Mwambie akutajie waligawana za kwenye Sandarusi πŸ˜‚πŸ˜‚

Zitto alinyimwa mgao na Rugemalira ndio akatengeneza Zengwe kwa kumshirikisha Tumbiri
 
ibara ya 8, 16, 18 21, 26, na 27 ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, ya 1977 inawapa nguvu ambazo pia wewe unazo kama mwananchi mkuu, kupia ibara hizo tajwa.
 
Nakushaur tu jambo.. jaribu kutafuta CV ya kila askofu angalau kwa uchache tu nadhan utarud hapa na kubadili msimamo wako!! Wale jamaa wana elimu ya vyuo vikuu faculty tofaut tofaut!!
Hata Profesa Shivji mliamini kumpinga ni sawa na kutenda dhambi, akaja kukosolewa mbele ya kamera za waandishi wa habari. Usitishwe na CV za watu, kuna masuala hawayajui.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Yaani wewe ndio ulifundishe Kanisa Moja Takatifu La Mitume lililowasomesha akina alhaj Prof Lipumba na Assad?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Labda akiwaona walivyovaa yale mavazi yao ya Misa anaona wanachojua ni Biblia tu. Sijui analichukuliaje Kanisa.
 
Labda akiwaona walivyovaa yale mavazi yao ya Misa anaona wanachojua ni Biblia tu. Sijui analichukuliaje Kanisa.
Mimi ni mkatoliki ambaye wazazi wangu wote wawili ni wale wakatoliki waliojitolea kulea mapadre wawili miaka ya nyuma. Nimekulia kwenye nyumba yenye ukatoliki kindakindaki.
 
Kaka unajua wengi wameahamia ulikole, je unajua wangapi wamejiunga na roman Catholic kutoka ulokole?

Tuache ufala hii sio Mali ya msonga gang ni Mali ya tz
 
Hivi huko Shule I ,Huwa mnaenda KUFUNDISHWA Ujinga .


Bandari inajieleza, mchango wake kiuchumi unajieleza.

DP W tunaijua, Uwezo wake tunaujua.



Watanzania Tunapinga AINA YA MKATABA, MKATABA UMEPINGWA NA KILA KUNDI .



kwan Nchi hii hamna wawekezaji??.
 
Wao ndio waelimishaji sasa ulitaka waelimishwe na nani, na wewe ama?
Usitishwe na hizi PHD au hawa maprofesa ukadhani wana akili nyingi sana, wana uelewa na ufahamu kwenye baadhi tu ya masuala haswa yale wanayosomea lakini kwingine ni watupu tu.
 
Tena na JPM alishasema muhimili wake ndo umeenda mbali sana. Jiulize, nani anateuwa jaji?
JPM alishawahi kuwabeza vibaya sana waandika waraka, Akaudharau waraka wao na waandika waraka pia. JPM alikuwa anafahamu wakoloni wanalitumia kabisa vibaya kwa kazi zao kwenye nchi husika.
 
Uwe unasoma page zote za uzi kabla ya ku comment. Ilo jibu lilishstolewa na ameulizwa maswali amekimbia
 
Mimi ni mkatoliki ambaye wazazi wangu wote wawili ni wale wakatoliki waliojitolea kulea mapadre wawili miaka ya nyuma. Nimekulia kwenye nyumba yenye ukatoliki kindakindaki.
Samahani mkuu, huna UNALOJUA kuhusu UKATOLIKI. Hili ni moja.

Pili, sababu ya mkataba au makubaliano kuwa kwenye maandishi, ni kuhakikisha kila mtu atakayesoma aelewe, maana ile iliyokusudiwa! Uwezo wa uelewa wa mtu na mtu hutofautiana na hivyo TAALUMA kadhaa huusishwa kuleta maana moja ya mkataba husika.

Taaluma ya sheria ina fanana sana na maandiko ya biblia, ndio maana wanataaluma tofauti wana tafsiri tofauti, kama ilivyo kwa wanazuoni!

Maaskofu wa catholic, wamegonga kona zote kabla ya kutoa tamko, wameshaotea moves zote zitakazojitokeza baada ya tamko, wameshaanda jinsi ya kufanya kwa kila move kwa kuzingatia impact halisi.

Sasa, tunachofanya ni kucheza kwenye muziki wao!

Mwisho, akili ni kile kinachobaki baada ya kuondoa madarasa uliyonayo kichwani!
 
Kupingwa na kila kundi kunategemea na uelewa wetu wa jumla na namna tunavyoelimishwa.

Wajuzi wa sheria wameuelezea huo mkataba kila kipengele chake kina maana gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…