Single mother wameamua kujitetea mana sasa watu wanasanuana Sana 😁😁😁😁 sema single mother lazima akupekeche tuu ni suala la mda tuu , mpak ubahatishe Yule mwenye maadili Sana ambaye by mistake aliyemtegemea aliishia kumpa mimba akakimbia hao huwa very strong Sana , japo ni wa kubahatisha Sana
 
Miaka ya nyuma nilikuwa na crashi wangu wa kibosho humu ooh huyo mtoto Mungu amtunze...mrembo sana acha tu.
mshamba_hachekwi nimegundua ni kijana mzuri ana kitu kichwani, anahitaji msasa kidogo.

Kwta speed aliyonayo humu na mishankupe itamrarua acheze kwa step kama yupo RAU madukani
 
kuwatetea dada zetu❌
kujitetea wewe✓
Nimefarijika kuona unakataa kuwa siwatetei dada zako.
Na pia najua huna uwezo wa kujua ni kipi kimenipa faraja katika hilo.
Sawa najitetea mimi🙏
 
KUA SINGLE MAZA NILAANA KUBWA SANA.. USIWADANGANYE MABINTI .WAACHE SINGLE MAZA WAPAMBANE NA LAANA YAO WENYEWE.

BINTI USIKUBALI KUA SINGLE MAZA SINGLE MAZA NI LAANA, SINGLE MAZA NI UMALAYA TUU
Wewe ni poyoyo.
Unakurupuka huko umelewa wanzuki unavamia watu hujui hata wanaongelea nini?

"Binti usikubali kuwa single maza" alokwambia niko hapa kushawishi mtu awe single maza ni nani?

Single maza mkubwa wee 👹
 
Mi siongelei hayo wakuu.
 
Sawa, sasa kama mnalijua hilo kwanini mnalaumu kwamba wanawake hawajitunzi, ilihali ninyi ndio hamko tayari kuvumilia hadi ndoa

Ishu ni kwamba waacheni hao wanawake wajitunze ili mje kuwaoa wakiwa mabikira na hawana watoto, ila kama nanyi hamuwezi kusubiri hadi muwaoe basi wachezeeni tu, huku mkijua mwisho wa siku ndio hao hao mtaokuja kuwaoa hamtaumbiwa wengine yani

Na hapa siyo suala na nani kimemkuta nini bali tunajadili uhalisia, huwezi kutolea mifano ya vitu ambavyo kiuhalisia haviendani zaidi ya mitazamo binafsi tu ya watu, na tena mitazamo yenyewe wala siyo universal bali inatofautiana kati ya jamii na jamii tu
 
muendelezo upo lakini atauleta tu kwa kujisahau😀
Ni mzuri tu.
Najua mnategemea muendelezo wa kutendwa ila mimi sitendwi kirahisi rahisi @Gily🤣
 
Sawa lakini point yangu ni kuwa sio wote wanaweza kufanya hivyo
 
Hebu nieleze kwanini ukubali kudanganywa na bazazi na kufunua mapaja yako bila tahadhari ikiwa una akili tamamu...?
You are out of the topic sir.
Ndo unaamka nin🤣
 
Tatizo kubwa ni financial freedom. Usingle maza usingekuzwa Kama wanawake waliozalishwa wangekuwa na uwezo wa kujitegemea.. so ata ukiwa single maza kirahisi uwe na uchumi wako mbna unawika tu fresh na walumendago watakutaman tu wakuoe...
Sawa vp wasio na uwezo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…