TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nia ovu inaonekana kwa kukamata Gulf? Wanakamatake wakati mkataba bado haujavunjwa? Hawajaenda mahakamani n.k? Mbona nilikuwa na kuamini sana ktk kupambanua mambo lakini ktk hili unataka kutereza?Ingekuwa na Nia ovu kama kweli 5H ONE wangekuw wameikamata, Lakini G. Msigwa kasema ipo kwetu salama salimini!
Uwe makini kidogo hujamwajili mtu hapa akusomee maandiko, hapo juu wameandika kuwa walikutana na viongozi wakuu ila maoni yao hayakusikilizwa sasa ulitaka wafanye nini?Kama walikuwa na nia ya kweli basi wangeomba wapewe nafasi kuonana na viogozi ili watoe ushauri wao, sio kutoa waraka na kusambaza nchi nzima. Mapandri siku zote ni watu wasio na papara lakini wa siku hizi ni kama kina Shehe Ponda tu.
We matacle unajua sababu ya ndege ya Rais kushikiliwa huko Emirate?Ovyo kabisa!,
Dp world for bright future of Tanzania.
Huitaki wewe na Nani? DP world soon anakuja utake usitake hatuwezi kuyumbishwa na waoga wa mabadiliko!!Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
We koumer mbona ndege ipo Tz?We matacle unajua sababu ya ndege ya Rais kushikiliwa huko Emirate?
Hatujui hebu tueleze inashikiliwa Kwa sababu gani?We matacle unajua sababu ya ndege ya Rais kushikiliwa huko Emirate?
unao huo ushahidi wa rushwa??Sheria ya manunuzi ya umma iko wazi kabisa kwenye hili, mzabuni anayefanya ushawishi wa aina yoyote ile ikiwemo kutoa rushwa ili zabuni yake iweze kupitishwa anatakiwa awe blacklisted kabisa, nashangaa kwa nini bado tuanendelea na mjadala wa hili swala hadi leo.........
Sema ndo hivo!!Huitaki wewe na Nani? DP world soon anakuja utake usitake hatuwezi kuyumbishwa na waoga wa mabadiliko!!
DP WeirdHatujui hebu tueleze inashikiliwa Kwa sababu gani?
Tutajie kampuni mbadala ambayo itaweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ukitupa na analysis ya benefits tutakazopata kwa comparison kati ya hiyo yako na DP ili twende sawa usiwe kama watoa matamko wengine.Habarini wakuu! Naomba nihitimishe kwa kusema kuwa dp world hatuitaki, kwa kuwa tiyari wameonyesha nia ovu kwenye mkataba, kivyovyote vile hatutawakubalia kuwekeza kwetu, watafute kwingine
matacle hicho kiulizo usiweke unapotoa taarifa eboo!We koumer mbona ndege ipo Tz?
Umemaliza au nisubiri kuna maelezo mengine?DP Weird
Hayo mazingira ya wanasiasa kupewa ziara za kutalii huko dubai ni kitu gani, pambav.....mnataka kutufunga midomo wakati kila kitu kinajulikana, bila kuwa na maslahi binafsi utaingiza nchi kwenye mkataba wa hovyo namna hiyo?unao huo ushahidi wa rushwa??
subiri uoneUmemaliza au nisubiri kuna maelezo mengine?