Hawa watu wanatuchanganya mkuu, Wako bungeni miaka kibao leo wanataka mapishi yaliyowashinda wao wakati wako jikoni wamtwishe Diamond.

Yani Diamond leo ndo kawa sababu ya chama fulani kutofanikiwa katika mambo fulani.
Kila jambo lina mwanzo, tumeamua kuanza na Sadala na wengine watafuata baadaye!

Yeye alimtukuza Magufuli ambaye alikuwa jambazi la kisiasa na muuaji kuwa ni baba lao na sisi tunataka kumuonyesha kuwa ni baba lao katika sanaa zake!
 
Okay, kwa mantiki iyo wananchi wote Tz ni chadema na diamond kawazarau?

Naona umezunguka zunguka tu, kapitie vizuri ujibu nilichokiuliza. Diamond amemkwamisha nani na kwanamna ipi?
Diamond kakwamisha democracy kwa kusimama na wakandamiza democracy, sie watetez wa democracy lazima tusimame against
 
Saga kunguni shwain! Hili litakuwa leson learned kwo Mondi
 
Kila jambo lina mwanzo, tumeamua kuanza na Sadala na wengine watafuata baadaye!

Yeye alimtukuza Magufuli ambaye alikuwa jambazi la kisiasa na muuaji kuwa ni baba lao na sisi tunataka kumuonyesha kuwa ni baba lao katika sanaa zake!
Sawa mkuu kila lakheri
 
Mkuu unataka kusema Abood Mabasi yake hayana wateja, Mwana FA mziki wake hausikilizwi pia gwajima kanisa lake sasa ivi halina waumini.

Au nataka kutuambia kuwa wanaccm wasi support mziki wa professor J kwa sababu ni wa upande wa pili

Hujajibu maswali ya msingi umeanza kutapika vitu vingine

👇
1. Unaushahidi wa unachokiongea hapa

2. Wa Chadema na kiongozi gani ametamka?

3. Nccr, cuf, Act, tlp nk wapo kundi lipi na kwa ushahidi upi?

4. Alipokuwa anapanda majukwa ya ccm lini alipanda majukwa ya Nccr, cuf, Act, tlp nk ili kuwapa watanzania wa itikadi zote haki ya usawa? Nini kinakufanya usiyaone hayo makundi mengine?
 
Hatarii me nshasema,, hakuna kipindi ambacho watu watauwawa openly kama siku chadema akichukua nchi,, yaan they hate openly,, na walivyo wajanja hawajawah kukosa sababu ya kumchukia au kumkwamisha mtu
Hujafanya utafiti!
Chama kunchoongoza kuua wanachama wa upinzani nchini ni ccm. Lakini wapinzani bado hawajawahi kulipa kwa uzito sawa. Nadhani siku ikifikia hatua ya malipo sawa akili itakukaa sawa kwamba kati ya wapinzani na ccm nani wabaya?
 
Hakuna swali la kujibu hapo mkuu
 
Saga kunguni shwain! Hili litakuwa leson learned kwo Mondi
Tukiachana na hao wengine na maoni yao, labda wewe unalaziada ambalo ungependa ajifunze huyu mtu mwenye uhuru kama ulionao wewe?
 
Nikushauri

Hapa humsaidii msanii wako ndio unamaliza kabisa.

Debate za aina hii zinawafunguwa watu kutambua mengi yaliyojificha nyuma ya pazia

Hivi vithread ndio mnamzika kabisaa
 
Nikushauri

Hapa humsaidii msanii wako ndio unamaliza kabisa.

Debate za aina hii zinawafunguwa watu kutambua mengi yaliyojificha nyuma ya pazia

Hivi vithread ndio mnamzika kabisaa
Hayo ya nyuma ya pazia ndo yanahitajika mkuu, yaweke wazi tu tuyafahamu
 
Mkuu unataka kusema Abood Mabasi yake hayana wateja, Mwana FA mziki wake hausikilizwi pia gwajima kanisa lake sasa ivi halina waumini.

Au nataka kutuambia kuwa wanaccm wasi support mziki wa professor J kwa sababu ni wa upande wa pili
Wewe ni mpumbavu, wapi hao wapinzani wamegusia kususia kazi za wasanii.

Tuzo sio kazi ya mziki .
Tuzo ni heshima!
Tuzo ni kutambua mchango wa contestant.

Diamond jamii imeshindwa kuutambua mchango wa mafanikio yake katika eneo la haki zao za msingi za kuishi kwa kuwasaidia wauwaji kunawiri.

Hafai kutuzwa tuzo ya hishma kama BET
 
kwa mtazamo wangu hiyo ni mbinu ya kumpatia tuzo huyo diamond...........atachukua, mark my words. huu ni mchezo tu
 
Unaweza kutusaidia hao wauwaji aliowasaidia ni kina nani ili nasisi tuwajue, bila kusahau aliwasaidia nini hao wauaji
 
Haki haina kificho ndugu ukiona unashindwa kuitambua haki,just una matatizo tena sii magodo,ila makubwa.
 
Unaweza kutusaidia hao wauwaji aliowasaidia ni kina nani ili nasisi tuwajue, bila kusahau aliwasaidia nini hao wauaji
Wewe ni mpuumbavu kabisa.
Hebu anza na wale wazanzibari kwanza waliouwawa na chama cha mapinduzi
Kwenye uchaguzi pendwa wa ccm 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…