Hahahaa nimepata nilichokua nataka jamani...nimechambwa leo na single mother😀😀😀

Ila mkuu si nimepatia eee?wewe ni mtu fulani hivi unajiamini na muongeaji sanaaaa😀😀
 
Amen Amen mkuu nimebarikiwa na maneno yako na wala sijakuelewa vibaya..comment yangu ilikua jokes haikua serious...

Halafu boss mimi sijaoa bado..njoo PM tujadili namna ya kupunguza single mothers mtaani😀
 
achana na Glenn ishi maisha yako😀 ni mtu wa mademu hatari usimualike nyumbani kwako anatoka na dada zako wote😃😃
Wewe una dada gani wa mimi kumtaka?
Dada zako kutwa kukata kuni mlima kilimanjaro na kuchota maji mtoni miguu imekomaa kama viazi vitamu.
Ni kweli nina penda mademu lakini ni mademu wakali tu asikudanganye ntu.
Ukiwa na dada mkali kweli niogope...ukweli ndani ya utani mshamba_hachekwi 🤣🤣🤣🤣
 
Dada zangu utawapata wapi wote wako kwa waume zao huko umechelewa😀
 
we kuna wachaga weupe wazuri tembea uone😂
 
Sure.
The world is not fair.
I thought doing this is one of those smallest things that would give me joy but I ended bn emotional.
But again let me do what you and To yeye said 😍😍
 
Hiyo bado siyo hoja kwa sababu hakuna anayemlazimisha mwanaume kutumia pesa zake kwa mwanamke ni maamuzi yake tu, na hata ikitokea mwanamke asipotumia hela za mwanaume bado ataishi tu, na ana uwezo wa kujitafutia zake

Tena siku hizi mambo yamebadilika hata wanawake wanajitafutia pesa zao na kuna wanawake wengine wao ndio providers na wanawahonga wanaume wao, pia usifananishe nyege na hamu ya pesa maana sehemu za siri zipo tu watu wanaweza kupeana wakijisikia, lakini pesa zinatafutwa kama mtu hana pesa atampa nini mwenzake

Kifupi unapoongelea ngono ni tendo ambalo halina mbadala yani kila jinsia lazima itegemee nyingine ili iweze kufanya ngono, hata dunia ipinduke juu chini au ibadili mzunguko hutakuja kusikia eti wanaume wamepata viumbe wengine wa kufanya nao na wanawake wamepata viumbe wengine wa kufanya nao, narudia usifananishe hivi vitu viwili
 
si umesema maneno huumba and I say I will be a billionaire 😎🙃
Kabisa.
Utakua billionaire🤣.
Hata mtoto wa mwisho darasani akiambiwa mara kwa mara kuwa yeye ni wa kwanza darasani na hiyo nafasi ya mwisho sio yake kuna uwezekano mkubwa akawa wa kwanza kweli.
Naanza kukuita Gily the billionaire kuanzia leo🤣
 
and I will call you Mrs Gily aka Clepatina the millionaire. Utaishi kama malkin wa sheba😀
 
Yaishe sista, hatuelewani ila mwanamje hajalazimishwa kutoa huo mwili kwa wanaume wasio mjali ni nyege zake. So bare your fruits, wewe ndio hufananishi kwasababu havijakukuta yaliyotukuta tupo. Ndio maana nikasema, if your a woman, you have no rights to a man's opinion hakutaki hakutaki na viceversa vivyo hivyo. Upendo haulazimishwi. Nice day, lets watch Man utd
 
1. Huu ni utani wangu na Gily
2. Wachaga ninawafahamu na nina rafiki zangu wachaga humu kama cariha nk
3. Kuna wachaga Warembo haina mfano wake

Ukinikuta nataniana na Gily kaa pembeni😂
Glenn huyu dogo mshamba_hachekwi ni mkibosho usimuone ukafikiri sio mchaga. Sema sasa wakibosho wengi ni washamba sama hawajui hata kutongoza mademu 😀baba zao wanawaolea. .

Sema ni toto dogo sana lina miaka 18..Nilishamwambia aamkie humu ndani ila la kupiga makonzi😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…