14 Hua wangu, mafichoni mwa jabali, Katika sitara za magenge, Nitazame uso wako, nisikie sauti yako, Maana sauti yako ni tamu na uso wako mzuri.πππππππ€£ Suleiman alikuwa anajua sana kuchombeza walah
π13 Mpendwa wangu ni kama mfuko wa manemane Ukilazwa usiku maziwani mwangu.
Wimbo Ulio Bora 1:13
5 Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.π
Kwa mbaaaliMbona ghafla sana Jamani, Half american anayo taarifa?ππππ
3 Midomo yako ni kama uzi mwekundu, Na kinywa chako ni kizuri; Mashavu yako ni kama kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.π
Inaonyesha wakati anayaandika haya maneno alijawa na mapenzi teleπ9 Mpenzi wangu, nimekulinganisha Na farasi katika magari ya Farao.
Wimbo Ulio Bora 1:9
Mtumishi,nimekusoma Sanaππ π3 Midomo yako ni kama uzi mwekundu, Na kinywa chako ni kizuri; Mashavu yako ni kama kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.
Wimbo Ulio Bora 4:3
9 Umenishangaza moyo, umbu langu, Bibi arusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.π
Utakuw single maz sio kwa kuteteaπwe si umempenda kama alivyo lakini, ukipenda boga penda na maua yakeπππ
Basi tujiandae kwa kula mahariKwa mbaaali
15 Wewe ndiwe chemchemi ya bustani yangu, Kisima cha maji yaliyo hai, Vijito vya Lebanoni viendavyo kasi.Mtumishi,nimekusoma Sanaππ π
sio laana kama alivyosemaπUtakuw single maz sio kwa kuteteaπ
Kama kawaida ni mwendo wa half half, half Bride priceBasi tujiandae kwa kula mahari
Jamaa aliwachakata sana, akifungua mdomo binti anafungua kyupiπInaonyesha wakati anayaandika haya maneno alijawa na mapenzi teleπ
Hana taarifa dada.Mbona ghafla sana Jamani, Half american anayo taarifa?ππππ
Jamaa alikuwa full package ana mahaba,halafu ana ukwasi ndio maana aliwakusanya kila konaJamaa aliwachakata sana, akifungua mdomo binti anafungua kyupiπ