomba mkae kwa kutulia.
Mkataba hatuutaki na utumwa wa kidini hatuutaki pia. Nimemaliza.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.YESU NI MUNGU wa wakristo wote.
Kama hutaki acha.
Basi serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalama vimeshindwa majukumu yake.Ni kweli madhehebu almost Yote yana exemptions, lakini wenzetu kuna na mengine nyuma ya pazia elewa hili,watu siyo wajinga kivile!
Kuwa na wasomi haimaanishi kuwa hakuna makosa yanayoweza kufanyika, kibinadamu tu.Daaaah!!
Kuna watu mna guts za ajabu kweli.
Unawezaje kuhoji hayo kwa kanisa,tena Roman Catholic!!??
Hapa kuna mawili,mosi inawezekana wewe ni zero brain na uelewa wako ni wa kujua kusoma na kuandika pekee.
Pili,inawezekana unajitoa ufahamu kwa sababi fulani fulani za kimaslahi.
Vyovyote iwavyo,kanisa lina wasomi wa kila namna na kwa kila sekta tena walio wabobevu.
Ni maoni yangu kaka Yohane.πππ
Yaani wewe ndio ulifundishe Kanisa Moja Takatifu La Mitume lililowasomesha akina alhaj Prof Lipumba na Assad?
πππππππ
Sasa kama mizizi hiyo ya kila kaya wanayo, kwani kukili hivyo Kuna ubaya gani?Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.
Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ukiona ukweli unageuka kitisho kwako ujue umeshavamiwa na pepo.Mkataba ni mbovu ila haifanyi taasisi ya Urais ivunjiwe heshima.
Sasa wanapodai wana mizizi kila kaya wanamtishia nani sasa?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Toka lini mdini akamkemea mdini mwenzake?Ukiona wanavyojigamba Sasa na waumini wao humu jf unawedha dhani wao ndio hutuchagulia Rais au Wana hati miliki ya Nchi.
Hawa wakichekewa wanaweza amsha hisia Kali za Kidini,wakemewe