Hata akionesha hapaswi olewaMakubaliano ni yale yale mpk aoneshe kaburi la baba mtoto
Wanakamati wamefika,Ila Wana wasiwasi hamna NDOA hapo,Sasa sijui bwana harusi ana shida gani🤔🤔🤔🤔🤔Sawa dada ila bado hatujafikia huko kwa kuita watu.
Tulieni kwanza nawaomba tusije tukaaibika🙏
Ukiwa na koment ya dhihaka kama hii mkuu kwa heshima usini quoteWasimbe hawaendi mbinguni
😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha🤣🤣🤣🤣🤣Bwana harusi tapeli?
$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa piaKwani mahari ni shilling ngapi? maana isije kuwa kama anahitaji moyo wangu😀
Bwana harusi ni BAD NEWS🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha
😅Umenielewa vibaya Dada mdogo huo n mgawanyo wa mahari alafu si unajua sio lazima ilipwe yote at onceWhy ndugu zanguni?
Sina thamani ya mahari kamili?😭
Sawa sawa,hiyo inafaa hiyo kaza humohumo$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa pia
Hajawai kuwa na stress labda uanze kumpa weweMnampa stress muachen jaman🤣
Itabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂Sawa sawa,hiyo inafaa hiyo kaza humohumo
Sema Nini,wasinywe pombe kabla ya maongezi tuwape Pepsi Pepsi na mirinda kwanzaItabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂
😏😏🤔🤔I feel blessed.,🤩
Thank you my billionaire🤩
🤣🤣🤣🤣🤣Bwana harusi tapeli?
NB: imezingatiwa
Kamati ya vinywaji hapa, plus shemeji Gily ni team ile ile. Nawahikikishia mtarudi nyumbani mnatambaa 🤣🤣
Wanakamati wamefika,Ila Wana wasiwasi hamna NDOA hapo,Sasa sijui bwana harusi ana shida gani🤔🤔🤔🤔🤔
😀😀bwana harusi ana mbambamba za kutosha
Why ndugu zanguni?
Sina thamani ya mahari kamili?😭
Team nyama choma hapa Gily
$2000 mkuu ukiweza kuja na wazee wa kubageini sawa pia
Bwana harusi ni BAD NEWS🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnampa stress muachen jaman🤣
Hajawai kuwa na stress labda uanze kumpa wewe
Itabidi tuwape chakula kidogo wale wazee wa kubageini wasije haribu Mambo😂
Clepatina usipate wasiwasi mahari ndogo sana hiyo. Ngoja niwaumize moyo wakuheshimu siku nyingine😃Dada wa familia ya bi harusi nasemaje,,,nyama ziwe nyingi kuliko maua