Leo unaandika kiume kweli π that's girlish writing imeenda wap?Sijaangalia upande mmoja bali nimesema mwanamke anayeweza kutegesha mimba tayari huyo ni kichomi maana akili zake tayar zinaonesha hazifanyi kazi.
Mwanamke mwenye kujielewa hawezi kumfanya mtu akawa baba wakati huyo mtu hataki au hajajiandaa kuwa baba nae au kwa wakati huo.
Kwa hiyo akisemwa kuwa ni kichomi huwezi kumtetea ila asisemwe ni kichomi sbb ni singo maza.Huyu ni kichomi hata kabla hajawa singo maza.
Sasa kwani aliyesema jeuri ya kuchinja huna ni naniππππ€£Silagi nyama za matambiko.
Jeuri ya kuchinja ninayo tena kubwa tu
Hapo unajaribu kufananisha vitu ambavyo haviendani kabisa, ngono na umasikini ni vitu viwili tofauti, ngono ni tendo na umasikini ni haliKila kitu duniani kuna jinsia moja anakibeba kuliko kingine hamna jipya. Sawa na ukiwa na umasikini, atabebeshwa zaidi mwanaume kuliko mwanamke lakini ujue tumepata elimu sawa na chances sawa za kutafuta kipato na maisha, ila kwasababu mwanaume ndio provider na ndiyo thamani yake hiyo lawama haiepukiki vivyohivyo mke ni nurturer, her purity na kujitunza kwake ndio thamani yake. Hata upigane mara 100 hutaweza badilisha, jifunze kuishi nayo maana hata wanaume wamebeba lawama zao. Dunia uwanja wa vita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niondolee upimbi wako hapaππSasa kwani aliyesema jeuri ya kuchinja huna ni naniππππ€£
Daah mama.Hapo unajaribu kufananisha vitu ambavyo haviendani kabisa, ngono na umasikini ni vitu viwili tofauti, ngono ni tendo na umasikini ni hali
Na ili ngono ifanyike lazima ihusishe jinsia mbili, wakati umasikini ni kitu individual, ambacho hakisababishwi na jinsia
Sasa inapotokea tendo ambalo linahusisha jinsia mbili, halafu moja inasifiwa nyingine inapondwa kana kwamba hilo tendo kila jinsia inafanya na viumbe wengine tofauti, inakuwa haimake sense yani
Unapomuambia mwanamke ajitunze automatically unamaanisha na mwanaume naye ajitunze, maana wanawake wakiamua kujitunza wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao, hivyo nao watajikuta wanalizimika kujitunza vile vile
Lakini unapomuambia mwanamke ajitunze halafu mwanaume asijitunze, maana yake unamuambia mwanaume yeye kuendelea kutongoza na kubadilisha wanawake ni sawa tu, lakini unasahau kwamba hao wanawake atakaowatongoza na kuwabadilisha ndio hao hao unaowaambia wajitunze tena
Kwani tunashindana kuchinja mzeeπ€£π€£π€£Niondolee upimbi wako hapaππ
Sijasikia, bali naona.Kwa hiyo umesikia jamii inasema hawafai na wewe umelibeba kama lilivyo ilhal hata ukaribu nao hutaki?
Duuh kwahiyo kila mahusiano yanayovunjika chanzo na makosa huwa ni ya mwanamke tu, kwamba mwanaume yeye siyo mkosaji na hawezi kuwa chanzo cha mahusiano hayo kuvunjika, halafu eti hii ndio jinsia inayojisifu kutumia akili na siyo hisia inashindwa kuchanganua vitu vidogo tu kama hivi hebu msitulazimishe tuwadharau jamaniAmbae ni mjane hapo sawa...
Wengine ni pasua vichwa unadhani ni sabb Gani hawaku excel kwenye mausiano ya kwanza.....
Lisemwalo lipo..kua uyaone....Hii mechi haiitaji hasira...
Duuh kwahiyo kila mahusiano yanayovunjika chanzo na makosa huwa ni ya mwanamke tu, kwamba mwanaume yeye siyo mkosaji na hawezi kuwa chanzo cha mahusiano hayo kuvunjika, halafu eti hii ndio jinsia inayojisifu kutumia akili na siyo hisia inashindwa kuchanganua vitu vidogo tu kama hivi hebu msitulazimishe tuwadharau jamani
Tofautisheni Wasimbe na Wajane
Ninani alikwambia umasikini unaletwa na mtu mmoja. Unajua vijana wangapi wa kitanzania wangekuwa mbali kama wasingejihusisha na mahusiano. Every single penny that you see a man earns the main user ni mwanamke. Mahusiano na uchumba mwingi huvunjika pale uchumi wa mwanaume unaposhuka na the main user ni mwanamke. I tell you, budget ya mwanaume kwasiku itaishia 10k na thats final ila unajua kutunza mpenzi bibie, don't envision it anayejua ni mwanaume. Ndoa huvunjika nasababu kubwa ya taraka ni uchumi wa mwanaume kushuka ila the main user ni mwanamke. Campaign kibao zimeinuka kumfunda mtoto wa kiume kutunza pesa yake na aachane na wanawake mpaka apate aliyesahihi umesikia mara ngapi mtoto wa kike anaambiwa usitumie pesa za mpenzi wako vibaya. πππ mnachofurahisha ni kwamba hamjui the main person who benefits with the products ndiye atakaedetermine thamani yako na ndiyo judgement zitatoka kwake.Hapo unajaribu kufananisha vitu ambavyo haviendani kabisa, ngono na umasikini ni vitu viwili tofauti, ngono ni tendo na umasikini ni hali
Na ili ngono ifanyike lazima ihusishe jinsia mbili, wakati umasikini ni kitu individual, ambacho hakisababishwi na jinsia
Sasa inapotokea tendo ambalo linahusisha jinsia mbili, halafu moja inasifiwa nyingine inapondwa kana kwamba hilo tendo kila jinsia inafanya na viumbe wengine tofauti, inakuwa haimake sense yani
Unapomuambia mwanamke ajitunze automatically unamaanisha na mwanaume naye ajitunze, maana wanawake wakiamua kujitunza wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao, hivyo nao watajikuta wanalizimika kujitunza vile vile
Lakini unapomuambia mwanamke ajitunze halafu mwanaume asijitunze, maana yake unamuambia mwanaume yeye kuendelea kutongoza na kubadilisha wanawake ni sawa tu, lakini unasahau kwamba hao wanawake atakaowatongoza na kuwabadilisha ndio hao hao unaowaambia wajitunze tena
How and why would I even want to change masculinity?Basically hayana msingi maana kulamikia mauaji ya albino si game of chance or natural trait na ni straight direct motive inayomwendesha mtu kumuua mwenzake ila wewe unalalamikia kitu nauturally embeded on the masculinity of a man, mwanaume hutaka kutunza mtoto wa damu yake na hupenda kujenga boma lake alilolianzisha mwenyewe na hizo ni mojawapo ya sifa za masculinity. Kuna muda zaweza kupwaya but exceptional doesn't make the rule. Sasa wewe unataka na unalazimisha kubadilisha uhalisia ufanane na disney fairy tales, it will never happen. Kama mwanamke kutaka mme mwenye uwezo kwanzia kifedha hadi kimwili, tulalamike mara ngapi haitabadilika maana kuna wanawake ni CEOs na bado wanataka wahudumiwe na mwanaume ukishindwa bado jamii itakucheka na kukusema basi ujue hivyo vitu hata kwa mwanamke vipo. Don't ever try to change masculinity, maana madhara yaliyotokea mpaka sasa yameharibu dunia to 50%. Stay in your lane, linda purity yako na mwanaume atafute pesa na maisha hakuna huruma hata kwa mmoja hapo. But exceptions exist.
Nacholalamika ni generalization nothing else.Smart Contract kaandika vizuri sana π you only looking for one side na hicho ndicho unacholalamika hapa Je kwamba single mazas wanaonewa wote?
Tatizo kubwa ni financial freedom. Usingle maza usingekuzwa Kama wanawake waliozalishwa wangekuwa na uwezo wa kujitegemea.. so ata ukiwa single maza kirahisi uwe na uchumi wako mbna unawika tu fresh na walumendago watakutaman tu wakuoe...Tofautisha makasiriko na uchungu mkuu.
Ni rahisi kwako kucheka ila maumivu ya mwanamke aliyetelekezwa ahangaike peke yake na mtoto huku dunia ikimuona mlaaniwa huwezi kuyaelewa.
Mshukuru Mungu amekuumba mwanaume.
Naamaanisha nilichoandika na ninatamani muache kuwanyanyapaa hawa watu.